meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Timu ya wafukua makaburi njooni huku!
Tunachezeshwa ukuti ukuti!Leo hivi kesho vile
Ni Mbaya sana kushikiwa akili
NNatafakari sana kuhusu hali ya kubenea kwa sasaBila ya Jakaya kuchinja Mtu July 11, 2015 ingekuwa ngumu sana kuamini uwezo wa Chadema kubadili Gia angani
Sauli aliwaua wafuasi wa Yesu, na ndiye alikuja kuwa kiongozi wa mapambano kuutetea ukristo nadhani kuliko mtu mwingine yeyote kwenye historia ya ukristo.Huu unafiki inabidi mishipa yote iwe na ganzi ...bora tu hao CCM watawale hadi kitapokuja kizazi serious kuleta mabadiliko ya kweli ...upinzani Bongo pasua kichwa tu ...