Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Anza kusave kidogo kidogo
Screenshot_20250426-235439.png
 
Kama ni
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
mwanafunzi bas gerezan Kuna kuhusu ,na kama ni chin ya miaka 18 miaka 30 inakuusu ,na kama hayupo pote pote upo save,lakn Kwa hizo tarehe nkuhakikishie hakuna mimba hapo mkuu ,kama ni kwel Binti yupo sawa
 
Kama ni

mwanafunzi bas gerezan Kuna kuhusu ,na kama ni chin ya miaka 18 miaka 30 inakuusu ,na kama hayupo pote pote upo save,lakn Kwa hizo tarehe nkuhakikishie hakuna mimba hapo mkuu ,kama ni kwel Binti yupo sawa
Ufafanuzi zaidi kuhusu tarehe
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Mlivyokutana ikawaje? Or you mean mkazini?
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
MImba hiyo baba kijachoo. Hongereni andaa lipa namba wakina Ushimen ,wazee wako wa rika lakooo wakutumie muamala wa pampas.
Kwa maana 22 mpaka 30 no danger 31 mpaka 1,2 danger huogipi magonjwa ya azinaa tofautin mimbaa
 
Back
Top Bottom