Hivi jamani,,ndugu yangu Ben Saanane yuko wapi..,mbona simuoni akitokwa mapovu kwenye thread kama hizi...yaani Mzee wake anakaribia kupelekwa lupango na yeye amekaa kimya kama hayamuhusu..njoo uwaambie umma wa JF kuwa hatuhusiki na atakachosema Mallya ni uzushi.
Kama ya Always?Hurufu mbaya
Hata mie nimeshangaa sana nafukunyua sikuti minofu naona.mifupa tu nadhani anatafuta umaruufu kwa nguvu.Anatafuta KickkULIKUA NA HAJA GANI YA KUSEMA UNATAKA KUSEMA HILI HALAFU HUSEMI? Huna tofauti na mtusa anaetaka kujiua halafu eti anaaga, aaagh wapi!! anayejiua mnakuta tu keshajitundika na wala hua haagi mtu.....mimi nilidhani nakuta bonnnngeeeeeeee la ujumbe umetiririka mbaya kumbe nii huu upuuzi. ok ok kwahio una mpango kusema lini?
"Usiwe mtu mzima hovyo,huyu jamaa alifikishwa mahakamani na mahakamani kabla ya hukumu aliapa kuwa kila atakalolisema ni kweli.Sasa kwanini anavyohangaika humu JF kuwa ni muda wake wa kuongea?kwani mahakamani haukuwa muda wake wa kuongea?".Kama anasaka umaarufu kupitia hilo suala anapoteza muda bora akalime vitunguu huko vijijini!
Hata mie nimeshangaa sana nafukunyua sikuti minofu naona.mifupa tu nadhani anatafuta umaruufu kwa nguvu.Anatafuta Kick
Malya sema neno moja na roho zetu zitapona
Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Duh "Benazir" !
Sasa mimi naingiaje hapa? Povu ulilotoa hapa linatosha.Niongeze lingine la nini?
- Siku ya kifo cha nyani miti yoter hutelezaa U know!! mara ACT, mara Zitto, mara Kitila sasa Deus Mallya duh!!
Le Mutuz
Nyumba ya watakatifu yazidi kuteketea aaah!watakatifu wanaogopa tamko wa jambo ambal hawajafanya sasa mnaogopa nn?nyie ni watakatifu na utetezi wenu mbona mzuri tu matasema anatumiwa na ccm na misukule itaamini tu hata msiogope,
Hivi jamani,,ndugu yangu Ben Saanane yuko wapi..,mbona simuoni akitokwa mapovu kwenye thread kama hizi...yaani Mzee wake anakaribia kupelekwa lupango na yeye amekaa kimya kama hayamuhusu..njoo uwaambie umma wa JF kuwa hatuhusiki na atakachosema Mallya ni uzushi.
Wakimaliza hapo wanakuja kwa Tundu lissu.- Siku ya kifo cha nyani miti yoter hutelezaa U know!! mara ACT, mara Zitto, mara Kitila sasa Deus Mallya duh!!
Le Mutuz