Msaada wa kisheria: Namna gani nita-file Shauri la kuomba tafsiri ya mahakama kuhusu mgawanyo halali wa Mali ya mirathi?

JITU BANDIA

JF-Expert Member
Feb 5, 2023
2,680
6,023
Anaandika Nyemo.H Nyemo toka Facebook

Habari za usiku huu,

Naombeni msaada wa kisheria. Leo nimeingia kwa pilato!

Iko hivi wakuu, mzazi wangu wa kiume (baba) alipofariki miaka kadhaa iliyopita nikiwa na miaka mitatu(3). Kulitokea kashkash za ndugu upande wa baba kutaka kumdhulumu nyumba.

Baada ya purukushani za hapa na pale. Mwaka 19 akakabidhiwa nyumba kama msimamizi wa mirathi. Huku ikiandikwa jina langu kama mtoto mkubwa wa kiume.

Ikapita tathmini Fulani ya kupisha ujenzi wa miundombinu Fulani kule lindi. Jina likiwa ni lile lile la kwangu nikiwa Bado na umri wa miaka 13.... Ile tathmini imedumu kwa takribani miaka 24 pasipo malipo.

Ndipo ikarudiwa tena mwaka 2021 nikiwa mtu mzima!, niko kikazi mkoani Kagera. Ikumbukwe kwa miaka yote mzazi wangu wa kike alikuwa akiishi(na Bado wanaishi pamoja na mwanaume mmoja)

Sasa nimekuja kugundua hivi karibuni kuwa alibadili jina! Na kuweka jina lake(nahisi kwa ushauri wa huyo bwana wake)

Kwakuwa ni mama, sikutaka kufatilia saana, hadi hivi sasa ambapo naona huyu mzee, anajipa uhalali kabisa kuwa hiyo fedha yeye ndie ataigawa!

Nimepandwa na hasira mnoo. Na kuona hii ni dharau isiyomithirika wanayotaka kuifanya. Na Mimi siwezi kuvumilia huu upumbavu! Watoto tuko watatu jumla na tuko pamoja kwa hili.

Nilikuwa nna mpango nifungue Shauri la kuomba tafsiri ya mahakama na muongozo wa mgawanyo wa Mali iliyopatikana kutokana na mirathi.

Najua hili linawezekana, na humu kuna manguli wa Sheria humu. Naombeni ushauri na msaada wenu kwenye hili. Je, naanzia wapi!?

Maana nimesoma Sheria yetu ya mirathi ya kimila na kiserikali tunayoitumia(tuliiadapt toka India kama sikosei) ya mwaka 1967.

Inasema wazi, mzazi wa kike atapata theruthi moja ya Mali, na watoto theluthi 2.

Msaada jamani pa kuanzia. Maelezo yamekuwa marefu kumradhi.
 
Anaandika Nyemo.H Nyemo...toka Facebook

Habari za usiku huu,

Naombeni msaada wa kisheria...

Leo nimeingia kwa pilato!
Iko hivi wakuu,

Mzazi wangu wa kiume (baba) alipofariki miaka kadhaa iliyopita nikiwa na miaka mitatu(3),

Kulitokea kashkash za ndugu upande wa baba kutaka kumdhulumu nyumba,

Baada ya purukushani za hapa na pale... Mwaka 19-- akakabidhiwa nyumba kama msimamizi wa mirathi... Huku ikiandikwa jina langu kama mtoto mkubwa wa kiume,

Ikapita tathmini Fulani ya kupisha ujenzi wa miundombinu Fulani kule lindi..

Jina likiwa ni lile lile la kwangu nikiwa Bado na umri wa miaka 13.... Ile tathmini imedumu kwa takribani miaka 24 pasipo malipo...

Ndipo ikarudiwa tena mwaka 2021 nikiwa mtu mzima!, niko kikazi mkoani Kagera,

Ikumbukwe kwa miaka yote mzazi wangu wa kike alikuwa akiishi(na Bado wanaishi pamoja na mwanaume mmoja)

Sasa nimekuja kugundua hivi karibuni kuwa alibadili jina! Na kuweka jina lake(nahisi kwa ushauri wa huyo bwana wake)

Kwakuwa ni mama, sikutaka kufatilia saana, hadi hivi sasa ambapo naona huyu mzee, anajipa uhalali kabisa kuwa hiyo fedha yeye ndie ataigawa!

Nimepandwa na hasira mnoo!... Na kuona hii ni dharau isiyomithirika wanayotaka kuifanya... Na Mimi siwezi kuvumilia huu upumbavu! Watoto tuko watatu jumla na tuko pamoja kwa hili

Nilikuwa nna mpango nifungue Shauri la kuomba tafsiri ya mahakama na muongozo wa mgawanyo wa Mali iliyopatikana kutokana na mirathi....

Najua hili linawezekana, na humu kuna manguli wa Sheria humu... Naombeni ushauri na msaada wenu kwenye hili... Je naanzia wapi!?

Maana nimesoma Sheria yetu ya mirathi ya kimila na kiserikali tunayoitumia(tuliiadapt toka India kama sikosei) ya mwaka 1967...

Inasema wazi.... Mzazi wa kike atapata theruthi moja ya Mali, na watoto theluthi 2....

Msaada jamani pa kuanzia... Maelezo yamekuwa marefu kumradhi.
Siku hizi hadi wazazi hawaaminiki......ngoja watalaam waje
 
Naona hapa kuna mambo mawili yote yapo pamoja yamefungamana:-

1. Mgogoro wa Mirathi.
2. Mgogoro wa Ardhi.

Ushauri wangu kwako;

Kabla ya kujaribu kufanya jambo lolote lile kama vile kufungua Kesi Mahakamani, unatakiwa kufanya Kwanza haya yafuatayo.

1. Fanya Utafiti wa Kina (Due Diligence) ili ujue historia kamili ya umiliki wa ardhi au nyumba iliyopo.
Kama ardhi imesajiliwa, nenda ktk Ofisi ya Ardhi ya Wilaya/Mji/Manispaa na Ofisi ya Kamishina Msaidizi wa Ardhi Mkoa au/na Ofisi ya Msajili wa Hati ili ufanye "Official Search."
Upate taarifa kamili juu ya utaratibu ambao mama yako aliutumia ktk kubadilisha jina la mmiliki wa ardhi hiyo.

2. Pata nakala ya hukumu ya kesi ya mirathi ya marehemu baba yako. Watambue warithi wote halali chini ya Kesi hiyo. Fuatilia ktk Mahakama ambayo ilisikiliza kesi hiyo, Kisha omba kufanya Upekuzi wa Jalada la kesi (Perusal) ili upate picha halisi juu ya nini hasa kilijiri kwenye kesi hiyo, kujua orodha ya warithi, mali zilizoachwa na marehemu, mgawanyo wa mirathi, n.k.

3. Baada ya Kujua yote haya, ndipo sasa utakuwa ktk nafasi nzuri juu ya nini hasa unachotakiwa kufanya.
 
Naona hapa kuna mambo mawili yote yapo pamoja yamefungamana:-
1. Mgogoro wa Mirathi.
2. Mgogoro wa Ardhi.

Ushauri wangu kwako;
Kabla ya kujaribu kufanya jambo lolote lile kama vile kufungua Kesi Mahakamani, unatakiwa kufanya Kwanza haya yafuatayo.
1. Fanya Utafiti wa Kina (Due Diligence) ili ujue historia kamili ya umiliki wa ardhi au nyumba iliyopo.
Kama ardhi imesajiliwa, nenda ktk Ofisi ya Ardhi ya Wilaya/Mji/Manispaa na Ofisi ya Kamishina Msaidizi wa Ardhi Mkoa au/na Ofisi ya Msajili wa Hati ili ufanye "Official Search."
Upate taarifa kamili juu ya utaratibu ambao mama yako aliutumia ktk kubadilisha jina la mmiliki wa ardhi hiyo.
2.Pata nakala ya hukumu ya kesi ya mirathi ya marehemu baba yako.
Watambue warithi wote halali chini ya Kesi hiyo. Fuatilia ktk Mahakama ambayo ilisikiliza kesi hiyo, Kisha omba kufanya Upekuzi wa Jalada la kesi (Perusal) ili upate picha halisi juu ya nini hasa kilijiri kwenye kesi hiyo, kujua orodha ya warithi, mali zilizoachwa na marehemu, mgawanyo wa mirathi, n.k.
3.Baada ya Kujua yote haya, ndipo sasa utakuwa ktk nafasi nzuri juu ya nini hasa unachotakiwa kufanya.
Nakala ya hukumu ya mirathi ipo kabisa mkuu(ninayo)-copy, ya mwaka 199-, na niliitunza vyema mpaka sasa,

Sifikirii kwamba hii iwe kesi, Bali Shauri tu la kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu mgawanyo halali, kila mhusika apate stahili yake kwa haki!

Kama mzazi (mama) angeelewa mapema, kuyamaliza haya kifamilia(dialog). Ingekuwa wazi tungemuachia nusu ya mafao, na sisi kubaki na nusu wa hiyari.

Lakini kwa kuwa amekaidi kwa kiburi cha mme anaeishi nae kumjaza ujinga.

akidhani hizi ni zama za analogia. Ama Bado ni watoto! Tangu mwaka 199-!
Na sasa mimi ndio nina watoto!

Acha liende kisheria, maana ndani ya hiyo theruthi 2 ambayo ni zaidi ya nusu ... Itatoka humo humo gharama ya undeshaji Shauri.

Kwa bahati mbaya nina uzoefu tu wa kesi Za (CMA) mahakama ya kazi, nilisha ziendesha 2 baina ya kampuni 2 kubwa tu tofauti.

Na nikashinda moja kwenye hatua ya awali kabisa(mediation)
na ya pili nikaenda kushinda kwenye hatua ya pili ya (arbitration)

Kitu ambacho kinanitatiza ni je, kuhusu mashauri ya mirathi...

Kuna hatua kama hizi za mediation na arbitration!?
 
Nakala ya hukumu ya mirathi ipo kabisa mkuu(ninayo)-copy, ya mwaka 199-, na niliitunza vyema mpaka sasa,

Sifikirii kwamba hii iwe kesi, Bali Shauri tu la kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu mgawanyo halali, kila mhusika apate stahili yake kwa haki!

Kama mzazi (mama) angeelewa mapema, kuyamaliza haya kifamilia(dialog). Ingekuwa wazi tungemuachia nusu ya mafao, na sisi kubaki na nusu wa hiyari.

Lakini kwa kuwa amekaidi kwa kiburi cha mme anaeishi nae kumjaza ujinga.

akidhani hizi ni zama za analogia. Ama Bado ni watoto! Tangu mwaka 199-!
Na sasa mimi ndio nina watoto!

Acha liende kisheria, maana ndani ya hiyo theruthi 2 ambayo ni zaidi ya nusu ... Itatoka humo humo gharama ya undeshaji Shauri.

Kwa bahati mbaya nina uzoefu tu wa kesi Za (CMA) mahakama ya kazi, nilisha ziendesha 2 baina ya kampuni 2 kubwa tu tofauti.

Na nikashinda moja kwenye hatua ya awali kabisa(mediation)
na ya pili nikaenda kushinda kwenye hatua ya pili ya (arbitration)

Kitu ambacho kinanitatiza ni je, kuhusu mashauri ya mirathi...

Kuna hatua kama hizi za mediation na arbitration!?
Vipi kuhusu historia ya umiliki wa ardhi? Je, unaifahamu vizuri?
 
Anaandika Nyemo.H Nyemo toka Facebook

Habari za usiku huu,

Naombeni msaada wa kisheria. Leo nimeingia kwa pilato!

Iko hivi wakuu, mzazi wangu wa kiume (baba) alipofariki miaka kadhaa iliyopita nikiwa na miaka mitatu(3). Kulitokea kashkash za ndugu upande wa baba kutaka kumdhulumu nyumba.

Baada ya purukushani za hapa na pale. Mwaka 19 akakabidhiwa nyumba kama msimamizi wa mirathi. Huku ikiandikwa jina langu kama mtoto mkubwa wa kiume.

Ikapita tathmini Fulani ya kupisha ujenzi wa miundombinu Fulani kule lindi. Jina likiwa ni lile lile la kwangu nikiwa Bado na umri wa miaka 13.... Ile tathmini imedumu kwa takribani miaka 24 pasipo malipo.

Ndipo ikarudiwa tena mwaka 2021 nikiwa mtu mzima!, niko kikazi mkoani Kagera. Ikumbukwe kwa miaka yote mzazi wangu wa kike alikuwa akiishi(na Bado wanaishi pamoja na mwanaume mmoja)

Sasa nimekuja kugundua hivi karibuni kuwa alibadili jina! Na kuweka jina lake(nahisi kwa ushauri wa huyo bwana wake)

Kwakuwa ni mama, sikutaka kufatilia saana, hadi hivi sasa ambapo naona huyu mzee, anajipa uhalali kabisa kuwa hiyo fedha yeye ndie ataigawa!

Nimepandwa na hasira mnoo. Na kuona hii ni dharau isiyomithirika wanayotaka kuifanya. Na Mimi siwezi kuvumilia huu upumbavu! Watoto tuko watatu jumla na tuko pamoja kwa hili.

Nilikuwa nna mpango nifungue Shauri la kuomba tafsiri ya mahakama na muongozo wa mgawanyo wa Mali iliyopatikana kutokana na mirathi.

Najua hili linawezekana, na humu kuna manguli wa Sheria humu. Naombeni ushauri na msaada wenu kwenye hili. Je, naanzia wapi!?

Maana nimesoma Sheria yetu ya mirathi ya kimila na kiserikali tunayoitumia(tuliiadapt toka India kama sikosei) ya mwaka 1967.

Inasema wazi, mzazi wa kike atapata theruthi moja ya Mali, na watoto theluthi 2.

Msaada jamani pa kuanzia. Maelezo yamekuwa marefu kumradhi.
Hapa hakuna kuomba tafsiri ya mahakama, mahakama ilishamaliza kazi yake. Peleka shauri polisi kwa ajili ya kughushi na pia nenda Ofisi za ardhi anza kwa kuweka zuio kwenye hicho kiwanja hadi umiliki wake uwe sawa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Alibadilisha hati bila consent yako while usha kua above 18 interesting case
 
Hapa hakuna kuomba tafsiri ya mahakama, mahakama ilishamaliza kazi yake. Peleka shauri polisi kwa ajili ya kughushi na pia nenda Ofisi za ardhi anza kwa kuweka zuio kwenye hicho kiwanja hadi umiliki wake uwe sawa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Alibadilisha hati bila consent yako while usha kua above 18 interesting case
Nilijaribu kumshauri hapo juu huyu Mtoa hoja juu ya masuala ambayo anapaswa kuyazigatia kweye hili suala lake, lakini anaonekana yeye kajikita zaidi kwenye suala la Kutaka Kufungua Kesi ya kuomba Mahakama itoe tafsiri ya Mgawanyo wa Mirathi, wakati ukizingatia Kiini cha Madai yake hasa yamejikita kwenye suala la Umiliki wa Ardhi (yaani Mgogoro wa ardhi). Asipokuwa makini na Mwangalifu atakuja kujikuta amefika mahali fulani ambapo amekwama moja kwa moja kisheria, na hakutakuwa na namna ya kuweza kujinasua kutoka kwenye huo mkwamo. Anaonekana huenda ni Mwanasheria, lakini huenda pia hana uzoefu wa kutosha kuhusiana na masuala ya migogoro ya ardhi, yeye amejikita zaidi kwenye Sheria za Mirathi.
 
Ishu anzisha vikao upya vya kifamilia kutaka kujua baada yakifo cha baba ako mali zake (zenu) nani alikabidhiwa asimamie ( mwenyekiti)

Kwakuwa unajitambua panaweza kukupa pakuazia endapo unapenda umkazie baba wa kambo ,kwasababu ukizubaa tu ,baba wakambo huyu ataweza kuitafuna pesa yote na kuwaachia mama kama mzigo
 
Back
Top Bottom