Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Yaani mbu hapa room kwangu kuna mbu! Dawa sina nilimtuma ps toka juzi hajaleta na Mimi navochukia dawa dah sijui nifanyeje Leo.sijui nyie mbu mmetumwa?


Dawa ya moto ni moto...Mwite na huyu Mbu aje kuunga tela!
 
Last edited by a moderator:
Nimeshawarestisha in peace wote. Ila Huyu mbu mwambie aje.teh teh namruhusu aninyonye damu yote na maji pia


Hii ingemkuta Babu basi hadithi ingekuwa nyingine kabisa....bora mnamuepusha babu na majanga ya BP!
 
Kuna mtu anaitwa Komando King'asti.....anatafutwa haraka ili akajibu mashtaka ya...

Popote alipo ...akuje haraka sana!!
 
Last edited by a moderator:
....siku za mwisho mwisho kumsoma, huyu mchungaji alikuwa #Mkali kweli kweli, midlife crisis hizi hatareee maazee
naamini huko aliko Mwenyezi Mungu muweza wa yote amemvusha salama aisee...
nyumba kubwa?... BelindaJacob?

Yaani I can't Imagine Magwiji wote tajwa leo humu siku hizi wameishiwa
"Maskendeli" ya kubandika jukwaa hili

Nipo bestito, majukumu tele Mbu ukizingatia na majanga ya man u..he he
Thanks for having me in mind. Have a blissful weekend!!
 
Last edited by a moderator:
Nipo bestito, majukumu tele Mbu ukizingatia na majanga ya man u..he he
Thanks for having me in mind. Have a blissful weekend!!

Umepotea sana Belinda Jacob,

Mzima lakini?

Tumefurahi kukuona tena jukwaani!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
......ahhh, Moyes asikufanye mnyonge hivyo, it's only a game luv.
Haya, nice weekend to you too....xxx


Ila huyu Moyes naye ameshakuwa janga lingine... Watu BP imepanda hadi ikajishusha yenyewe...

Nawaonea huruma wadau kama BelindaJacob....ni wakati mgumu sana kwao. Hata hivyo, wajitahidi kuielewa historia. Itafika mahali watazoea kama wadau wa Liverpool walivyozoea na kurusha kijiti kwa wengine!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom