Roulette huwa anaonekana kwa kubeep sana siku hizi ..!!!!!!!
Eiyer ni balaa mi nilikuwa napenda thread za hawa watu AshaDii na Lizzy na The Finest bana wakitoa thread unajiuliza uanze kujibu nini au unaacha watu wengine wajibu ndo na wewe upate pa kuanzia Roulette nae kapotea sijui nini kimemkimbiza humu
Jamani ndugu zangu mi nipo! Naingia mara nyingi bila ku-log in ndio maana sipati notifications, ila nipo! Upande mngine mimi nachefuka haraka na watu wanao kosa ustaarabu. Kuna mtindo mpya umeingia humu wa ku-bully watu. Mtindo huu unanikera kuliko maelezo! Yaani watu wanaona ujanja kujibu kwa lugha chafu, kutukana au kudhalilishana. Hata wakipewa ban wanakuja kwa njia zingine. Worse: they gang up to disrespect members. binafsi najipenda sana, nimeona niwapishe. lol
Umewapa kile wanachohitaji hao,hiyo inamaana umewasikiliza
Lakini hututendei haki sisi tunaojali na kukuheshimu
Kwanini hujatupakile tunachohitaji kutoka kwako?
Hebu tusikilize na sisi bana!
Unajua sometimes you don't always have to win. Bora kuconcede, na kuwapa wanacho taka ili na mimi nibaki na kile ninacho jivunia. Kuna wakati unajiona tu you don't fit anymore.
![]()
Hahahahaha, huyu yupo ila kaingia kwa jina lingine. Anachangia on a more serious angle, aliona lile jina la zamani linaweza kua mbaya. hhahahaha ngoja nimtafute PM
Nyinyi ndio mnaonipa sababu ya kuendelea kuja, japo mara moja moja. Thank you for this.Vipi kuhusu sisi tunaokujali??
Salam zimefika. Ataku-contact in a while, inshallahNashukuru sana kwa taarifa hiyo nimefarijika sana, mwambie kaka yake amemiss sana na mfikishie salam zangu. mwambie kama hatojali ani PM
Nyinyi ndio mnaonipa sababu ya kuendelea kuja, japo mara moja moja. Thank you for this.
...duh mkuu we acha tu mambo mengi sana ..ila tuko pamoja ingwa muda wakuingia humu mdogoUmempeleka wapi mtu chake?
...kisa cha kunipiga kibuti?...mai lavu si nilikuaga naenda..kuleee..kufanya vileee..Wewe ndio sitaki kabisaaaa kukusikia........nimepata mwingine. ......
Wewe ndio sitaki kabisaaaa kukusikia........nimepata mwingine. ......