Wale 'Team Mungu Mtu Chama' niambieni leo amecheza nini dhidi ya Coastal Union FC kwa Mkapa?

Nunachijua ni kuwa Chama anampira wa taratibu sana na hana mbio ila ana akili na utulivu mkubwa sana wa mpira na muda wowote anakupa matokeo yeye binafsi au anasababisha timu ipate natokeo na ameshafanya hivyo mara kadhaa wala hili halina ubishi. Mafundi wa mpira kama Zidane, Pilo,Ronaldo Delima, Ronaldinho, Xavi wala hawakuwa na mbio kama za Mpape.

Mchezaji kama Kibu au Sakho ni wachezaji wenye kasi sana na papara muda mwingi hawana utulivu hivyo kutokuwa na impact kubwa uwanjani mda mwingi ni kukumbia kumbia na mpira bila sababu.

Binafsi mimi nimeshuhudia mechi nyingi za Simba kama Chama hayupo tumekuwa tukipata ushindi kwa tabu sana na mpira tunaocheza huwa ni wabutua butua. Kifupi Simba mbadala wa Chama kwa sasa hayupo, hata kama kuna siku atacheza chini ya kiwango mashabiki sio wajinga wampende mchezaji bila sababu kwani kawapa rushwa?
Leo chama alikuwepo je, tumepata ushindi wa kirahisi?
 
Najua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa hata dakika ya 15 tu ya Mchezo walikuwa ni Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho.

Ni mpaka uujue vyema Mpira na mtizamo wako kuhusu Soka uwe ni wa Kiwango Kikubwa, Umewahi Kuucheza na ni Mfuatiliaji hasa ndipo Utanielewa na Utakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa Clatous Chama kwa Mpira wa sasa hafai na hapati Namba labda tu aonewe Huruma na Kocha.

Uchezaji wa Chama una umuhimu pale tu Timu ikiwa imeshapata Matokeo yake na inahitaji sasa Kuyalinda ndipo Umuhimu wake Chama utaonekana ili kupoteza muda.

Na leo nairudia tena hii Kauli kuwa namuomba sana Mwenyezi Mungu huko mbeleni katika CAFCL Simba SC yetu ikutane na Klabu ya Mamelodi Sundowns ambapo ninavyowapenda walivyo na Mpira wa Kasi na Nguvu muda Wote huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chama akipangwa mtakataa Wenyewe na ninavyowajua msivyo na Uvumilivu kama hiyo Mechi tutafungwa mtamtukana Matusi yote yaliyoko duniani na hata Chupa za Mikojo mtamrushia.

Nikimkosoa Mtu huwa namaanisha!!!
Mpira wa kasi na nguvu ndio pira halisi la afrika na yule mbrazili ndio kauleta pale simba
 
Kumbukeni kuwa wapinzani wa Simba nao ni binadamu na wanafanya mazoezi ya kutosha.

Coastal Union jana walikuwa katika kiwango bora kabisa na walijituma na kufuata maelekezo ya Mwalimu.

Goli la Jana la Simba limepatikana kwa utulivu wa Chama.
Swala la kufanyiwa Sub ni la kawaida kwa mchezaji yoyote yule.

Ila Chama bado anahitajika Simba na sio jambo zuri kumsema vibaya, uchezaji wale wa taratibu umetoa matokeo mazuri sana kwa timu.

Katika mechi za mtoano mnakumbuka alivyofanya kazi kubwa kule Angola.
Goli la mapema lilifungwa na Chama.
Goli la Pili alilofunga Israel Mwenda pia Chama pia alihusika kulipika.

Goli la tatu la Phili ni assist ya Chama.
Mpeni heshima yake huyu Mwamba wetu.

Kama kasi basi msajirini Kisinda msimu ujao maana mkataba wake unaisha.

Mtoa Mada naona siku mbili hizi una hasira flani kutokana na mazingira yaliyo kupata. Usijali mambo yatakaa sawa.
 
Mchango wa Chama kwenye timu hauwezi kuwa mkubwa zaidi ya wengine wote, hayo ni mawazo mgando tu, hakuna timu ya kumtegemea mtu mmoja, ni ushamba mkubwa sana.
 
Nunachijua ni kuwa Chama anampira wa taratibu sana na hana mbio ila ana akili na utulivu mkubwa sana wa mpira na muda wowote anakupa matokeo yeye binafsi au anasababisha timu ipate natokeo na ameshafanya hivyo mara kadhaa wala hili halina ubishi. Mafundi wa mpira kama Zidane, Pilo,Ronaldo Delima, Ronaldinho, Xavi wala hawakuwa na mbio kama za Mpape.

Mchezaji kama Kibu au Sakho ni wachezaji wenye kasi sana na papara muda mwingi hawana utulivu hivyo kutokuwa na impact kubwa uwanjani mda mwingi ni kukumbia kumbia na mpira bila sababu.

Binafsi mimi nimeshuhudia mechi nyingi za Simba kama Chama hayupo tumekuwa tukipata ushindi kwa tabu sana na mpira tunaocheza huwa ni wabutua butua. Kifupi Simba mbadala wa Chama kwa sasa hayupo, hata kama kuna siku atacheza chini ya kiwango mashabiki sio wajinga wampende mchezaji bila sababu kwani kawapa rushwa?
Uzi ufunguwe sasa maan umemaliza...
 
Kumbukeni kuwa wapinzani wa Simba nao ni binadamu na wanafanya mazoezi ya kutosha.

Coastal Union jana walikuwa katika kiwango bora kabisa na walijituma na kufuata maelekezo ya Mwalimu.

Goli la Jana la Simba limepatikana kwa utulivu wa Chama.
Swala la kufanyiwa Sub ni la kawaida kwa mchezaji yoyote yule.

Ila Chama bado anahitajika Simba na sio jambo zuri kumsema vibaya, uchezaji wale wa taratibu umetoa matokeo mazuri sana kwa timu.

Katika mechi za mtoano mnakumbuka alivyofanya kazi kubwa kule Angola.
Goli la mapema lilifungwa na Chama.
Goli la Pili alilofunga Israel Mwenda pia Chama pia alihusika kulipika.

Goli la tatu la Phili ni assist ya Chama.
Mpeni heshima yake huyu Mwamba wetu.

Kama kasi basi msajirini Kisinda msimu ujao maana mkataba wake unaisha.

Mtoa Mada naona siku mbili hizi una hasira flani kutokana na mazingira yaliyo kupata. Usijali mambo yatakaa sawa.
Tatizo ni mtu mmoja tu huyu jamaa popoma na anapata wafuasi wengi sana utopolo.
Ni kama alivyomsema sana Morrison na akapata support ya utopolo tena sana,lakini baadae utopolo hao hao wakamsajili Morrison.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Performance ya mechi ya leo na za hivi karibuni inafikirisha sana. Inawezekana wachezaji hawalali masaa ya kutosha. Leo wachezaji wengi walikuwa wanashindwa kabisa hata kutuliza mpira tu hasa kuanzia katikati kwenda mbele, back passes zimerudi, hawakabi, wanatembea tu uwanjani.
Huu ushabiki wenu ni wa kindezi kweli. Yaani Simba kushinda kwa goli moja
imekuwa wachezaji wabovu? Je, Bayern Munich iliyoDUROO tena nyumbani ndio utaisemaje? Acheni upopoma. Gemu linabadilika kila leo.
 
Mleta uzi na wanaokunga mkono mnasahau kua Always FORM is TEMPORARY, STANDARD is PERMANENT. Yaan Chama kasha set Standard yake na hizo ups and downs kwa mechi na mechi ni kawaida kwa mchezaji, kila mchezaji ana style ya kucheza ambavyo hata kocha hawezi mmbadilisha maana ndo yupo hivyo yaan ameumbwa hivyo mfano chama hana kasi ndio ila anakitu ambacho kwenye hii Ligi hakuna na ameset STANDARD hapo yaan ana utulivu wa hali juu sana pamoja na accuracy passing yake ni kubwa mno. Hata kwa mechi ya jana japo hakuwa na form nzuri kama baadhi ya wachezaji wengine alitengeneza nafasi kwa Sadio Kanoute ambayo ilikua very clear akashindwa kufunga. Pia nawakumbusha tu kama nafasi alizotengeza Chama kwa msimu huu tu zingukuwa converted kuwa magoli yaan angekua na assist 20++ mpaka sasa kwenye ligi kuu tu.
CHAMA IS MASTER.
 
Huyu jamaa aliyeanzisha uzi huu anapenda sana kuchafua watu.
Kwenye siasa yupo
Kwenye michezo yupo
Kwenye mziki yupo
Kila kona yupo, ilo mradi awachafue wengine.
 
Najua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa hata dakika ya 15 tu ya Mchezo walikuwa ni Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho.

Ni mpaka uujue vyema Mpira na mtizamo wako kuhusu Soka uwe ni wa Kiwango Kikubwa, Umewahi Kuucheza na ni Mfuatiliaji hasa ndipo Utanielewa na Utakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa Clatous Chama kwa Mpira wa sasa hafai na hapati Namba labda tu aonewe Huruma na Kocha.

Uchezaji wa Chama una umuhimu pale tu Timu ikiwa imeshapata Matokeo yake na inahitaji sasa Kuyalinda ndipo Umuhimu wake Chama utaonekana ili kupoteza muda.

Na leo nairudia tena hii Kauli kuwa namuomba sana Mwenyezi Mungu huko mbeleni katika CAFCL Simba SC yetu ikutane na Klabu ya Mamelodi Sundowns ambapo ninavyowapenda walivyo na Mpira wa Kasi na Nguvu muda Wote huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chama akipangwa mtakataa Wenyewe na ninavyowajua msivyo na Uvumilivu kama hiyo Mechi tutafungwa mtamtukana Matusi yote yaliyoko duniani na hata Chupa za Mikojo mtamrushia.

Nikimkosoa Mtu huwa namaanisha!!!
Awali Nilikuwa sielewi lengo lako kuhusu Chama lakini baada ya huu Uzi Sasa nimekuelewa. Ni kweli kuna watu wanaamini bila Chama kuwemo kwenye Mechi Simba haishindi. Na Mimi Jana nimeona mchango wake kama ni mkubwa Sana basi haizidi 7%.
Lakini pia najiuliza Mechi alizokuwepo kocha Mkuu mpya Chama hakucheza au alitolewa dakika 30 tu za mwanzo. Ghafla Kocha kaondoka Chama amepangwa. Kama mfumo unaotumika ni wa kocha Mkuu kama ilivyo kawaida ya timu kubwa hii imekaaje? Au tunadanganywa Kocha Mkuu kaondoka?
 
Nunachijua ni kuwa Chama anampira wa taratibu sana na hana mbio ila ana akili na utulivu mkubwa sana wa mpira na muda wowote anakupa matokeo yeye binafsi au anasababisha timu ipate natokeo na ameshafanya hivyo mara kadhaa wala hili halina ubishi. Mafundi wa mpira kama Zidane, Pilo,Ronaldo Delima, Ronaldinho, Xavi wala hawakuwa na mbio kama za Mpape.

Mchezaji kama Kibu au Sakho ni wachezaji wenye kasi sana na papara muda mwingi hawana utulivu hivyo kutokuwa na impact kubwa uwanjani mda mwingi ni kukumbia kumbia na mpira bila sababu.

Binafsi mimi nimeshuhudia mechi nyingi za Simba kama Chama hayupo tumekuwa tukipata ushindi kwa tabu sana na mpira tunaocheza huwa ni wabutua butua. Kifupi Simba mbadala wa Chama kwa sasa hayupo, hata kama kuna siku atacheza chini ya kiwango mashabiki sio wajinga wampende mchezaji bila sababu kwani kawapa rushwa?
Uchambuzi makini kabisa
 
Simba ijiendeshe kisasa, iache kusajili wachezaji ambao umri umeenda.

Iache kungangania wachezaji kisa kuogopa wataenda Yanga
Waaache waendelee ili wajifute kwa mikono yao wenyewe kwenye ramani ya soka
 
Performance ya mechi ya leo na za hivi karibuni inafikirisha sana. Inawezekana wachezaji hawalali masaa ya kutosha. Leo wachezaji wengi walikuwa wanashindwa kabisa hata kutuliza mpira tu hasa kuanzia katikati kwenda mbele, back passes zimerudi, hawakabi, wanatembea tu uwanjani.
Wachezaji hawakuwa na pressure kwasababu walijua kua wanacheza na tawi lao.
 
Back
Top Bottom