Wakuu tutafte hela, huyu dingi anakula mali safi, anaendesha Range Rover.

Duh....
Babu kaendewa kwa waganga, kaendewa kwa Suguye, kaendewa kwa Kuhani Musa na kwa Mwamposa, kawa kada wa ccm
Screenshot_20221119-213553_WhatsApp.jpg
 
Wazee wangetakiwa waangalie familia ya mengi na alicho kiacha...baada ya hapo wajipime.

Mrema nae alioa mdada mdada hivi alifaidigi nini!!!?? Ubatili tu...... Masanja nae na ujana wake,pamoja na kuweza kukidhi mahitaji lkn matokeo yake?
 
Wazee wangetakiwa waangalie familia ya mengi na alicho kiacha...baada ya hapo wajipime.

Mrema nae alioa mdada mdada hivi alifaidigi nini!!!?? Ubatili tu...... Masanja nae na ujana wake,pamoja na kuweza kukidhi mahitaji lkn matokeo yake?
Mkuu hiyo inaitwa dying with dignity.

Mrema, Mengi, Trump nk. Mzee wa miaka 80 kula ama kufa huku unakula katoto ka miaka 25 ni dying with dignity.

Mimi mwenyewe nikifanikiwa kufika 80, hivi vitoto ndio vitaniua. Nzi nifie kwenye kidonda.

Ni heri nifie kwenye nyapu kuliko kufa kwa malaria, huo ni ujinga.
 
Mkuu hiyo inaitwa dying with dignity.

Mrema, Mengi, Trump nk. Mzee wa miaka 80 kula ama kufa huku unakula katoto ka miaka 25 ni dying with dignity.

Mimi mwenyewe nikifanikiwa kufika 80, hivi vitoto ndio vitaniua. Nzi nifie kwenye kidonda.

Ni heri nifie kwenye nyapu kuliko kufa kwa malaria, huo ni ujinga.
Mauti hayachagui mbinu ya kukuchukua .... Miaka 80 utakuwa unafanya nini kitandani na vitoto
 
Back
Top Bottom