Wako wapi hawa wadau?

Mbona umepotea na wewe mkuu Excel?

nipo mkuu, namsaka mrembo wangu Batuli aka Cleopatra. maybe na mimi ntakuwa na mke humu jf!!

since yesterday namtafuta tu lakini simuoni kabisa jamani!

rose-love-flower-hd-wallpapers.jpg-269x170.jpg


kokote atakapoonekana.. thats my little gift for her... hio ni long shot kwa ajili yake tu!

nikija nampa close up mpaka tuelewane!
 
Last edited by a moderator:
nipo mkuu, namsaka mrembo wangu Batuli aka Cleopatra. maybe na mimi ntakuwa na mke humu jf!!

since yesterday namtafuta tu lakini simuoni kabisa jamani!

rose-love-flower-hd-wallpapers.jpg-269x170.jpg


kokote atakapoonekana.. thats my little gift for her... hio ni long shot kwa ajili yake tu!

nikija nampa close up mpaka tuelewane!

Umeona anayoyasem Valentina hapo juu?

Kwa nini unaishi kwa matumaini wakati tumaini lenyewe unalo mkononi?
 
Last edited by a moderator:
Umeona anayoyasem Valentina hapo juu?

Kwa nini unaishi kwa matumaini wakati tumaini lenyewe unalo mkononi?

babu! niko chini ya miguu yako.. tafadhali chukua nafasi hii kunibembelezea binti mrembo, Batuli aka Cleopatra. for sure nimefall for a long time toka anajitambulisha kule jukwaa la celebrities. please ungana na babu mwenzio, Asprin, mnifikishie taarifa hizi muhimu kwa njiwa wangu, mpendwa wangu... princess BATULI!!
 
Last edited by a moderator:
babu! niko chini ya miguu yako.. tafadhali chukua nafasi hii kunibembelezea binti mrembo, Batuli aka Cleopatra. for sure nimefall for a long time toka anajitambulisha kule jukwaa la celebrities. please ungana na babu mwenzio, Asprin, mnifikishie taarifa hizi muhimu kwa njiwa wangu, mpendwa wangu... princess BATULI!!

Don't du that babu
 
Last edited by a moderator:
nini sasa na wewe? kwani mi kumpenda Batuli aka Cleopatra we inakuuma?

babu Asprin, n Dark City, wazee wangu naombeni niwatume rasmi tuwasilishe barua ya posa kwa wazazi wa princess BATULI..

ntashukuru saaana endapo hii itafanyika on time!

JUST IN TIME..

Naomba uweke mambo yako sawa ili watu wazima na heshima zetu tusiishie kuumbuka. Naamini hata mzee mwenzangu Asprin atakubaliana na mimi....

Hebu malizana na Valentina kwanza basi..!
 
Last edited by a moderator:
Naomba uweke mambo yako sawa ili watu wazima na heshima zetu tusiishie kuumbuka. Naamini hata mzee mwenzangu Asprin atakubaliana na mimi....

Hebu malizana na Valentina kwanza basi..!

mkuu valentine ni mali ya Tonykp. sasa sijui ni mambo gani hayo unataka niyaweke sawa zaidi ya kufumaniwa kariakoo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom