Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

Safi kabisa.hapo sasa kipindi mtume anadai utume.yaani ana maananisha Quran ingeshushwa Kama kitabu cha shigongo yaani nzima nzima wangesema ni uchawi.ila ikateremshwa kutokana na MATUKIO

Quran ni maneno yaliyoandikwa na watu kama ilivyo Biblia.

Hakuna cha kushushwa wala cha nn.
Tuishie hapo
 
😂😂😂😂😂.

Quran 6:7 - Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uchawi dhaahiri.
😂😂😂😂😂
 
Quran ni maneno yaliyoandikwa na watu kama ilivyo Biblia.

Hakuna cha kushushwa wala cha nn.
Tuishie hapo
Sura gani imeandikwa na watu au mtu kwenye Quran?
Mimi nakutajia kwenye biblia Kuna aya kaziandika LUKA.
Kuna aya kaziandika MATHAYO
Kuna aya kaziandika Paulo.
 
Sasa ukristo unatokea wapi?
Yaani mi sijakuelewa dhamira yako! Kwani uislamu ulikuja na jina lake kabisa au hebu nieleweshe huenda kuna kitu unataka kusikia ila sisi hatukuelewi
 
Yaani mi sijakuelewa dhamira yako! Kwani uislamu ulikuja na jina lake kabisa au hebu nieleweshe huenda kuna kitu unataka kusikia ila sisi hatukuelewi
Nimekuuliza yesu alikuwa dini gani ukasema alikuwa myahudi.nikakuuliza sasa ukristo unatokea wapi ikiwa yesu hakuwa mkristo
 
Niwekee mathayo 26:39. Alafu niambie kanisani vile mnavyosali kawafundisha nani ikiwa yesu alikuwa anasujudu?
Mathayo 26:39 (SUV):
_Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Kwanza kabisa sisi hatusomagi biblia kama gazeti! Hatuquote kifungu kimoja na kujaji kama unavyofanya hapa ukisoma neno zima utagundua kuwa Yesu alifanya vingi kama mfano! Kuna namna sisi wakristo tunasali kwa kujikana kabisa kwa kujinyenyekeza kwa maana tumejifunza jinsi Yesu wetu alivyofanya kwa baba!

Yesu alipokuwa duniani, alijinyenyekeza kwa hiari yake mwenyewe, akavaa mwili wa kibinadamu (Wafilipi 2:6-8), akawa kama sisi, akahisi maumivu, njaa, uchovu, na hata akaomba kama sisi..

kuna vitu vingine ni beyond human intelligence ata uforce vipi kumpinga Mungu hutokaa ukaweza huu wotee ni mpango wa Mungu, Mungu sio mjinga amshushe mwanae ili aje kujitukuza kumkomoa baba yake! Mungu hachunguziki, narudia tena na tena ya kuwa MUNGU HACHUNGUZIKI!!

Period!!
 
Nimekuuliza yesu alikuwa dini gani ukasema alikuwa myahudi.nikakuuliza sasa ukristo unatokea wapi ikiwa yesu hakuwa mkristo
Nmeandika maelezo marefu sana hujataka kuyasoma kwasababu unawahi kubisha tu bila msingi mzuri! Rudi ukasome nilishakujibu tena kwa kina !!
 
Mathayo 26:39 (SUV):
_Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Kwanza kabisa sisi hatusomagi biblia kama gazeti! Hatuquote kifungu kimoja na kujaji kama unavyofanya hapa ukisoma neno zima utagundua kuwa Yesu alifanya vingi kama mfano! Kuna namna sisi wakristo tunasali kwa kujikana kabisa kwa kujinyenyekeza kwa maana tumejifunza jinsi Yesu wetu alivyofanya kwa baba!

Yesu alipokuwa duniani, alijinyenyekeza kwa hiari yake mwenyewe, akavaa mwili wa kibinadamu (Wafilipi 2:6-8), akawa kama sisi, akahisi maumivu, njaa, uchovu, na hata akaomba kama sisi..

kuna vitu vingine ni beyond human intelligence ata uforce vipi kumpinga Mungu hutokaa utaweza huu wotee ni moango wa Mungu, Mungu sio mjinga amshushe mwanae ili aje kujitukuza kumkomoa baba yake! Mungu hachunguziki, narudia tena na tena ya kuwa MUNGU HACHUNGUZIKI!!

Period!!
🤣🤣🤣.kule kanisani mnafanya ibada kama alivyofanya YESU?acha kuzunguka zunguka.
 
To all intents, constructions and purpose, Islam is here to stay - practically, legally, socially and culturally- and continues to fluorish. Many armada, Kings and Generals, the Popes, Impalers and Constantines and the like have tried to stop it in vain, 2.5 billion followers and counting. One more JF post does not change facts on the ground!
 
🤣🤣🤣.kule kanisani mnafanya ibada kama alivyofanya YESU?acha kuzunguka zunguka.
Sis tumefundishwa kuyatenda matendo mema sio kumuiga yesu maisha yake ila kufuata alichotufundisha! Tumefundishwa upendo, utu wema, fadhili, uaminifu, amani,furaha haya ndio matunda ya roho haya mengine fitina,uongo,uchawi,ulevi,uzinzi na mengineyo ni maovu!

Makanisa yanajengwa na waumini na kumuabudu Mungu tu! Mambo mengine ya kawaida ni misingi ya kanisa!

Kama ilivyo Tanzania tumeumbwa tuishi basi mengine kama kupiga kura katiba sijui bunge ni misingi ya nchi!

Ukilazimisha tuanze kuishi kama wayahudi apa ata magari hatutapanda!

Nafkiri dini ziko sawa hebu tufocus kwenye matendo mema, upendo, amani na mengineyo vingine vyote utalazimisha lakini ni BATILI!
Hatujatumwa kuichunguza torati ila kuyaishi matendo mema!
 
Sis tumefundishwa kuyatenda matendo mema sio kumuiga yesu maisha yake! Tumefundishwa upendo, utu wema, fadhili, uaminifu, amani,furaha haya ndio matunda ya roho haya mengine fitina,uongo,uchawi,ulevi,uzinzi na mengineyo ni maovu!

Makanisa yanajengwa na waumini na kumuabudu Mungu tu! Mambo mengine ya kawaida ni misminginya kanisa!

Kama ilivyo Tanzania tumeumbwa tuishi basi mengine kama kuoiga kura katiba sijui bunge ni misingi ya nchi!

Ukilazimisha tuanze kuishi kama wayahudi apa ata magari hatutapanda!

Nafkiri dini ziko sawa hebu tufocus kwenye matendo mema, upendo, amani na mengineyo vingine vyote utalazimisha lakini ni BATILI!
Hatujatumwa kuichunguza tolati ila kuyaishi matendo mema!
🤣🤣🤣.kwani hayo yesu hakuyajua mpaka akawa anafanya IBADA KWA VITENDO?
 
Sis tumefundishwa kuyatenda matendo mema sio kumuiga yesu maisha yake ila kufuata alichotufundisha! Tumefundishwa upendo, utu wema, fadhili, uaminifu, amani,furaha haya ndio matunda ya roho haya mengine fitina,uongo,uchawi,ulevi,uzinzi na mengineyo ni maovu!

Makanisa yanajengwa na waumini na kumuabudu Mungu tu! Mambo mengine ya kawaida ni misingi ya kanisa!

Kama ilivyo Tanzania tumeumbwa tuishi basi mengine kama kupiga kura katiba sijui bunge ni misingi ya nchi!

Ukilazimisha tuanze kuishi kama wayahudi apa ata magari hatutapanda!

Nafkiri dini ziko sawa hebu tufocus kwenye matendo mema, upendo, amani na mengineyo vingine vyote utalazimisha lakini ni BATILI!
Hatujatumwa kuichunguza torati ila kuyaishi matendo mema!
Haya twende kutoka 3:5 Mungu anamwambia Musa vua viatu vyako mahala patakatifu.je ninyi mbona mkiingiza kanisani hamvui viatu.
Kanisani ni PATAKATIFU AU SIO PATAKATIFU?
 
Back
Top Bottom