Umeongea kweli aisee!!! Ila wachache wanaoujua mpira ndio watakuelewaNajua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa hata dakika ya 15 tu ya Mchezo walikuwa ni Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho.
Ni mpaka uujue vyema Mpira na mtizamo wako kuhusu Soka uwe ni wa Kiwango Kikubwa, Umewahi Kuucheza na ni Mfuatiliaji hasa ndipo Utanielewa na Utakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa Clatous Chama kwa Mpira wa sasa hafai na hapati Namba labda tu aonewe Huruma na Kocha.
Uchezaji wa Chama una umuhimu pale tu Timu ikiwa imeshapata Matokeo yake na inahitaji sasa Kuyalinda ndipo Umuhimu wake Chama utaonekana ili kupoteza muda.
Na leo nairudia tena hii Kauli kuwa namuomba sana Mwenyezi Mungu huko mbeleni katika CAFCL Simba SC yetu ikutane na Klabu ya Mamelodi Sundowns ambapo ninavyowapenda walivyo na Mpira wa Kasi na Nguvu muda Wote huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chama akipangwa mtakataa Wenyewe na ninavyowajua msivyo na Uvumilivu kama hiyo Mechi tutafungwa mtamtukana Matusi yote yaliyoko duniani na hata Chupa za Mikojo mtamrushia.
Nikimkosoa Mtu huwa namaanisha!!!
Washakupiga ban nyau weweNawe niondolee Ujuha wako hapa Ok?
Kule wanajituma zaidi kutokana na mpizani wanaekutana nae, ndiomaana hata Al ahly anakufaUtofauti ni nini wakati wachezaji ni walewale
Simba Sc hakuna mungu mtu kama Mayele wenu..Yaani hivyo mnavyoparuana sisi utopolo Huwa tunapata raha sana
certified f..lPamoja na Mungu Mtu Wenu Chama?