Mkuu, paka haeleweki wala hatabiriki! Siku moja mtakuja kutuambia hapa. Paka ameshaua wakuu wa nchi wanne na amewakosakosa watatu. Hayo ni kwa mujibu wa kauli na matendo yake. Amemuua Laurent Kabila wa DRC, kamuua Melchior Ndadaye wa Burundi, kamuua Cyprien Ntaryamira wa Burundi, kamuua Juvenal Habyarimana wa Rwanda. Kawakosakosa Jakaya Kikwete wa Tanzania, Pierre Nkurunziza wa Burundi na kamkosakosa rais wa Uganda alipokuwa anamsaidia mtutsi mwenzie na mjomba wake Kaguta Museveni kuitwaa ikulu ya entebe 1986. Ukila nyama ya mtu, huili mara moja, utaendelea kuila kila ukipata nafasi. Ninaamini Magufuli anamjua paka vizuri sana na yupo makini mno. Magufuli kaenda Rwanda kiuchumi zaidi suala la urafiki kalitamka kwa sababu binadamu tumeumbwa na aibu !