Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200, maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Hii ilikuwa mda mrefu kidogo, unaweza kutupa update za mwaka huu mkuu, kufika dubai unafika kwa gharama gani?
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi yaani hadi sasa hakuna ata aliyepost website yoyote kwa ajili ya booking Au ata maelezo ya kujitosheleza jinsi ya kufika hizo sehemu nzuri nzuri na gharama zake. Mkuu na mimi najichanga mwisho wa mwaka na familia kwenda Serengeti kutokea mwanza. Hivyo ukipata tour company wanaochukua local kwa bei nzuri unawezeshe mawasiliano na mimi. Asante
Mkuu naomba nikitulia nikupe baadhi ya application na links ili uweze kufika moshi bila shida pia ni kwa gharama nafuu.
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi yaani hadi sasa hakuna ata aliyepost website yoyote kwa ajili ya booking Au ata maelezo ya kujitosheleza jinsi ya kufika hizo sehemu nzuri nzuri na gharama zake. Mkuu na mimi najichanga mwisho wa mwaka na familia kwenda Serengeti kutokea mwanza. Hivyo ukipata tour company wanaochukua local kwa bei nzuri unawezeshe mawasiliano na mimi. Asante
Sasa mkuu nianze kukuambia sehemu ambazo unaweza kupata view nzuri ya Mlima Kilimanjaro hata bila kuupanda.

1: Ni Selig Hotel, ukitoka Moshi Bus Stand unaweza shuka na baranara ya mbuyuni ukifika hapo mbuyuni washa google maps halafu search Selig Hotel kutokea hapo mbuyuni mpaka hotelini sio mbali sana.

Jinsi ya kuuona mlima sasa, utaamua wewe mwenyewe upande roof top ya hotel au ukae mazingira mazuri ambayo utafurahia kuona mlima, pia chagua na siku ambayo haina mawingu ili kupata experience nzuri.

2: Unaweza enda Arusha kwa mrombo kule ambapo ndio kunaanza kupata makazi ya watu, lakini kule ni mbali unaweza uona mlima kwa udogo halafu ukjiua kuotea na muda basi utakuwa umepiga BINGO.

3: Pia jaribu Kilimanjaro Safaris lodge, pale napo kuna view nzuri ya mlima kwa chini.

4: Mount Kilimanjaro View lodge.

Hizo kwa uchache unaweza endelea kutafuta, kwa gharama nikureclmmend application inaitwa HOSTEL WORLD, hii ni kwa ajili ya kulala huko kwenye app kuna Priavate room bei rafiki kabisa pia kuna hostels ambazo unaweza watenganisha watoto pamoja na nyie wazazi.

.
 
Habari wadau,ninaplan ya kutembelea mlima kilimanjaro mwaka huu. Nitakuwa na familia so sidhan kama nitapanda mlima ila nataka kujua sehem gani nitaweza kuona mlima vizuri,sehemu yenye hotel au lodge nzuri na gharama nafuu na pia sehemu nitakayoweza kupiga selfie kali kali
Sasa mkuu nianze kukuambia sehemu ambazo unaweza kupata view nzuri ya Mlima Kilimanjaro hata bila kuupanda.

1: Ni Selig Hotel, ukitoka Moshi Bus Stand unaweza shuka na baranara ya mbuyuni ukifika hapo mbuyuni washa google maps halafu search Selig Hotel kutokea hapo mbuyuni mpaka hotelini sio mbali sana.

Jinsi ya kuuona mlima sasa, utaamua wewe mwenyewe upande roof top ya hotel au ukae mazingira mazuri ambayo utafurahia kuona mlima, pia chagua na siku ambayo haina mawingu ili kupata experience nzuri.

2: Unaweza enda Arusha kwa mrombo kule ambapo ndio kunaanza kupata makazi ya watu, lakini kule ni mbali unaweza uona mlima kwa udogo halafu ukjiua kuotea na muda basi utakuwa umepiga BINGO.

3: Pia jaribu Kilimanjaro Safaris lodge, pale napo kuna view nzuri ya mlima kwa chini.

4: Mount Kilimanjaro View lodge.

Hizo kwa uchache unaweza endelea kutafuta, pia kwa mahali pa kulala naweza kurecommend application inaitwa HOSTEL WORLD huko kuna private rooms kwa ajili yenu wazazi pia kuna hostels kwa ajili ya kulala watoto wenu ili msichanganyikane wakati wa kutaka kupumzika.

.
 
Sasa mkuu nianze kukuambia sehemu ambazo unaweza kupata view nzuri ya Mlima Kilimanjaro hata bila kuupanda.

1: Ni Selig Hotel, ukitoka Moshi Bus Stand unaweza shuka na baranara ya mbuyuni ukifika hapo mbuyuni washa google maps halafu search Selig Hotel kutokea hapo mbuyuni mpaka hotelini sio mbali sana.

Jinsi ya kuuona mlima sasa, utaamua wewe mwenyewe upande roof top ya hotel au ukae mazingira mazuri ambayo utafurahia kuona mlima, pia chagua na siku ambayo haina mawingu ili kupata experience nzuri.

2: Unaweza enda Arusha kwa mrombo kule ambapo ndio kunaanza kupata makazi ya watu, lakini kule ni mbali unaweza uona mlima kwa udogo halafu ukjiua kuotea na muda basi utakuwa umepiga BINGO.

3: Pia jaribu Kilimanjaro Safaris lodge, pale napo kuna view nzuri ya mlima kwa chini.

4: Mount Kilimanjaro View lodge.

Hizo kwa uchache unaweza endelea kutafuta, kwa gharama nikureclmmend application inaitwa HOSTEL WORLD, hii ni kwa ajili ya kulala huko kwenye app kuna Priavate room bei rafiki kabisa pia kuna hostels ambazo unaweza watenganisha watoto pamoja na nyie wazazi.

.

Asante mzeebaba mimi sio mwenyeji wa moshi. Lakini mwaka huu mwanzoni nilikua moshi kwa mara ya kwanza nilifikia Kilimanjaro palace hotel ipo mjini kati. Ila lengo langu ni kupata kampuni za tours ambao wanabei rafiki kwa watanzania maana kulipa kama mtalii kutoka ulaya au America siwezi kwa kweli ingawa bei wanazolipa sizijui. Nikipata kampuni ina gharama za kila kitu usafari malazi na chakula siku tatu basi itakua vizuri. Msaada tafadhari kama unajua kampuni yoyote mkuu
 
Asante mzeebaba mimi sio mwenyeji wa moshi. Lakini mwaka huu mwanzoni nilikua moshi kwa mara ya kwanza nilifikia Kilimanjaro palace hotel ipo mjini kati. Ila lengo langu ni kupata kampuni za tours ambao wanabei rafiki kwa watanzania maana kulipa kama mtalii kutoka ulaya au America siwezi kwa kweli ingawa bei wanazolipa sizijui. Nikipata kampuni ina gharama za kila kitu usafari malazi na chakula siku tatu basi itakua vizuri. Msaada tafadhari kama unajua kampuni yoyote mkuu
Ngoja nikusaidie kuuliza ntakuletea hapa mkuu, unataka usafiri wa gharama nafuu mpaka sehemu gani mkuu?
 
Sasa wakuu leo nimekuja na kitu kipya nimekipata juu ya kupata sehemu nafuu kwa ajili ya malazi kama utatamani kwenda sehemu kutalii.

Mana najua changamoto kubwa ni hotels, huwa ni bei ghali sana ila leo nakupa sehemu unayoweza kulala kwa bei rahisi ikiwa ni private rooms au hostels.

Kwa hostels ndio iko vizuri juu ya bajeti, japo wengi tunaona kama hostels ni za wanafunzi .

Ila hostels bei rahisi sana mnaweza kuwa wanne au watatu mmetamani kuenda labda tuseme zanzibar basi kupitia application inatwa HOSTEL WORLD unaweza kupata hostels kwa bei rahisi vile vile private rooms kwa bei rahisi.

Ona picha izo hapo chini ni moja ya hostel inagharimu Euro 6 sawa na 15,000/= pesa ya kitanzania karibu kabisa na mjini zanzibar.

Link ya kupata application Hostelworld: Hostel Travel App - Apps on Google Play

Utasearch sehemu unataka kwenda labda unaweza pata rooms za kulala bei rahisi.

View attachment 2616491View attachment 2616495View attachment 2616492View attachment 2616493View attachment 2616494View attachment 2616496View attachment 2616497
Screenshot_2023-05-10-11-53-34-840_com.hostelworld.app.jpg
 
Back
Top Bottom