Kuhusu Rwanda na Tanzania: Tuweke rekodi sawa

jMali

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
8,379
4,899
Kwa bahati mbaya ziara ya rais wa Tanzania mhe John Magufuli nchini Rwanda inapotoshwa sana hasa na mashabiki wa Rwanda/kagame humu mitandaoni mfano rejea: Wako wapi wale anti Kagame?.
Mhanga wa ziara hiyo amekuwa rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye katika hali isiyo ya kawaida analaumiwa kwa ugomvi ambao kwa mtu yoyote makini ulishakwisha toka mwaka jana! Yafuatayo ni maoni yangu juu ya vitu muhimu ambavyo vinapotoshwa:

1. KUZOROTA UHUSIANO NI KOSA LA KIKWETE:

Ukisoma maoni ya wanazi mbalimbali wa Rwanda/Kagame, Tanzania inaonekana kuwa ndio iliyoikosea Rwanda. Suala hili sio kweli.

Jambo la kwanza lililozorotesha uhusiano wetu na Rwanda ni pale ambapo Tanzania iliamua kuungana na mataifa ya DRC na Afrika kusini kuwapiga waasi wa M23 kijeshi mwaka 2013. Maamuzi haya yalikuwa kinyume na mtazamo wa mataifa ya Kenya, Uganda na Rwanda ambao wakati huo walikuwa wakijiita COW (coalition of the willing), ambao wao walipendelea mazungumzo yasiyokuwa na tija yaendelee kati ya M23 na Uganda. Ni siri iliyokuwa wazi kuwa majeshi ya M23 yalikuwa ni vibaraka wa Rwanda. Hili limethibitishwa na ripoti ya umoja wa mataifa. Pia nchi za marekani na Uingereza zilisitisha misaada kwenda Rwanda kama adhabu (kama sisi tulivyokosa pesa za MCC) kutokana na nchi hizo kujiridhisha kuwa Rwanda ilikuwa nyuma ya M23, cha ajabu Rwanda haikuwahi kuzishutumu nchi hizi kama ambavyo ilimshutumu waziri Bernard Membe ambaye yeye alirejea taarifa hizo hizo za umoja wa mataifa.

Suala lingine lililoleta shida ni pale ambapo rais Kikwete, katika mkutano wa nchi za maziwa makuu, alishauri mazungumzo kati ya serikali na waasi wa nchi mbalimbali zenye vita ikiwapo Rwanda. (chanzo: KIKWETE Statement on Rwanda misquoted | The Rwandan). Ushauri huu ulipokelewa vizuri na nchi zote Uganda na DRC kasoro Rwanda. Hakukuwa na shida yoyote kama Rwanda wangepuuza ushauri wetu, lakini cha ajabu uongozi wa serikali ya Kagame ukalipuka kwa matusi na kashfa mbalimbali za kutuita interahamwe, uzushi kama kabila la mke wa Rais na mengineyo na mwishowe kwa rais Kagame binafsi kutishia kumpiga Kikwete. Hali hii ikapelekea Tanzania nayo kujibu mashambulizi kwa maneno mbalimbali.

Hata hivyo ugomvi huu ulikuwa ni vita baridi, kwani mahusiano ya kibalozi bado yaliendelea pale pale, hakuna siku wananchi wa Tanzania au Rwanda nikiwamo mwandishi wa post hii walizuiwa au kurudishwa mpakani pale walipotaka kuvuka. Hakuna manyanyaso yoyote ambayo raia wa nchi zetu walizipata wakiwa wanaishi na kufanya kazi kihalali nchi nyingine. Hivyo ugomvi huu ulikuwa ni wa ngazi za kisiasa zaidi na haukufika chini kwa viwango vya wananchi kuonana maadui, isipokuwa labda kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa sababu zote kuu mbili za ugomvi wetu, hakuna uwezekano wowote kuwa rais Kikwete au nchi ya Tanzania ndio iliyokosea. Ni upotofu mkubwa kumlaumu Kikwete na Tanzania kutokana na ugomvi uliotokea. Uongozi wa rais Kagame wa Rwanda una historia iliyotukuka ya kugombana na nchi nyingi duniani kuliko nchi yoyote hapa Afrika labda na dunia kutokana na hulka yake ya kibabe. Mifano michache ni:
  • Kufukuzwa kwa ubalozi mzima wa Rwanda nchini Kenya mwaka 1996 kutokana na mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Seth sendashonga yaliyofanywa na maafisa ubalozi huo
  • Kufukuzwa kwa ubalozi wa Rwanda nchini afrika kusini 2014 kutokana na majaribio ya mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Gen Kayumba Nyamwasa.
  • Kufukuzwa kwa diplomat wa Rwanda Evode Mudaheranwa nchini Sweden 2012 kwa tuhuma za kufanya ujasusi dhidi ya wakimbizi wa kisiasa nchini humo.
  • Kufukuzwa kwa diplomats wa Rwanda nchini Burundi 2014 akiwamo Desire Nyaruhirira ambaye baada ya kutoroka inadaiwa nyumbani aliyokuwa anaishi kulikutwa silaha nzito za kijeshi na kiasi kikubwa cha fedha za kimarekani!
Pia kwa nyakati tofauti Rwanda chini ya rais Kagame imeshapambana kivita na Uganda nchini DRC, imeshapamba na DRC wenyewe, burundi etc, na kutokana na ripoti ya UN (rejea: Kutoka ripoti ya UN: Tanzania na Rwanda zilishapigana!) hata Tanzania kupitia M23! Ukiunganisha na kufukuzwa kwa mabalozi wake nchini Kenya, Rwanda chini ya Kagame inakuwa na historia ya kuwa imegombana na nchi zote za EAC! Kwa mifano hiyo michache (ipo mingine ya magomvi na nchi za ulaya na marekani) haiingii akilini kudai kuwa Kikwete/Tanzania ndie chanzo cha kuzorota kwa uhusiano wa nchi zetu mbili. Tulikuwa sahihi na bado tuko sahihi.

2. KURUDI KWA UHUSIANO KUNATOKANA NA ZIARA HII YA MAGUFULI:

Ukweli ni kuwa marais Paul kagame na Jakaya kikwete walikutana na kuzungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya nchi zetu kupishana maneno kwenye mkutano wa 16 wa viongozi wa Afrika mashariki kwenye ukumbi wa KICC pale Nairobi mwezi februari mwaka 2015.

Wiki chache baadae mwezi march 2015 Kagame alikuja Tanzania na kushirikiana na rais Jakaya Kikwete kuzindua njia ya treni kutoka Dar e salaam kwenda rusumo/isaka mpakani mwa Tanzania na Rwanda. Kwa mara nyingine tena Paul Kagame akaja Tanzania mwezi November 2015 kuhudhuria uapishwaji wa rais John Magufuli.

Nashangaa kuona wapotoshaji wanaandika kuwa Magufuli kukubali mwaliko wa Rwanda ndio kumemaliza tofauti zilizokuwapo, pamoja na maneno mengine ya kutudunisha watanzania mbele ya Rwanda, kana kwamba Magufuli kaenda kuomba msamaha! Je kuja kwa Kagame nchini kwetu mara mbili, tena sio kusalimia bali kikazi hakukutosha kumaliza huo ugomvi na badala yake ni Magufuli ndio kamaliza ugomvi kwa kukubali mwaliko wa Kagame kwenda kutembea? Kwa nini Kagame alivyokuja hatukuambiwa kuwa kaja “kujifunza”, “anamkubali sana kikwete” na mengineyo?
kama kuna suala la msamaha kwa namna yoyote ile, ni Kagame ndie aliyeomba msamaha. Kwa tamaduni za kinyarwanda/kihima kutoa ng'ombe ni ishara ya kuomba amani na kuimarisha undugu, sio zawadi inayotolewa kiholela. Mara ya mwisho kwa kagame kutoa ng'ombe ilikuwa ni kurudisha uhusiano wake na rais Museveni na nchi ya uganda baada ya muda mrefu wa vita baridi kama ambayo tulikuwa nayo kati yetu na Rwanda. Bahati mbaya wenzetu wenye asili ya Rwanda humu JF wamekulia Dar es salaam hawaelewi the essence ya zawadi hii. Badala yake wanapiga propaganda zisizo na mashiko. Hata hapa nchini kwa tamaduni za makabila mbalimbali ukichukua mtoto wa mtu au 'mzigo' wa mtu unatozwa faini ya mifugo. Anayetoa mifugo ni yule mwenye makosa. :D

Anyway, ieleweke kuwa kuimarika kwa uhusiano wetu kwa sasa hakuna uhusiano wowote na nchi yetu kubadili msimamo wake juu ya masuala yote ambayo yalikuwa chanzo cha ugomvi wetu na Rwanda. Kwa bahati nzuri ni kuwa makundi ya M23 na FDLR yameondolewa nchini DRC (at least kwa upande wa vita), na hivyo hatuna sababu tena ya kupishana kauli. Lakini urafiki huu haumaanishi kuwa Tanzania itaungana na Rwanda/Kagame katika kila jambo, bado Tanzania ni ile ile isiyoyumbishwa kimsimamo.

Wenu katika ujenzi wa taifa, Jmali
 
na ndoto za alinacha FDLR jMali ndio kwanza zinaanza! eti FDLR wameondolewa DRC? haya... RDF Repulses FDLR In Late Night Attack, One Dead - KT PRESS hebu kwanza tuachane na hao ndugu zako FDLR nianze nikupe za Mheshimiwa Raisi Magufuli! ninaimani hata yeye alijisikia yuko nyumbani, vijana wetu waliosomea Mlimani, Mzumbe, Sokoine walijimix na delegation ya Raisi Magufuli mpaka raha yani! Man... you have got to admire him! n'IMFURA pe! kwanza ile ongea yake tu na jinsi alivyo-livyo basi hapa Kigali tukajua tu KWELI zama za uongozi wa kinafiki kwenye hizi nchi zetu MASIKINI ushapitwa na wakati! sijui ni semeje lakini ndugu yangu jMali kama bado upo busy na zile plan zenu za kuisumbua Rwanda basi bora ungetafuta chaka jingine na sio kwa Mheshimiwa Magufuli! REFRESHING REFRESHING REFRESHING
 
hebu msikilize basi kidogo kuanzia dakika ya nane na kama ukijisikia poa unaweza ukaisikiliza yote kwani na mtemi wenu Mheshimiwa Raisi Kagame nae kaongea kwa kiswahili
 
#respect Mheshimiwa Raisi Magufuli! haya ndio mambo yanayotuhangaisha wanyarwanda kila siku na Raisi mstaafu Kikwete tulikuwa tukimuambia kila siku lakini Mkwere akaona hilo sio tatizo sema tatizo ni kutokubali kusikilizana na wauwaji wa FDLR jMali Magufuli to Kagame "... and indeed we commend you for the courage and determination that has brought so much honor not only to your country but to the entire continent and in addition to that, you always speak your mind, you never hide anything; IF IT IS A STONE, YOU SAY IT IS A STONE "
 
ah wapi nisome nini sasa? FDLR haiko tena DRC?
Habari hiyo mimi siwezi kuiamini, inatokea KT press na haina chembe ya ushahidi wowote ule third party. Tutasameheana kwa hilo. Sijaona sehemu yoyote ambayo inathibitishwa kuwa hao ni FDLR na hata kama tukio hilo limetokea in the first place na sio maigizo ya Kagame.
Kila mtu anajua kuwa FDLR walishaachana na mpango wowote wa kuishambulia Rwanda kijeshi na wala hawana sababu ya kufanya hivyo strategically. Na hata hayo mashambulizi yaliyopita yote yalikuwa ni sarakasi za Kagame.
Utakumbuka kuwa uchunguzi wa UN ulibaini kuwa serikali yenu ilifanya maigizo ya kujifanya imeshambuliwa na FARDC exactly the same time wakati majeshi ya Tanzania yapo DRC yakipambana na M23, ili RDF wapate sababu ya kuingia DRC kuisaidia M23 wakijifanya wanalinda usalama wa Rwanda.
Kila siku mnachokozana na FARDC, sasa hao mabwana wamevaa sare za FARDC wewe unadai ni FDLR, why are you so sure? Kwa nini isiwe mapigano yenu ya kila siku ya kampa kampa tena na FARDC?
 
hapo sasa ndio ujuwe kuwa na jirani nuksi ni mbaya sana! yani FDLR inatumia vifaa vya FARDC na serikali ya DRC bado inawakenulia tu? ingawa chanzo ni kutoka Rwanda lakini hii habari imeripotiwa sana tu na maiti ndio kama unavyoziona kwenye picture!
 
hapo sasa ndio ujuwe kuwa na jirani nuksi ni mbaya sana! yani FDLR inatumia vifaa vya FARDC na serikali ya DRC bado inawakenulia tu? ingawa chanzo ni kutoka Rwanda lakini hii habari imeripotiwa sana tu na maiti ndio kama unavyoziona kwenye picture!
habari kama hizi unatakiwa uzilete toka vyanzo vingine vya habari sio vya Rwanda. Vyanzo hivi hivi ndivyo vilivyosema FDLR wako ikulu magogoni na utumbo mwingine. Na bado mbona husemi iweje watu wenye sare za FARDC waitwe FDLR? Na haijawahi hata siku moja FDLR kuvaa sare za FARDC? Na Rwanda si ilisema FDLR baada ya kufurumushwa na TZ DRC walihamia Burundi? Imekuwaje tena? walirudi?:D
 
habari kama hizi unatakiwa uzilete toka vyanzo vingine vya habari sio vya Rwanda. Vyanzo hivi hivi ndivyo vilivyosema FDLR wako ikulu magogoni na utumbo mwingine. Na bado mbona husemi iweje watu wenye sare za FARDC waitwe FDLR? Na haijawahi hata siku moja FDLR kuvaa sare za FARDC? Na Rwanda si ilisema FDLR baada ya kufurumushwa na TZ DRC walihamia Burundi? Imekuwaje tena? walirudi?:D
kwani hawakuwepo? kwanza nakuomba usidanganye hata kidogo please! FDLR ndio ilikuwa mstali wa mbele hilo linajulikana
 
kwani hawakuwepo? kwanza nakuomba usidanganye hata kidogo please! FDLR ndio ilikuwa mstali wa mbele hilo linajulikana
Kwa hiyo FDLR wamejigawa Burundi na DRC at the same time na kote wanapiga mziki? :rolleyes:
 
Kwa bahati mbaya ziara ya rais wa Tanzania mhe John Magufuli nchini Rwanda inapotoshwa sana hasa na mashabiki wa Rwanda/kagame humu mitandaoni mfano rejea: Wako wapi wale anti Kagame?.
Mhanga wa ziara hiyo amekuwa rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye katika hali isiyo ya kawaida analaumiwa kwa ugomvi ambao kwa mtu yoyote makini ulishakwisha toka mwaka jana! Yafuatayo ni maoni yangu juu ya vitu muhimu ambavyo vinapotoshwa:

1. KUZOROTA UHUSIANO NI KOSA LA KIKWETE:

Ukisoma maoni ya wanazi mbalimbali wa Rwanda/Kagame, Tanzania inaonekana kuwa ndio iliyoikosea Rwanda. Suala hili sio kweli.

Jambo la kwanza lililozorotesha uhusiano wetu na Rwanda ni pale ambapo Tanzania iliamua kuungana na mataifa ya DRC na Afrika kusini kuwapiga waasi wa M23 kijeshi mwaka 2013. Maamuzi haya yalikuwa kinyume na mtazamo wa mataifa ya Kenya, Uganda na Rwanda ambao wakati huo walikuwa wakijiita COW (coalition of the willing), ambao wao walipendelea mazungumzo yasiyokuwa na tija yaendelee kati ya M23 na Uganda. Ni siri iliyokuwa wazi kuwa majeshi ya M23 yalikuwa ni vibaraka wa Rwanda. Hili limethibitishwa na ripoti ya umoja wa mataifa. Pia nchi za marekani na Uingereza zilisitisha misaada kwenda Rwanda kama adhabu (kama sisi tulivyokosa pesa za MCC) kutokana na nchi hizo kujiridhisha kuwa Rwanda ilikuwa nyuma ya M23, cha ajabu Rwanda haikuwahi kuzishutumu nchi hizi kama ambavyo ilimshutumu waziri Bernard Membe ambaye yeye alirejea taarifa hizo hizo za umoja wa mataifa.

Suala lingine lililoleta shida ni pale ambapo rais Kikwete, katika mkutano wa nchi za maziwa makuu, alishauri mazungumzo kati ya serikali na waasi wa nchi mbalimbali zenye vita ikiwapo Rwanda. (chanzo: KIKWETE Statement on Rwanda misquoted | The Rwandan). Ushauri huu ulipokelewa vizuri na nchi zote Uganda na DRC kasoro Rwanda. Hakukuwa na shida yoyote kama Rwanda wangepuuza ushauri wetu, lakini cha ajabu uongozi wa serikali ya Kagame ukalipuka kwa matusi na kashfa mbalimbali za kutuita interahamwe, uzushi kama kabila la mke wa Rais na mengineyo na mwishowe kwa rais Kagame binafsi kutishia kumpiga Kikwete. Hali hii ikapelekea Tanzania nayo kujibu mashambulizi kwa maneno mbalimbali.

Hata hivyo ugomvi huu ulikuwa ni vita baridi, kwani mahusiano ya kibalozi bado yaliendelea pale pale, hakuna siku wananchi wa Tanzania au Rwanda nikiwamo mwandishi wa post hii walizuiwa au kurudishwa mpakani pale walipotaka kuvuka. Hakuna manyanyaso yoyote ambayo raia wa nchi zetu walizipata wakiwa wanaishi na kufanya kazi kihalali nchi nyingine. Hivyo ugomvi huu ulikuwa ni wa ngazi za kisiasa zaidi na haukufika chini kwa viwango vya wananchi kuonana maadui, isipokuwa labda kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa sababu zote kuu mbili za ugomvi wetu, hakuna uwezekano wowote kuwa rais Kikwete au nchi ya Tanzania ndio iliyokosea. Ni upotofu mkubwa kumlaumu Kikwete na Tanzania kutokana na ugomvi uliotokea. Uongozi wa rais Kagame wa Rwanda una historia iliyotukuka ya kugombana na nchi nyingi duniani kuliko nchi yoyote hapa Afrika labda na dunia kutokana na hulka yake ya kibabe. Mifano michache ni:
  • Kufukuzwa kwa ubalozi mzima wa Rwanda nchini Kenya mwaka 1996 kutokana na mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Seth sendashonga yaliyofanywa na maafisa ubalozi huo
  • Kufukuzwa kwa ubalozi wa Rwanda nchini afrika kusini 2014 kutokana na majaribio ya mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Gen Kayumba Nyamwasa.
  • Kufukuzwa kwa diplomat wa Rwanda Evode Mudaheranwa nchini Sweden 2012 kwa tuhuma za kufanya ujasusi dhidi ya wakimbizi wa kisiasa nchini humo.
  • Kufukuzwa kwa diplomats wa Rwanda nchini Burundi 2014 akiwamo Desire Nyaruhirira ambaye baada ya kutoroka inadaiwa nyumbani aliyokuwa anaishi kulikutwa silaha nzito za kijeshi na kiasi kikubwa cha fedha za kimarekani!
Pia kwa nyakati tofauti Rwanda chini ya rais Kagame imeshapambana kivita na Uganda nchini DRC, imeshapamba na DRC wenyewe, burundi etc, na kutokana na ripoti ya UN (rejea: Kutoka ripoti ya UN: Tanzania na Rwanda zilishapigana!) hata Tanzania kupitia M23! Ukiunganisha na kufukuzwa kwa mabalozi wake nchini Kenya, Rwanda chini ya Kagame inakuwa na historia ya kuwa imegombana na nchi zote za EAC! Kwa mifano hiyo michache (ipo mingine ya magomvi na nchi za ulaya na marekani) haiingii akilini kudai kuwa Kikwete/Tanzania ndie chanzo cha kuzorota kwa uhusiano wa nchi zetu mbili. Tulikuwa sahihi na bado tuko sahihi.

2. KURUDI KWA UHUSIANO KUNATOKANA NA ZIARA HII YA MAGUFULI:

Ukweli ni kuwa marais Paul kagame na Jakaya kikwete walikutana na kuzungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya nchi zetu kupishana maneno kwenye mkutano wa 16 wa viongozi wa Afrika mashariki kwenye ukumbi wa KICC pale Nairobi mwezi februari mwaka 2015.

Wiki chache baadae mwezi march 2015 Kagame alikuja Tanzania na kushirikiana na rais Jakaya Kikwete kuzindua njia ya treni kutoka Dar e salaam kwenda rusumo/isaka mpakani mwa Tanzania na Rwanda. Kwa mara nyingine tena Paul Kagame akaja Tanzania mwezi November 2015 kuhudhuria uapishwaji wa rais John Magufuli.

Nashangaa kuona wapotoshaji wanaandika kuwa Magufuli kukubali mwaliko wa Rwanda ndio kumemaliza tofauti zilizokuwapo, pamoja na maneno mengine ya kutudunisha watanzania mbele ya Rwanda, kana kwamba Magufuli kaenda kuomba msamaha! Je kuja kwa Kagame nchini kwetu mara mbili, tena sio kusalimia bali kikazi hakukutosha kumaliza huo ugomvi na badala yake ni Magufuli ndio kamaliza ugomvi kwa kukubali mwaliko wa Kagame kwenda kutembea? Kwa nini Kagame alivyokuja hatukuambiwa kuwa kaja “kujifunza”, “anamkubali sana kikwete” na mengineyo?
kama kuna suala la msamaha kwa namna yoyote ile, ni Kagame ndie aliyeomba msamaha. Kwa tamaduni za kinyarwanda/kihima kutoa ng'ombe ni ishara ya kuomba amani na kuimarisha undugu, sio zawadi inayotolewa kiholela. Mara ya mwisho kwa kagame kutoa ng'ombe ilikuwa ni kurudisha uhusiano wake na rais Museveni na nchi ya uganda baada ya muda mrefu wa vita baridi kama ambayo tulikuwa nayo kati yetu na Rwanda. Bahati mbaya wenzetu wenye asili ya Rwanda humu JF wamekulia Dar es salaam hawaelewi the essence ya zawadi hii. Badala yake wanapiga propaganda zisizo na mashiko. Hata hapa nchini kwa tamaduni za makabila mbalimbali ukichukua mtoto wa mtu au 'mzigo' wa mtu unatozwa faini ya mifugo. Anayetoa mifugo ni yule mwenye makosa. :D

Anyway, ieleweke kuwa kuimarika kwa uhusiano wetu kwa sasa hakuna uhusiano wowote na nchi yetu kubadili msimamo wake juu ya masuala yote ambayo yalikuwa chanzo cha ugomvi wetu na Rwanda. Kwa bahati nzuri ni kuwa makundi ya M23 na FDLR yameondolewa nchini DRC (at least kwa upande wa vita), na hivyo hatuna sababu tena ya kupishana kauli. Lakini urafiki huu haumaanishi kuwa Tanzania itaungana na Rwanda/Kagame katika kila jambo, bado Tanzania ni ile ile isiyoyumbishwa kimsimamo.

Wenu katika ujenzi wa taifa, Jmali
Mara ya mwisho tunakutana hapa ulikimbia kwa kisingizio unaenda kulala kumbe ulikuwa unaenda kukusanya propaganda za kujaza server hapa. Ngoja nimalize majukumu ya jpili halafu nitarudi
 
Kwa bahati mbaya ziara ya rais wa Tanzania mhe John Magufuli nchini Rwanda inapotoshwa sana hasa na mashabiki wa Rwanda/kagame humu mitandaoni mfano rejea: Wako wapi wale anti Kagame?.
Mhanga wa ziara hiyo amekuwa rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye katika hali isiyo ya kawaida analaumiwa kwa ugomvi ambao kwa mtu yoyote makini ulishakwisha toka mwaka jana! Yafuatayo ni maoni yangu juu ya vitu muhimu ambavyo vinapotoshwa:

1. KUZOROTA UHUSIANO NI KOSA LA KIKWETE:

Ukisoma maoni ya wanazi mbalimbali wa Rwanda/Kagame, Tanzania inaonekana kuwa ndio iliyoikosea Rwanda. Suala hili sio kweli.

Jambo la kwanza lililozorotesha uhusiano wetu na Rwanda ni pale ambapo Tanzania iliamua kuungana na mataifa ya DRC na Afrika kusini kuwapiga waasi wa M23 kijeshi mwaka 2013. Maamuzi haya yalikuwa kinyume na mtazamo wa mataifa ya Kenya, Uganda na Rwanda ambao wakati huo walikuwa wakijiita COW (coalition of the willing), ambao wao walipendelea mazungumzo yasiyokuwa na tija yaendelee kati ya M23 na Uganda. Ni siri iliyokuwa wazi kuwa majeshi ya M23 yalikuwa ni vibaraka wa Rwanda. Hili limethibitishwa na ripoti ya umoja wa mataifa. Pia nchi za marekani na Uingereza zilisitisha misaada kwenda Rwanda kama adhabu (kama sisi tulivyokosa pesa za MCC) kutokana na nchi hizo kujiridhisha kuwa Rwanda ilikuwa nyuma ya M23, cha ajabu Rwanda haikuwahi kuzishutumu nchi hizi kama ambavyo ilimshutumu waziri Bernard Membe ambaye yeye alirejea taarifa hizo hizo za umoja wa mataifa.

Suala lingine lililoleta shida ni pale ambapo rais Kikwete, katika mkutano wa nchi za maziwa makuu, alishauri mazungumzo kati ya serikali na waasi wa nchi mbalimbali zenye vita ikiwapo Rwanda. (chanzo: KIKWETE Statement on Rwanda misquoted | The Rwandan). Ushauri huu ulipokelewa vizuri na nchi zote Uganda na DRC kasoro Rwanda. Hakukuwa na shida yoyote kama Rwanda wangepuuza ushauri wetu, lakini cha ajabu uongozi wa serikali ya Kagame ukalipuka kwa matusi na kashfa mbalimbali za kutuita interahamwe, uzushi kama kabila la mke wa Rais na mengineyo na mwishowe kwa rais Kagame binafsi kutishia kumpiga Kikwete. Hali hii ikapelekea Tanzania nayo kujibu mashambulizi kwa maneno mbalimbali.

Hata hivyo ugomvi huu ulikuwa ni vita baridi, kwani mahusiano ya kibalozi bado yaliendelea pale pale, hakuna siku wananchi wa Tanzania au Rwanda nikiwamo mwandishi wa post hii walizuiwa au kurudishwa mpakani pale walipotaka kuvuka. Hakuna manyanyaso yoyote ambayo raia wa nchi zetu walizipata wakiwa wanaishi na kufanya kazi kihalali nchi nyingine. Hivyo ugomvi huu ulikuwa ni wa ngazi za kisiasa zaidi na haukufika chini kwa viwango vya wananchi kuonana maadui, isipokuwa labda kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa sababu zote kuu mbili za ugomvi wetu, hakuna uwezekano wowote kuwa rais Kikwete au nchi ya Tanzania ndio iliyokosea. Ni upotofu mkubwa kumlaumu Kikwete na Tanzania kutokana na ugomvi uliotokea. Uongozi wa rais Kagame wa Rwanda una historia iliyotukuka ya kugombana na nchi nyingi duniani kuliko nchi yoyote hapa Afrika labda na dunia kutokana na hulka yake ya kibabe. Mifano michache ni:
  • Kufukuzwa kwa ubalozi mzima wa Rwanda nchini Kenya mwaka 1996 kutokana na mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Seth sendashonga yaliyofanywa na maafisa ubalozi huo
  • Kufukuzwa kwa ubalozi wa Rwanda nchini afrika kusini 2014 kutokana na majaribio ya mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Gen Kayumba Nyamwasa.
  • Kufukuzwa kwa diplomat wa Rwanda Evode Mudaheranwa nchini Sweden 2012 kwa tuhuma za kufanya ujasusi dhidi ya wakimbizi wa kisiasa nchini humo.
  • Kufukuzwa kwa diplomats wa Rwanda nchini Burundi 2014 akiwamo Desire Nyaruhirira ambaye baada ya kutoroka inadaiwa nyumbani aliyokuwa anaishi kulikutwa silaha nzito za kijeshi na kiasi kikubwa cha fedha za kimarekani!
Pia kwa nyakati tofauti Rwanda chini ya rais Kagame imeshapambana kivita na Uganda nchini DRC, imeshapamba na DRC wenyewe, burundi etc, na kutokana na ripoti ya UN (rejea: Kutoka ripoti ya UN: Tanzania na Rwanda zilishapigana!) hata Tanzania kupitia M23! Ukiunganisha na kufukuzwa kwa mabalozi wake nchini Kenya, Rwanda chini ya Kagame inakuwa na historia ya kuwa imegombana na nchi zote za EAC! Kwa mifano hiyo michache (ipo mingine ya magomvi na nchi za ulaya na marekani) haiingii akilini kudai kuwa Kikwete/Tanzania ndie chanzo cha kuzorota kwa uhusiano wa nchi zetu mbili. Tulikuwa sahihi na bado tuko sahihi.

2. KURUDI KWA UHUSIANO KUNATOKANA NA ZIARA HII YA MAGUFULI:

Ukweli ni kuwa marais Paul kagame na Jakaya kikwete walikutana na kuzungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya nchi zetu kupishana maneno kwenye mkutano wa 16 wa viongozi wa Afrika mashariki kwenye ukumbi wa KICC pale Nairobi mwezi februari mwaka 2015.

Wiki chache baadae mwezi march 2015 Kagame alikuja Tanzania na kushirikiana na rais Jakaya Kikwete kuzindua njia ya treni kutoka Dar e salaam kwenda rusumo/isaka mpakani mwa Tanzania na Rwanda. Kwa mara nyingine tena Paul Kagame akaja Tanzania mwezi November 2015 kuhudhuria uapishwaji wa rais John Magufuli.

Nashangaa kuona wapotoshaji wanaandika kuwa Magufuli kukubali mwaliko wa Rwanda ndio kumemaliza tofauti zilizokuwapo, pamoja na maneno mengine ya kutudunisha watanzania mbele ya Rwanda, kana kwamba Magufuli kaenda kuomba msamaha! Je kuja kwa Kagame nchini kwetu mara mbili, tena sio kusalimia bali kikazi hakukutosha kumaliza huo ugomvi na badala yake ni Magufuli ndio kamaliza ugomvi kwa kukubali mwaliko wa Kagame kwenda kutembea? Kwa nini Kagame alivyokuja hatukuambiwa kuwa kaja “kujifunza”, “anamkubali sana kikwete” na mengineyo?
kama kuna suala la msamaha kwa namna yoyote ile, ni Kagame ndie aliyeomba msamaha. Kwa tamaduni za kinyarwanda/kihima kutoa ng'ombe ni ishara ya kuomba amani na kuimarisha undugu, sio zawadi inayotolewa kiholela. Mara ya mwisho kwa kagame kutoa ng'ombe ilikuwa ni kurudisha uhusiano wake na rais Museveni na nchi ya uganda baada ya muda mrefu wa vita baridi kama ambayo tulikuwa nayo kati yetu na Rwanda. Bahati mbaya wenzetu wenye asili ya Rwanda humu JF wamekulia Dar es salaam hawaelewi the essence ya zawadi hii. Badala yake wanapiga propaganda zisizo na mashiko. Hata hapa nchini kwa tamaduni za makabila mbalimbali ukichukua mtoto wa mtu au 'mzigo' wa mtu unatozwa faini ya mifugo. Anayetoa mifugo ni yule mwenye makosa. :D

Anyway, ieleweke kuwa kuimarika kwa uhusiano wetu kwa sasa hakuna uhusiano wowote na nchi yetu kubadili msimamo wake juu ya masuala yote ambayo yalikuwa chanzo cha ugomvi wetu na Rwanda. Kwa bahati nzuri ni kuwa makundi ya M23 na FDLR yameondolewa nchini DRC (at least kwa upande wa vita), na hivyo hatuna sababu tena ya kupishana kauli. Lakini urafiki huu haumaanishi kuwa Tanzania itaungana na Rwanda/Kagame katika kila jambo, bado Tanzania ni ile ile isiyoyumbishwa kimsimamo.

Wenu katika ujenzi wa taifa, Jmali
“This time, I think relations have become extremely warm and a new chapter is being opened, and there have been a tremendous amount of goodwill and assurances from both sides, and I think we are on a totally different trajectory in terms of relations between Tanzania and Rwanda,”said Mahiga.
 
Kwa bahati mbaya ziara ya rais wa Tanzania mhe John Magufuli nchini Rwanda inapotoshwa sana hasa na mashabiki wa Rwanda/kagame humu mitandaoni mfano rejea: Wako wapi wale anti Kagame?.
Mhanga wa ziara hiyo amekuwa rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye katika hali isiyo ya kawaida analaumiwa kwa ugomvi ambao kwa mtu yoyote makini ulishakwisha toka mwaka jana! Yafuatayo ni maoni yangu juu ya vitu muhimu ambavyo vinapotoshwa:

1. KUZOROTA UHUSIANO NI KOSA LA KIKWETE:

Ukisoma maoni ya wanazi mbalimbali wa Rwanda/Kagame, Tanzania inaonekana kuwa ndio iliyoikosea Rwanda. Suala hili sio kweli.

Jambo la kwanza lililozorotesha uhusiano wetu na Rwanda ni pale ambapo Tanzania iliamua kuungana na mataifa ya DRC na Afrika kusini kuwapiga waasi wa M23 kijeshi mwaka 2013. Maamuzi haya yalikuwa kinyume na mtazamo wa mataifa ya Kenya, Uganda na Rwanda ambao wakati huo walikuwa wakijiita COW (coalition of the willing), ambao wao walipendelea mazungumzo yasiyokuwa na tija yaendelee kati ya M23 na Uganda. Ni siri iliyokuwa wazi kuwa majeshi ya M23 yalikuwa ni vibaraka wa Rwanda. Hili limethibitishwa na ripoti ya umoja wa mataifa. Pia nchi za marekani na Uingereza zilisitisha misaada kwenda Rwanda kama adhabu (kama sisi tulivyokosa pesa za MCC) kutokana na nchi hizo kujiridhisha kuwa Rwanda ilikuwa nyuma ya M23, cha ajabu Rwanda haikuwahi kuzishutumu nchi hizi kama ambavyo ilimshutumu waziri Bernard Membe ambaye yeye alirejea taarifa hizo hizo za umoja wa mataifa.

Suala lingine lililoleta shida ni pale ambapo rais Kikwete, katika mkutano wa nchi za maziwa makuu, alishauri mazungumzo kati ya serikali na waasi wa nchi mbalimbali zenye vita ikiwapo Rwanda. (chanzo: KIKWETE Statement on Rwanda misquoted | The Rwandan). Ushauri huu ulipokelewa vizuri na nchi zote Uganda na DRC kasoro Rwanda. Hakukuwa na shida yoyote kama Rwanda wangepuuza ushauri wetu, lakini cha ajabu uongozi wa serikali ya Kagame ukalipuka kwa matusi na kashfa mbalimbali za kutuita interahamwe, uzushi kama kabila la mke wa Rais na mengineyo na mwishowe kwa rais Kagame binafsi kutishia kumpiga Kikwete. Hali hii ikapelekea Tanzania nayo kujibu mashambulizi kwa maneno mbalimbali.

Hata hivyo ugomvi huu ulikuwa ni vita baridi, kwani mahusiano ya kibalozi bado yaliendelea pale pale, hakuna siku wananchi wa Tanzania au Rwanda nikiwamo mwandishi wa post hii walizuiwa au kurudishwa mpakani pale walipotaka kuvuka. Hakuna manyanyaso yoyote ambayo raia wa nchi zetu walizipata wakiwa wanaishi na kufanya kazi kihalali nchi nyingine. Hivyo ugomvi huu ulikuwa ni wa ngazi za kisiasa zaidi na haukufika chini kwa viwango vya wananchi kuonana maadui, isipokuwa labda kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa sababu zote kuu mbili za ugomvi wetu, hakuna uwezekano wowote kuwa rais Kikwete au nchi ya Tanzania ndio iliyokosea. Ni upotofu mkubwa kumlaumu Kikwete na Tanzania kutokana na ugomvi uliotokea. Uongozi wa rais Kagame wa Rwanda una historia iliyotukuka ya kugombana na nchi nyingi duniani kuliko nchi yoyote hapa Afrika labda na dunia kutokana na hulka yake ya kibabe. Mifano michache ni:
  • Kufukuzwa kwa ubalozi mzima wa Rwanda nchini Kenya mwaka 1996 kutokana na mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Seth sendashonga yaliyofanywa na maafisa ubalozi huo
  • Kufukuzwa kwa ubalozi wa Rwanda nchini afrika kusini 2014 kutokana na majaribio ya mauaji ya mpinzani/mkimbizi wa kisiasa Gen Kayumba Nyamwasa.
  • Kufukuzwa kwa diplomat wa Rwanda Evode Mudaheranwa nchini Sweden 2012 kwa tuhuma za kufanya ujasusi dhidi ya wakimbizi wa kisiasa nchini humo.
  • Kufukuzwa kwa diplomats wa Rwanda nchini Burundi 2014 akiwamo Desire Nyaruhirira ambaye baada ya kutoroka inadaiwa nyumbani aliyokuwa anaishi kulikutwa silaha nzito za kijeshi na kiasi kikubwa cha fedha za kimarekani!
Pia kwa nyakati tofauti Rwanda chini ya rais Kagame imeshapambana kivita na Uganda nchini DRC, imeshapamba na DRC wenyewe, burundi etc, na kutokana na ripoti ya UN (rejea: Kutoka ripoti ya UN: Tanzania na Rwanda zilishapigana!) hata Tanzania kupitia M23! Ukiunganisha na kufukuzwa kwa mabalozi wake nchini Kenya, Rwanda chini ya Kagame inakuwa na historia ya kuwa imegombana na nchi zote za EAC! Kwa mifano hiyo michache (ipo mingine ya magomvi na nchi za ulaya na marekani) haiingii akilini kudai kuwa Kikwete/Tanzania ndie chanzo cha kuzorota kwa uhusiano wa nchi zetu mbili. Tulikuwa sahihi na bado tuko sahihi.

2. KURUDI KWA UHUSIANO KUNATOKANA NA ZIARA HII YA MAGUFULI:

Ukweli ni kuwa marais Paul kagame na Jakaya kikwete walikutana na kuzungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya nchi zetu kupishana maneno kwenye mkutano wa 16 wa viongozi wa Afrika mashariki kwenye ukumbi wa KICC pale Nairobi mwezi februari mwaka 2015.

Wiki chache baadae mwezi march 2015 Kagame alikuja Tanzania na kushirikiana na rais Jakaya Kikwete kuzindua njia ya treni kutoka Dar e salaam kwenda rusumo/isaka mpakani mwa Tanzania na Rwanda. Kwa mara nyingine tena Paul Kagame akaja Tanzania mwezi November 2015 kuhudhuria uapishwaji wa rais John Magufuli.

Nashangaa kuona wapotoshaji wanaandika kuwa Magufuli kukubali mwaliko wa Rwanda ndio kumemaliza tofauti zilizokuwapo, pamoja na maneno mengine ya kutudunisha watanzania mbele ya Rwanda, kana kwamba Magufuli kaenda kuomba msamaha! Je kuja kwa Kagame nchini kwetu mara mbili, tena sio kusalimia bali kikazi hakukutosha kumaliza huo ugomvi na badala yake ni Magufuli ndio kamaliza ugomvi kwa kukubali mwaliko wa Kagame kwenda kutembea? Kwa nini Kagame alivyokuja hatukuambiwa kuwa kaja “kujifunza”, “anamkubali sana kikwete” na mengineyo?
kama kuna suala la msamaha kwa namna yoyote ile, ni Kagame ndie aliyeomba msamaha. Kwa tamaduni za kinyarwanda/kihima kutoa ng'ombe ni ishara ya kuomba amani na kuimarisha undugu, sio zawadi inayotolewa kiholela. Mara ya mwisho kwa kagame kutoa ng'ombe ilikuwa ni kurudisha uhusiano wake na rais Museveni na nchi ya uganda baada ya muda mrefu wa vita baridi kama ambayo tulikuwa nayo kati yetu na Rwanda. Bahati mbaya wenzetu wenye asili ya Rwanda humu JF wamekulia Dar es salaam hawaelewi the essence ya zawadi hii. Badala yake wanapiga propaganda zisizo na mashiko. Hata hapa nchini kwa tamaduni za makabila mbalimbali ukichukua mtoto wa mtu au 'mzigo' wa mtu unatozwa faini ya mifugo. Anayetoa mifugo ni yule mwenye makosa. :D

Anyway, ieleweke kuwa kuimarika kwa uhusiano wetu kwa sasa hakuna uhusiano wowote na nchi yetu kubadili msimamo wake juu ya masuala yote ambayo yalikuwa chanzo cha ugomvi wetu na Rwanda. Kwa bahati nzuri ni kuwa makundi ya M23 na FDLR yameondolewa nchini DRC (at least kwa upande wa vita), na hivyo hatuna sababu tena ya kupishana kauli. Lakini urafiki huu haumaanishi kuwa Tanzania itaungana na Rwanda/Kagame katika kila jambo, bado Tanzania ni ile ile isiyoyumbishwa kimsimamo.

Wenu katika ujenzi wa taifa, Jmali
Asante kwa keweka mambo sawa mkuu!
jMali = Ikinyamakuru Kivugira AbaturaTanzania!
 
kwa namna serikali ya sasa ya Rwanda ilivoingia madarakani si rahisi Tanzania kuwa na uhusiano mzuri nayo
 
Back
Top Bottom