Napita tuuu
Ma single lady haituhusu hii...
Mkuu leo unamkana yule bibie sio???
Ma single lady haituhusu hii...
Ma single lady haituhusu hii...
Kabla hujalala bhana lazima kuna kitu utakua unataman ifanyiwe bhana tuambie bhana
Hahaha mdau unawachokoza
nsubiri twende wote....
na uzee wote huo bado upo single!!!!!
Wadau naomba niwachokoze
tena kwa haka kaswali uchwara....
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu
gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"
Vipi kuhusu wewe rafiki??
bibi bomba!!!Yeye akiwa mzee na sitti tumuiteje?