Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,358
- 1,807
Tumia Safaricom mkuuKuna haja ya Jf kuwa na utaratibu wa kuingia bila kutumia haya mamitandao yao
Tumia Safaricom mkuuKuna haja ya Jf kuwa na utaratibu wa kuingia bila kutumia haya mamitandao yao
Nashukuru tigo kwaherini line yenu mwisho Leo kumbe mnajali utii kwa wasiowapa hela sisi tunaowapa hela ni nafasi ya pili.Imagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja!🚶🚶🚶
View attachment 1995874
Kuna taratibu zake mkuu, hakuna anayekataa kwamba sheria zinawaruhusu kutoa taarifa za wateja.Hebu tujiulize kidogo halafu tuendelee kubishana mpaka kesho....
Zipi ni requirements za serikali haya makampuni yanapoomba leseni kwa serikali..?
Tunaponunua laini kuna fomu ya makubaliano kati yetu na tigo kwa tigo kulinda haki zetu tunajaza na kusign?
JF tukijiunga huwa kuna requirement za JF tunapewa then tuna click agree ~ TUNAZISOMA HIZI REQUIREMENTS.. au tuna agree tu..
Kuna taratibu zake mkuu, hakuna anayekataa kwamba sheria zinawaruhusu kutoa taarifa za wateja.
Kwanza kabla hawajatoa taarifa za mteja ni lazima wajue zinaenda kutumika kwa sababu ipi.
Pili lazima kuwe na court order.
Tatu lazima mteja afahamishwe, ili kuconfirm kama kweli kuna kitu cha namna hiyo.
Police hawezi kuomba taarifa za mteja kisha ww lawyer ukatoa kisa tuu ni police.
Kila nchi na utaratibu wao
Mjibu Kwa hoja sio Kwa vioja
Kwa hiyo mlitaka Migaidi na Mijambazi ijifiche kwenye hii mitandao ya simu kwa kisingizio cha USIRI kwa wateja?Wakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.
Hilo limethibitishwa leo na Wakili Msomi Fred Kapara, ambaye ni Wakili wa Kampuni ya Tigo, alipoulizwa Mahakamani wakati akitoa ushahidi katika kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake wanne, kwamba kati ya Utii kwa mamlaka na Usiri wa taarifa za wateja kipaumbele kwao ni nini, bila kupepesa macho akajibu Utii (Compliance) kwao ndiyo kipaumbele (Priority) zaidi.
Sasa majibu ya kwanini kumekuwepo na uzimaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii na kupanda mara dufu kwa gharama za bando za data yameshapatikana. Sababu kubwa ni kwamba huko kwenye hizo social networks zingine kwao Privacy za Wateja ndiyo Priority hivyo mamlaka zitashindwa kupata kile wanakitaka kwa urahisi.
Hii kesi mpaka waje wamalizike mashahidi wote 24 tutakuwa tumeshapata siri nyingi sana ambazo raia wa kawaida tulikuwa tunafichwa.
View attachment 1995845
Kuna taratibu za kisheria zinazoruhusu vyombo vya usalama kupata info kwenye investigation zao nchi zote duniani. Na wakitaka hizo info inabidi wapitie kwa uongozi wa kampuni.Kwa hiyo mlitaka Migaidi na Mijambazi ijifiche kwenye hii mitandao ya simu kwa kisingizio cha USIRI kwa wateja?
Maxence Melo alisimama imara pamoja na kulazwa lupango kwa wiki kadhaa kutetea haki ya wanachama wa JF.
Unaropokawewe, unaongolea Ulaya ipi?Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Hapana ndugu Crocodiletooth, unawahi mno kutoa conclusion ili ukidhi kiu ya utakacho wewe...Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Ufanye wizi wakulinde, mitandao ya simu ni use at your own risk… usijesema hukuambiwa.Imagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja!🚶🚶🚶
View attachment 1995874
Kwani Chadema ingekuwa nyie ndo wamiliki wa Tigo TZ alaf serikali ikaja inamtuhumu mtu mngegoma kutoa ushirikiano?Wakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.
Hilo limethibitishwa leo na Wakili Msomi Fred Kapara, ambaye ni Wakili wa Kampuni ya Tigo, alipoulizwa Mahakamani wakati akitoa ushahidi katika kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake wanne, kwamba kati ya Utii kwa mamlaka na Usiri wa taarifa za wateja kipaumbele kwao ni nini, bila kupepesa macho akajibu Utii (Compliance) kwao ndiyo kipaumbele (Priority) zaidi.
Sasa majibu ya kwanini kumekuwepo na uzimaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii na kupanda mara dufu kwa gharama za bando za data yameshapatikana. Sababu kubwa ni kwamba huko kwenye hizo social networks zingine kwao Privacy za Wateja ndiyo Priority hivyo mamlaka zitashindwa kupata kile wanakitaka kwa urahisi.
Hii kesi mpaka waje wamalizike mashahidi wote 24 tutakuwa tumeshapata siri nyingi sana ambazo raia wa kawaida tulikuwa tunafichwa.
View attachment 1995845
Again huu ushahidi wa Leo wala hauonyeshi wala kuthibitisha kuwa kuna ugaidi ulifanyika ... pathetic
Sialiulizwa Kama iyo no inakosa au ameona hatia yyte kwa uyo mteja akasema hamna, hat y hajui Ni kwa nn anatoa ushahid kwa no ambayo yy hajaona kosaKwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Nchi nyingine Wana sheria Kali za data protection na lazima kuingia makubaliano kati ya pande mbili, ila bongo swala la data protection inabidi liende bungeni maana watu wanaingilia privacy za watu kimasihara sihara tu na hamna Cha kuwabanaTanzania - Data Protection Overview
November 2021 INTRODUCTION Tanzanian law on data protection is still embryonic as there is not yet a comprehensive legislation on the area, although it is understood that a draft data protection bill ('the Draft Bill') is on the horizon and will soon be unveiled. Therefore, whatever data...www.dataguidance.com
Japo hakuna sheria maalum ya ‘Data Protection’ (ukiniuliza mimi hii ilitakiwa kuwa imetungwa muda mrefu) lakini kuna sheria nyingine kadhaa zinazolinda faragha enough to sue ‘phone companies’.
Unashangaa mtu kama Haji Manara kulalamika hadharani namna mawasiliano yake yalivyonyakuliwa; serikali kimya (wizara ya mawasiliano na Technology) na yeye mwenyewe pamoja na ujanja wake kushindwa kuishitaki kampuni husika.
Ni hivi kila kampuni inabeba lawama za matendo ya wafanyakazi wake (strict liability). Isitoshe kumfungilia kesi mfanyakazi akulipe billion kadhaa hiyo hela hana so it’s waste of time, lakini TiGo wanazo hizo hela.
Kwa kanuni za ‘tort law’ ni jukumu la kampuni kulinda wateja sio mwajiriwa that include info za wateja na usalama wao.
Ningekuwa mwanasheria nchi hii ningekua tajiri sana, habari kama hizi nakusanya wahanga 20 hivi no legal fees, twendeni dai tsh billion 5 tukishinda 40% yangu.
Sijui kuna ajali chanzo dereva au basi lenyewe lilikuwa mkweche natafuta familia za abiria twendeni kudai fidia. Yaani sina muda kabisa na kesi za wanasiasa zenye malipo uchwara.
Hila kunaitajika ‘data protection legislation’ imefikia hatua hawa watoto awaogopi kabisa mtu anatangaza biashara ya ku hack mawasiliano kama vile ni kitu normal instagram.