Kama SA... Ethiopia... Naigeria...na east Africa jmn jirani hapa unaenda tu kutembeaNchi za Africa? Kama vile? Natamani kutembea Africa
Serengeti,ngongoro crater,Zanzibaraje,jambiani,makunduchi,nungwi(ingawa Kwa uchache)
Sehemu ninazotamani kwenda ni karatu,lushoto,mbeya na kwengineko
Nakubaliana na wewe asilimia trilioniNarudia tena.. hakuna kama Serengeti duniani. Sio Tanzania wala Africa.. I mean duniani. Ambao hamjawahi kufika Serengeti poleni sana.
View attachment 2611470
Nitaleta mrejeshoHizo sehemu unazotamani kwenda ukifika usitusahau na sisi watu wa kwenye uzi mkuu.
Tutakuwa hapa tu tunaskiliza experience yako kutoka kwenye hizo sehemu
Tafadhali nenda hutojuta.sehemu ni nyingi nzuriSunday Nataka niende Nungwi nikapate experience mpya
Sijui hapa natakiwa kutoa jibu gani😌😌ulikuwa wapi?
Wewe sitaki kukuchosha,nipeleke lushoto kwanza nikapunguze stress za mijiniNitakupeleka boss wangu
Nataka kuona kila kitu kinachopatika hukoKaratu?
Kuna nini sasa hapo?.
Utalii wa watoto wenyeji?
Karibu Gibsfarm karatu milimani kwa Wajerumani
Nitakupeleka wewe nipe ratiba tuuWewe sitaki kukuchosha,nipeleke lushoto kwanza nikapunguze stress za mijini
Nipo Dubai kwa kipindi kirefu kidogo sasa. Baadhi ya nilio wa host (marafiki) wamekili kuwa Dubai ukiijulia siyo gharama sana.Asante Kwa information
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeisha hiyo….🥰🥰🥰Nitakupeleka wewe nipe ratiba tuu
Na mimi unipeleke Serengeti nikawaone beest
KumbeeNipo Dubai kwa kipindi kirefu kidogo sasa. Baadhi ya nilio wa host (marafiki) wamekili kuwa Dubai ukiijulia siyo gharama sana.
Habari wadau,ninaplan ya kutembelea mlima kilimanjaro mwaka huu. Nitakuwa na familia so sidhan kama nitapanda mlima ila nataka kujua sehem gani nitaweza kuona mlima vizuri,sehemu yenye hotel au lodge nzuri na gharama nafuu na pia sehemu nitakayoweza kupiga selfie kali kali![]()
Good for you.Kama SA... Ethiopia... Naigeria...na east Africa jmn jirani hapa unaenda tu kutembea
Tupe experience yako, mambo gani yapo huko ndani na sisi tufike mkuuNarudia tena.. hakuna kama Serengeti duniani. Sio Tanzania wala Africa.. I mean duniani. Ambao hamjawahi kufika Serengeti poleni sana.
View attachment 2611470
Kipindi unataka kupanda tuambie tukupe company mkuuNi sehemu nyingi nimeenda na bado kuna nyingi sijaenda natamani kwenda
Lakini nimekumbuka nilivopanda Milima ya Udzungwa nilifika hadi kule Juu kwenye Sanje waterfalls
Natamani niupande Mlima Kilimanjaro hadi Juu kule Uhuru peak
Kuna Namibia kule kuna sehemu moja kuna jangwa sehemu ya pili bahari ni hatariKama SA... Ethiopia... Naigeria...na east Africa jmn jirani hapa unaenda tu kutembea