Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Sema usiogope sema , sema usiogope sema, .... namuonea huruma MBOWE, MNYIKA na SLAA muda si mrefu damu ya CHACHA WANGWE itawalilia na MTAFUNGWA JELA
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!
Le Mutuz
Mkuu mwaga mboga yote na hata maji yakunawa ikiwezekana!
Nakumbuka walisema wewe ni msaliti na majuzi ulikuwa kwenye maongezi!
Mkuu sema bila kuogopa!
Sasa Mbowe na Mnyika tumbo joto!
R.I.P Chacha wangwe!
Mkuu ndenga;
Nimelitafuta lile lidude la like nikalikosa. Nakupa like langu kabisa. Siasa za maji taka hazitufai tena. Hebu tufike mahali tukue, tukomae, tuseme sasa taka taka baasi tunataka "Utaleta maendeleo gani Tz??" Full stop.
Deus Mallya is nothing today. Kama walikunyang'anya leseni yako ya udereva waombe wao si huruma zetu.
- Siku ya kifo cha nyani miti yoter hutelezaa U know!! mara ACT, mara Zitto, mara Kitila sasa Deus Mallya duh!!
Le Mutuz
Naona baada ya kusikia Lemutuz hajaoa unajipendekeza kwake acha tabia za kijinga utapata magonjwaWakimaliza hapo wanakuja kwa Tundu lissu.
Subiri ukikaribia uchanguzi wa mwakani, utavuna hela nyingi kutoka ccm.Salaam! Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali. Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!. Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili' Naamini kwa Mungu siku zote Naamini nikifa ni kwa Mpango wake Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo. Deus Mallya Dar es Salaam.
Hivi jamani,,ndugu yangu Ben Saanane yuko wapi..,mbona simuoni akitokwa mapovu kwenye thread kama hizi...yaani Mzee wake anakaribia kupelekwa lupango na yeye amekaa kimya kama hayamuhusu..njoo uwaambie umma wa JF kuwa hatuhusiki na atakachosema Mallya ni uzushi.
Umerudi lini kutoka kwa Shi nji Pi? Iramba hawajambo?Damu ya CHACHA inaanza kuwasumbua waliomuua!