financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Imo tena ya mapacha, jiandae kuitwa baba wawili😀
Hilo jina la baba wawili silipendi.Imo tena ya mapacha, jiandae kuitwa baba wawili😀
Basi tutaita kwa kizungu, baba twins, hapo vipi😜Hilo jina la baba wawili silipendi.
Bado haijawa comfirmed kama ni mimba kwahiyo kamati ya majina bakini nayo kwanza.Basi tutaita kwa kizungu, baba twins, hapo vipi😜
Sitakii, nikiwa kama aunt wa twins nimeshaconfirm😀Bado haijawa comfirmed kama ni mimba kwahiyo kamati ya majina bakini nayo kwanza.
pokea kabisa mkuu baki nazo tu for future use😅.Hongera bado sizipokei mkuu
mwanafunzi bas gerezan Kuna kuhusu ,na kama ni chin ya miaka 18 miaka 30 inakuusu ,na kama hayupo pote pote upo save,lakn Kwa hizo tarehe nkuhakikishie hakuna mimba hapo mkuu ,kama ni kwel Binti yupo sawaKabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Ngoja niihifadhi fofyucha, ahsante mkuupokea kabisa mkuu baki nazo tu for future use😅.
Maana ikidhibitika foleni itakuwa kubwa
Asante mkuuAnza kusave kidogo kidogoView attachment 3316549
Ufafanuzi zaidi kuhusu tareheKama ni
mwanafunzi bas gerezan Kuna kuhusu ,na kama ni chin ya miaka 18 miaka 30 inakuusu ,na kama hayupo pote pote upo save,lakn Kwa hizo tarehe nkuhakikishie hakuna mimba hapo mkuu ,kama ni kwel Binti yupo sawa
Watu hata hatujapima mshajua ni mapacha, ila mashangazi 😂Sitakii, nikiwa kama aunt wa twins nimeshaconfirm😀
Tumepima kwa macho😀Watu hata hatujapima mshajua ni mapacha, ila mashangazi 😂
Mlivyokutana ikawaje? Or you mean mkazini?Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Tulikutana kimwili bila kingaMlivyokutana ikawaje? Or you mean mkazini?
Mbaya hiyo majibu huwa hayawi ya kweli.Tumepima kwa macho😀
Umemshenyeta vilivyo mtoto wa watu aiseee😂 bila gwanda
MImba hiyo baba kijachoo. Hongereni andaa lipa namba wakina Ushimen ,wazee wako wa rika lakooo wakutumie muamala wa pampas.Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Ndio inavyotakiwa mkuu ukipata nafasi tumiaUmemshenyeta vilivyo mtoto wa watu aiseee
Hivi lakini si mkapime tu,wanasema mimba inaonekana after 2 weeks tangu mnyanduano, so mtapata majibuMbaya hiyo majibu huwa hayawi ya kweli.