Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,253
- 125,010
Ma single lady haituhusu hii...
HOE....ujumbe ule uliupata au uliliwa na vairasi?
Ma single lady haituhusu hii...
Binti umeongea kwa huruma mpaka nimeogopa, haya niambie mdogo wako kafanyaje? Kabla presha haijazidi kiwango
Ma single lady haituhusu hii...
Wewe leo ni wakusema upo single?kweliiiii?????
Hahaha mkuu kumbe ushamuwinda bibie Honey Faith
Unajua utaniua kwa presha?nikajua nimepata zali kumbe umechanganya mafile aaaaggghhhhhrrrr!!!!
Ma single lady haituhusu hii...
Usicomment ila soma ujikusanyie maarifa kwa siku za usoni,Ma single lady haituhusu hii...
Wadau naomba niwachokoze tena kwa haka kaswali uchwara....
Etii ule muda wa kulala ukifika wewe hupenda mwenzi wako akufanyie kitu gani hasa,au akutamkie kitu gani ili usingizi wako uwe murua?
Binafsi napenda akinibusu huku akitamka maneno "usiku mwema mpenzi"
Vipi kuhusu wewe rafiki??
Aaaaah kumbe ivo hapana me sio single shem nilisema kwaniaba
Kwa niaba ya nani?
Kwaniaba ya masingle boy wote shem
Haya sasa wale wanao lala kitanda kimoja miguu minne, swali hiloo....
😛eep:
Unajua utaniua kwa presha?nikajua nimepata zali kumbe umechanganya mafile aaaaggghhhhhrrrr!!!!