Wakati wa kulala unapenda ufanyiwe nini?

Wakati wa kulala unapenda ufanyiwe nini?

Hahahhahah! hapa ndo utakapo tambua kuwa MMU wote ni masingle
 
mi napenda anifunike shuka...baaasi!!!
 
kweli nimeamini wote ni wadogodogo mlochangia hamna hata mmoja anayependa kufanyiwa kitu flani kbla ya kulala.. hata kuambiwa ulale salama dear..
 
Wadau naomba niwachokoze tena kwa haka kaswali uchwara....
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"

Vipi kuhusu wewe rafiki??

Mmhhhhuu aaaahhaaaa, no comment hhhaaaaaa. Thanks!
 
Mimi kabla ya kulala napiga viroba ili mwili upate ganzi nisisikie maumivu ya ming'ato ya kunguni.....
 
Ati eeh! wengine hudai kulala usingizi mnono baada ya kupigiwa hadith hadithi...hadithi njoo 🙂🙂

hehehe hadithi zina wakti wake mkuu ila si nyakati za kuangusha...
 
Mmmh
Mbona single single zipo nyingi sana humu?
Aya basi sawa...
 
Back
Top Bottom