habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
kwanini? hao ni vibaka tu,hii nchi so salama tena
hiki ni kisiwa cha amani
kwanini? hao ni vibaka tu,hii nchi so salama tena
Wewe ndio mchanganishi, mnafiki mkubwa. Hadi hapa hakuna aliye-comment uchochezi wala uchonganishi ila wewe ndio unaanzishaNampa pole ndugu Albert, huu ni dhahiri ujambazi wa aina mpya kabisa. Tumepata fundisho, mtu akijaribu kukusimamisha na kavaa vizuri , usikubali mwambie tuongozane mpaka kituo cha polisi karibu na hapo. Na mwambie chukua nbr ya gari kama anafikiri utakimbia.
Kwa wale wapendao kuzusha mambo na kuwachonganisha watanzania haya fursa hiyo, njooni muitumie kujenga hoja zenu za kinafiki
tuko biz kudeal na ukawa, mengine hatujui, mtuache!!!hii nchi so salama tena
Umekurupuka mkuu,anza kusoma upyaThis is not Albert Msando
Umafia Upo tanzania![]()
Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!
Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.
Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.
Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari.
Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.
Albert Msando
Ndio anaipata kama unazile IMEI namba ila zina mlolongo sana mpaka keroHivi bado tu watu wanaiba smartphone huku kama akiamua kuifatilia anaipata
Tunakuchomea humo humo kwenye gari lako!!Duh ila hiyo mbinu ya kuiba ni kali, kwa waungwana kama mimi lazima nisimame ili tuyamalize kumbe tena ni hatari. Basi mimi kuanzia sasa sishushi hata vioo, ubaya ubaya tu
Dar si salama usije ukapigiwa honi au ikatokea bodaboda zikakufukuzia kwa madai umesababisha ajali usije ukathubusu ukasimama au ukashuka kwenye gari jitahidi kuendelea na safari mpaka ufike kituo cha polisi kilicho karibu![]()
Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!
Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.
Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.
Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari.
Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.
Albert Msando