Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

tulikua wapenzi sema ndo hvo si unajua kabla ya ndoa womens behave differently..alikua na vipengele vyake ila vya kawaida tu katka mapenzi..Kimbembe UCHUMBA ulivobadilika na Kuitwa NDOA tu..
Mkuu pole sana hapo ametingisha kibiriti na kukuona anakumudu au anakuweza sifa ya mume unatakiwa uwe hautabiriki. Chakufanya mpuuze Ila hakikisha unatimiza mahitaji yote Kama mume, kisha anza kumpiga Matukio Kama yote Kama kuchelewa Sana kurud siku nyingine la-la hukohuko, Tafuta michepuko hata Miwili tena wawe wazuri kuliko yeye na fanya namna Mkeo aijue, akianza kulalamika unamwambia kiupole tu kuwa we si majukumu yamekushinda, bas endelea hivohivo na usimuombe unyumba, usimtumie SMS akinuna na we wewe usimjali tena jifanye una furaha, ukifanya hivyo mwez tu atabadilika na kuomba po kisha atajirudi. Dawa ya mwanamke no mwanamke mwenzake na dawa ya mtu Jeuri, kiburi na gubu ni kuwa Jeuri,kiburi kumZidi yeye na kumuonyesha kutomjari. Baada ya Miezi 3 had 6 Kama hajabadilika bas Huyo sio riziki yako piga chini weka chuma kingine ndani. Mngekuwa mna watoto ningesema umpandishe cheo awe bimkubwa hata kama Dini hairuhusu.
 
Huyo kapekua Simu yako bila wewe kujua.


Sasa aloyakuta anaona kwanza amefanya kosa kupekua Simu yako bila ridhaa yako Na aloyakuta huko Ndiyo ya Fanya kukununia.

Wanawake wengine bana!

Wako na ujinga mwingi wa kimapokeo.
I swear sina kipengele chochote mbali na mke wng..Sina Sina Sina..ndo maana naona yananishinda..naona nitachepuka soon..Tui limezidi hlf mhusika ndo kwnz haeleweki
 
tulikua wapenzi sema ndo hvo si unajua kabla ya ndoa womens behave differently..alikua na vipengele vyake ila vya kawaida tu katka mapenzi..Kimbembe UCHUMBA ulivobadilika na Kuitwa NDOA tu..

Sasa kwan alikua haoni uhalisia wa maisha yako before? Je game zako za kunyandua hazijui? Kuchokana kupo ila kabla ya mwaka ni balaaa aisee
 
Ww ungekua mimi..day 1 tu ungemuacha..Mie nisingevmilia 10 months kama nisingkua Na uvumiliv nae..Mbali na hilo ana tabia nyingne ambzo hazivumiliki..kingine usichokijua huyu mara zote ninazomsema face to face ungeiona response yake ungempiga makofi..maana haniskilizi kabisa..imagine nkiwa nae tu chumbani bila mie kuongea yeye hatoi neno lolote..Ndoa ishakaa ishajadiliwa mara nyingi mno..na hapo imetokea tu sababu ypo kwa baba ake..
Una uhakika yuko kwa baba yake?
 
Wewe umeoa malaya huyo mwanamke wako anafaa kwa matumizi ya bar kiufupi huyo agogwi bila pesa au zawadi sijui kama akili yako ipo vizuri mwanamke anakunyima haki yako tangu mpo wachumba huoni ukatili huo aliyokufanyia bado tena unaoa unaweka ndani watu wengine mna hela za kuchezea

hakuna mwanaume atakayemuoa ata wewe ukimuacha usijaribu ata kuzaa naye huyo ni single maza mtarajiwa
 
Habari wakuu.. mke wngu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume..


Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though No Mutual Connection..

Mke meseji ninamtumia saa1 asubuhi kujibiwa saa10 jioni. Since Day 1 ya ndoa yangu..sijapata Raha yoyote ile zaidi ya karaha tu.. Leo nimeamua kumtolea uvivu.. WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Kataa ndoa
 
💰💰💰💰💰Inaondoa minuno
Inaleta heshima automatically
Inaondoa uchovu kwa bed hakuna cha leo naumwa wala nin
Inaondoa visirani
Inaleta amani
Inarekebisha tabia
Inshort Mkeo anataka 💰💰💰

Tuendelee kupambana kuzitafuta 💰💰💰
 
Back
Top Bottom