Mkuu FMES,
Huyu Masha ukisoma tu ile hotuba yake pale ubalozi wa USA, unapata majibu yote kwamba alikuwa na mission ambayo alikuwa tayari kutumia kila njia kuitimiza.
Bahati nzuri Watanzania wameanza kuamka na wanamjua nani mkweli na nani anadanganya.
Huyu mheshimiwa ana maswali mengi ya kujibu. Mimi nakushauri mlete hapa JF, yeye ni kijana, anajua vizuri kutumia mtandao, ajitambulisha hata kwa siku moja ili kujibu maswali ya wana JF. Kama hana cha kuficha wala hawezi kuogopa kuja JF.
Huyu Masha ukisoma tu ile hotuba yake pale ubalozi wa USA, unapata majibu yote kwamba alikuwa na mission ambayo alikuwa tayari kutumia kila njia kuitimiza.
Bahati nzuri Watanzania wameanza kuamka na wanamjua nani mkweli na nani anadanganya.
Huyu mheshimiwa ana maswali mengi ya kujibu. Mimi nakushauri mlete hapa JF, yeye ni kijana, anajua vizuri kutumia mtandao, ajitambulisha hata kwa siku moja ili kujibu maswali ya wana JF. Kama hana cha kuficha wala hawezi kuogopa kuja JF.