Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Wadau naomba niwachokoze tena kwa haka kaswali uchwara.
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"
Vipi kuhusu wewe rafiki?
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"
Vipi kuhusu wewe rafiki?