Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

Status
Not open for further replies.

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,596
Reaction score
13,980
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.

Mwenyezi Mungu alishatoa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6.

Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz
 
At least hao walofanya hayo hawajajitambulisha kama mitume wa Mungu au hawakuyafanya hadharani tofauti na mudi yeye alibeba mchana kweupe jua la utosi.
Siku zote cha halili kiko wazi cha haramu kinajificha.

Ukristo ni noma sana leo mnakataa eti USA haendeshwi kikristo hahaha.
 
Ni fursa tuu kama kula bikra 72 na pepo ya milele
Matthew 25:1–13

ESV

The Parable of the Ten Virgins

25 “Then the kingdom of heaven will be like dten virgins who took their lamps1 and went to meet ethe bridegroom.2 2 Five of them were foolish, and five were wwise. 3 For when the foolish took their lamps, they took no oil with them
 
Hapana nilicho ongea kila aliye husika kumzulia Mtume Muhammad uwongo liwe taifa au kiongozi atadhalilika duniani kabla ya akhera.
Umelinganisha matendo ya mtume Muhammad na matendo ya kina Trump, hiyo inashangaza na umemdogosha sana mtume
 
Wapi nilimlinganisha nilicho sema wote walio kuwa wanamsema vibaya Mtume wa Mungu wawe viongozi au mataifa wataibishwa duniani kabla ya akhera rudia kasome wacha ujinga.


View: https://youtube.com/shorts/kBPNt6qZb7w?si=Om9xq9GFbla0jjUK

Aibu tupu uwe mkristo kwenye dunia hii

Mkuu unachoandika hakieleweki. Ulisema wanamsema mtume kwa kumuoa binti wa miaka 6, alafu wao pia wanabaka Watoto. Hapo ndio nilikuuliza kwa nn unamlinganisha mtume na kina Trump

Pili, marekani ni secular state. Marekani sio taifa la kiislamu Wala sio taifa la kikristo
 
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alisha toa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6. Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz

Unataka kusema nini?
Hebu jenga hoja vizuri ujibiwe.
Ila kama unataka kusema Epistein alifanya ujinga wake na unamuweka mizania moja na Mtume makushauri uache usije kutoa ufafanuzi
 
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alisha toa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6. Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz

Kwani Epstein ni mtume?
 
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alisha toa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6. Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz

Kwani muumini wa Kiislam akila nguruwe utasema waislam wote wanakula? au mtu akiitwa Juma akawa shoga maana yake waislam ni mashoga?
Chapili usiwe mjinga kiasi hicho, kuna nchi zanye waislam wengi lakini sio nchi ya kiislam mfano Senegal au Uturuki yenye waislam kwa asilimia 99%...lakini haiendeshwi na Sharia.
Saudi Arabia na Iran ni nchi za kiislam....hakuna nchi ya kikristo duniani hata Vatican /Italy au Romania ambako wako wa kristo wengi sio nchi za kikristo, marekan sio nchi ya dini yoyote pia, ila Israeli ni nchi ya kiyahudi hata kama wako wakristo na waislam.
hii ni elimu ya bure nakupa usije ukajiabisha ukiongea na watu wanaojitambua
 
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alisha toa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6. Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz

Taifa la kikristu likoje? Tangu lini Trump, Elon Musk na wengine wamekuwa viongozi wa wakristu. Hata Epstein mnataka kusema kuwa alikuwa kiongozi wa wakristu!
Hivi kweli unataka tuupime Uislamu kutokana na matendo ya watu kama Abu Bakr Shekau, Abu Bakr al Baghdadi, Jenerali Hemedti, Hibatullah Akhundzana? Au nchi kama Iran, Saudia na Somalia zinazo ongoza kwa kunyonga watoto wadogo? Haujiulizi kwa nini waislamu kutoka Senegal, Eritrea n.k. wako tayari kuhatarisha maisha yao kwenda Ulaya na sio Afghanistan au Pakistan?

Kwa vile kiongozi wa wakristu ni Yesu, hoja yako ingekuwa na mashiko kama ungesema kuwa na yeye alioa au alikuwa na mahusiano na watoto wadogo.

Watu waovu wako katika dini zote na sio vioo vya dini zao.

Huu mchezo mnao ucheza sio mzuri hata kidogo.

Amandla...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom