Ukweli unauma kamtumbua lkn virusi vipo kwelinchi ishaingia ZIKA.
Hivi mnaomiliki bodaboda nanyi huwa mnashusha viooDuh ila hiyo mbinu ya kuiba ni kali, kwa waungwana kama mimi lazima nisimame ili tuyamalize kumbe tena ni hatari. Basi mimi kuanzia sasa sishushi hata vioo, ubaya ubaya tu
Nampa pole ndugu Albert, huu ni dhahiri ujambazi wa aina mpya kabisa. Tumepata fundisho, mtu akijaribu kukusimamisha na kavaa vizuri , usikubali mwambie tuongozane mpaka kituo cha polisi karibu na hapo. Na mwambie chukua nbr ya gari kama anafikiri utakimbia.
Kwa wale wapendao kuzusha mambo na kuwachonganisha watanzania haya fursa hiyo, njooni muitumie kujenga hoja zenu za kinafiki









Hata ktk za wenzetu mambo yalianza hivi hivi.Nampa pole ndugu Albert, huu ni dhahiri ujambazi wa aina mpya kabisa. Tumepata fundisho, mtu akijaribu kukusimamisha na kavaa vizuri , usikubali mwambie tuongozane mpaka kituo cha polisi karibu na hapo. Na mwambie chukua nbr ya gari kama anafikiri utakimbia.
Kwa wale wapendao kuzusha mambo na kuwachonganisha watanzania haya fursa hiyo, njooni muitumie kujenga hoja zenu za kinafiki
Natafuta post ya LupyeeDuh ila hiyo mbinu ya kuiba ni kali, kwa waungwana kama mimi lazima nisimame ili tuyamalize kumbe tena ni hatari. Basi mimi kuanzia sasa sishushi hata vioo, ubaya ubaya tu
Acha ujinga wewe utazoea mwenyewe ,usilete mambo binafsi kuwa mambo ya kitaifaTutazoea tu kama walivyozoea watu wa Korea Kaskazini!!
Na kweli na km wana kuandama na taa zao za hazard sehemu nzuri ya kusimaa ni kituo cha polisi au sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi nadhani ni suluhisho zuri tumefika pabaya kwa kweli sasaDuh ila hiyo mbinu ya kuiba ni kali, kwa waungwana kama mimi lazima nisimame ili tuyamalize kumbe tena ni hatari. Basi mimi kuanzia sasa sishushi hata vioo, ubaya ubaya tu
This is not Albert MsandoDaaah police wetu huwezi wasikia wamewakamata watu kama hawa interijensia yao ipo kwa Lema na Max.....
Mungu mkubwa kama umepona kwanza shukuru kuna wakili mmoja wa Kenya miezi miwili iliyopita alitekwa na wateja wake na dereva wake wakauawa na kuwekwa kwenye mifuko na kutupwa kwenye mto uku wakiwa wamakatwa katwa na mapanga
Huyu hapa............![]()
Very sad pole sana wakili....
[HASHTAG]#mataputapu[/HASHTAG] nomaTutazoea tu kama walivyozoea watu wa Korea Kaskazini!!
Acha woga ndugu yangu!!Acha ujinga wewe utazoea mwenyewe ,usilete mambo binafsi kuwa mambo ya kitaifa
Au "syria/iraq/libya.Hamia Sudan Kusini Mkuu. Pako poa kuliko Tanzania.