Wakati wa kulala unapenda ufanyiwe nini?

Wakati wa kulala unapenda ufanyiwe nini?

Ndio,
na kwa kuwa anaijua ile kanuni ya muda wa kulala anatakiwa aweje ...basi inakuwa simple sana kwake kuelewa ujumbe husika.

Hahahaha....ndo one day umkute katinga jeans na mkanda juu kafunga nadhani patachimbika hapo hajajahahahaha
 
Wadau naomba niwachokoze tena kwa haka kaswali uchwara.
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"

Vipi kuhusu wewe rafiki?

Mimi napenda aniache nilale...
 
Hahahaha....ndo one day umkute katinga jeans na mkanda juu kafunga nadhani patachimbika hapo hajajahahahaha

Daaa.....labda awe anaota moto huko jikoni...lakini siyo atinge jeans n mkanda kwa bed....aroooo....atakuwa amechokoza nyigu kwenye ka jumba kake.
Kanuni ya kulala usiku inabidi avae......ili iwe easy to penetrate.
 
Daaa.....labda awe anaota moto huko jikoni...lakini siyo atinge jeans n mkanda kwa bed....aroooo....atakuwa amechokoza nyigu kwenye ka jumba kake.
Kanuni ya kulala usiku inabidi avae......ili iwe easy to penetrate.

Siku akiamua utaona,wana mambo Hawa watu waone tu hivyo
 
Back
Top Bottom