Badala ya kupoteza muda wangu kwenye hizi page zote.., please chochote kikisemwa naomba mtu ani Mention..
Haya mambo ya badala ya kusema mtu unakuja kutwambia kwamba unataka Kusema alafu usemi inapelekea kupata mashaka na so called msemaji
Huko ni kuhamgaika tu...Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Kwakweli hata mimi naomba tu mtu ani mention.....huu ni upuuzi maana tunaishia kusoma mialiko ya insta party humu:angry::angry::angry:
kida roo malya, dea weerei neewe, elesa kila kindo. Mkibosho wa wapi mwoga hivyo muda wooote ulikuwa unasubiri nini
Ulikuwa wapi kwa zaidi ya miaka sita tangu 28.07.2008 kuusema ukweli unaotaka kuusema sasa? Ulipandishwa kizimbani je, ulichozungumza ukiwa kizimbani hakikuwa ukweli? Kwanini sasa na siyo miezi mitatu tangu tarehe hiyo ambapo kumbukumbu yako ya yote yaliyojiri kuhusiana na kifo cha Wangwe ilikuwa bado nzuri sana ukilinganisha na miaka sita baadaye? Je, unajua kama kuidanganya mahakama ni kosa ambalo linaweza kukupandisha kizimbani na hatimaye kukupeleka lupango? Ujue fika chochote utakachosema sasa kama kitahitilafiana na ushahidi ulioutoa kwenye kesi yako basi utaonekana ni muongo tu na hicho utakachokisema Watanzania wengi hatutakiamini.
Kwakweli hata mimi naomba tu mtu ani mention.....huu ni upuuzi maana tunaishia kusoma mialiko ya insta party humu:angry::angry::angry:
Damu ya CHACHA inaanza kuwasumbua waliomuua!
Damu ya CHACHA inaanza kuwasumbua waliomuua!
Mbona unatokwa na povu sana??? Kwanini hamtaki aseme? mnaficha nini?
sorry to ask...umeolewa?...mmeo anajuwa kuwa mkewe anaongea pumba huku?- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!
Le Mutuz
- Muwache biandam aseme kwanza ndio upingane na hoja zake sasa Demokrasia gani hiyo nyie UKAWA mtu anataka kuzngumza mnataka kumzuia muwache aseme kwanza
Le Mutuz
Hivi jamani,,ndugu yangu Ben Saanane yuko wapi..,mbona simuoni akitokwa mapovu kwenye thread kama hizi...yaani Mzee wake anakaribia kupelekwa lupango na yeye amekaa kimya kama hayamuhusu..njoo uwaambie umma wa JF kuwa hatuhusiki na atakachosema Mallya ni uzushi.