IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali upesi sana Kamateni 'Viongozi' wa Yanga SC na Coastal Union FC kwa 'Ukatili' huu uliofanyika leo Tanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,638
109,006
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Utopolo hawajawahi kushinda mechi kwa kucheza mpira halali bali siku zote wamekuwa wakishinda kwa kuchezesha misukule (kichawi) yenye sura za wachezaji. Hawa wasengerema ndio wanaoharibu sifa ya mpira wa Tanzania. TFF isipoingilia kati mpira wa nchi hii hauwezi kukua kamwe!
 
Utopolo hawajawahi kushinda mechi kwa kucheza mpira halali bali siku zote wamekuwa wakishinda kwa kuchezesha misukule (kichawi) yenye sura za wachezaji. Hawa wasengerema ndio wanaoharibu sifa ya mpira wa Tanzania. TFF isipoingilia kati mpira wa nchi hii hauwezi kukua kamwe!
Utopolo hawajawahi kupeleka paka uwanjani...kuhusu ulozi mpigie kishingo umuulize
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
uje ofisini kwangu utoe maelezo vizur
 
Utopolo hawajawahi kushinda mechi kwa kucheza mpira halali bali siku zote wamekuwa wakishinda kwa kuchezesha misukule (kichawi) yenye sura za wachezaji. Hawa wasengerema ndio wanaoharibu sifa ya mpira wa Tanzania. TFF isipoingilia kati mpira wa nchi hii hauwezi kukua kamwe!
Mkuu nakuheshimu sana,acha nisikujibu
 
hata semaji la taifa Manara amekiri kuwa COAST UNION wanatumia siasa za ulozi Zaid .....kwenye mpira
Coast Union ni kama tu tawi la wazee wa kudanga a.k.a mikia, yaani Simba wa kupakatwa. Kwa hiyo hata hiyo sayansi ya potofu ya ulozi ni lazima watakuwa wameipata kutoka makao yao makuu ya Msimbazi.
 
Hawa utopolo wamesikia mchezaji atakayeuza mechi amesomewa albadri wamekosa mtu wa kuhonga wameamua kutumia ndumba.

Hapo wameua mtu au nini kimetokea.Maana mtu kukatwa kidole lazima angejulikana
 
Hawa utopolo wamesikia mchezaji atakayeuza mechi amesomewa albadri wamekosa mtu wa kuhonga wameamua kutumia ndumba.

Hapo wameua mtu au nini kimetokea.Maana mtu kukatwa kidole lazima angejulikana
Katika hili la Kidole nawapa Coastal Union FC 1% tu ya Kuhusika nalo ila Yanga SC ( kwa ninavyowajua ) nawapa 99% kwa Kuhusika nalo.
 
Wanapeleka viganja na vidole vya maiti kwa kuwa hivi ndio vifaa vya kichawi; paka sio kifaa cha kichawi mkuu.
Kakwambia Nani paka siyo kifaa Cha uchawi,mazembe hawakushukia jnia,walishuka rukwa,wakaja kwa gari,kwa nini!?..
 
Back
Top Bottom