Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

🤣🤣🤣.kwani hayo yesu hakuyajua mpaka akawa anafanya IBADA KWA VITENDO?
Kwa ufupi ni haumkubali mwmaba au ukristo au makanisa? Sijapata point yako hapo..

Au unataka wote tufate uisalamu kwakuwa ndio unaamini ni dini ya kweli au? Hebu kuwa muwazi mi mpaka sasa sijakuelewa maana ata mtu akikujibu maswali bado unaibuka tu ni kama unapinga na una kadharau fulani hivi kama unafahamu zaidi hizi habari!
 
Kwa ufupi ni haumkubali mwmaba au ukristo au makanisa? Sijapata point yako hapo..

Au unataka wote tufate uisalamu kwakuwa ndio unaamini ni dini ya kweli au? Hebu kuwa muwazi mi mpaka sasa sijakuelewa maana ata mtu akikujibu maswali bado unaibuka tu ni kama unapinga na una kadharau fulani hivi kama unafahamu zaidi hizi habari!
Zile ibada za kwenye mabenchi kawafundisha nani mbona tofauti na mafundisho ya biblia
 
Haya twende kutoka 3:5 Mungu anamwambia Musa vua viatu vyako mahala patakatifu.je ninyi mbona mkiingiza kanisani hamvui viatu.
Kanisani ni PATAKATIFU AU SIO PATAKATIFU?
Sisi tunafata maagizo! Musa alivyoambiwa avue viatu sio kwamba wakristo wote tuvue viatu! Yani kiufupi unataka tuwafate mnavyoamini au?

Ni hivi Kutoka 3:5 Mungu alimwambia Musa
"Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguni mwako; maana mahali hapo ushikapo ni ardhi takatifu.’’

Sababu kwanini hatuvui viatu kanisani linatokana na tofauti ya mazingira, agano na kusudi.
Katika Agano la Kale, Mungu alizungumza na watu kwa njia za moja kwa moja sana (kama kwa Musa), na alionesha utakatifu Wake kwa alama za nje kama moto, moshi, kuvaa mavazi fulani, na kuvua viatu..

Lakini katika Agano Jipya, Mungu anakaa ndani yetu kwa Roho Mtakatifu.
1 Wakorintho 3:16
"Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?"

Agano la Kale lilifanyika kwenye mazingira ya Kiyahudi na Mashariki ya Kati ambako kuvua viatu ilikuwa ishara ya heshima. Katika tamaduni zingine (kama za Afrika au Ulaya), heshima huonyeshwa kwa njia tofauti — kimavazi, kimoyo, kimtindo.

Lengo ni moyo wa ibada, si viatu kama unavyodai wewe hapo Yesu mwenyewe alisema kuwa “Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.”(Mathayo 15:8)
Kwa hiyo, heshima ya kweli kwa Mungu si tu kwa kuvua viatu, bali moyo wa unyenyekevu na utakatifu ndani.

Unaweza ukawa unavua sana viatu, unasali usiku na mchana lakini moyoni mwako kumejaa chuki na visasi, Mungu hakai katika hekalu na namna hii mwisho wa siku unaishia kuwafurahisha wanadamu na si Mungu!
 
Zile ibada za kwenye mabenchi kawafundisha nani mbona tofauti na mafundisho ya biblia
We nae una kazi😂😂😂 si useme tu tuslimu ss mweee🙌🏾 Na unaongea kwa uchungu seems unauchukia ukristo kutoka uvungu wa moyo😊 sasa wapi wameandika mpaka tukae wapi🥱

Stop wasting ur time hebu amini unachokiamini na sisi tuamini tunachokiamini🙄
 
Sis tunafata maagizo! Musa alivyoambiwa avue viatu sio kwamba wakristo wote tuvur viatu! Yani kiufupi unataka tuwafate mnavyoamaini au?

Ni hivi Kutoka 3:5 Mungu alimwambia Musa
"Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguni mwako; maana mahali hapo ushikapo ni ardhi takatifu.’’

Sababu kwanini hatuvui viatu kanisani linatokana na tofauti ya mazingira, agano na kusudi.
Katika Agano la Kale, Mungu alizungumza na watu kwa njia za moja kwa moja sana (kama kwa Musa), na alionesha utakatifu Wake kwa alama za nje kama moto, moshi, kuvaa mavazi fulani, na kuvua viatu..

Lakini katika Agano Jipya, Mungu anakaa ndani yetu kwa Roho Mtakatifu.
1 Wakorintho 3:16
"Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?"

Agano la Kale lilifanyika kwenye mazingira ya Kiyahudi na Mashariki ya Kati ambako kuvua viatu ilikuwa ishara ya heshima. Katika tamaduni zingine (kama za Afrika au Ulaya), heshima huonyeshwa kwa njia tofauti — kimavazi, kimoyo, kimtindo.

Lengo ni moyo wa ibada, si viatu kama unavyodai wewe hapo Yesu mwenyewe alisema kuwa “Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.”(Mathayo 15:8)
Kwa hiyo, heshima ya kweli kwa Mungu si tu kwa kuvua viatu, bali moyo wa unyenyekevu na utakatifu ndani.

Unaweza ukawa unavua sana viatu, unasali usiku na mchana lakini moyoni mwako kumejaa chuki na visasi, Mungu hakai katika hekalu na namna hii mwisho wa siku unaishia kuwafurahisha wanadamu na si Mungu!
Kama Mungu anaangalia imani tu kwann sasa unajisumbua kwenda kanisani na kuomba wakati tayar unaamini?
 
MUISLAMU: USIKALIE MATUSI

Ambayo yanakupeleka jehanam

Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.

Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.

Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.

Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.

Muislamu

Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;

1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole

Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."

Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.

2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)

Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."

Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.

3. Mjadala wenye hoja za wazi

Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."

Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.

Mimi

Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:

Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Ile milioni kumi uliyoshida ukaja kutamba huku jf vipi imeishaaa?
 
Kama Mungu anaangalia imani tu kwann sasa unajisumbua kwenda kanisani na kuomba wakati tayar unaamini?
Nimesema wapi nasumbuka?😆 au kuna mtu huko kalalamika Anasumbuka😳 mbona kuna neno Limeonesha wazi kabisa ya kuwa tukutane kuabudu, kati ya wawili, watatu mkutanapo nitakuwa pamoja nanyi!
 
Nimesema wapi nasumbuka?😆 au kuna mtu huko kalalamika Anasumbuka😳 mbona kuna neno Limeonesha wazi kabisa ya kuwa tukutane kuabudu, kati ya wawili, watatu mkutanapo nitakuwa pamoja nanyi!
Kwahyo unataka kusema imani na matendo yanaenda pamoja Kwa kuzingatia muktadha?
 
Kwahyo unataka kusema imani na matendo yanaenda pamoja Kwa kuzingatia muktadha?
Ewaaa! 🤗 Imani huzaa matendo!Imani na matendo huenda pamoja, na hilo limeelezwa wazi katika maandiko katika kitabu cha Yakobo 2:17-18: inasema,
"Vivyo hivyo na imani, ikiwa haina matendo, imekufa kabisa... Wewe waweza kusema una imani, nami nina matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.’’

Hivyo; Imani ni ya ndani – ni kuamini kwa moyo, kuwa na tumaini, na kumtumainia Mungu.
Matendo ni ya nje – yanadhihirisha kile kilicho ndani ya moyo wako.kwahiyo matendo huonekana lkn imani imo ndani ya mtu binafsi

Kwa mfano; Kama unaamini Mungu ni wa upendo, basi matendo yako yataonyesha upendo na Kama unaamini katika msamaha, basi utasamehe wengine..

Imani ya kweli huzaa matendo. Huwezi kusema unaamini, halafu huishi kulingana na imani hiyo, imani na matendo hutegemeana imani huchochea matendo, na matendo huonyesha uhalisia wa imani 😊
 
Ewaaa! 🤗 Imani huzaa matendo!Imani na matendo huenda pamoja, na hilo limeelezwa wazi katika maandiko katika kitabu cha Yakobo 2:17-18: inasema,
"Vivyo hivyo na imani, ikiwa haina matendo, imekufa kabisa... Wewe waweza kusema una imani, nami nina matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.’’

Hivyo; Imani ni ya ndani – ni kuamini kwa moyo, kuwa na tumaini, na kumtumainia Mungu.
Matendo ni ya nje – yanadhihirisha kile kilicho ndani ya moyo wako.kwahiyo matendo huonekana lkn imani imo ndani ya mtu binafsi

Kwa mfano; Kama unaamini Mungu ni wa upendo, basi matendo yako yataonyesha upendo na Kama unaamini katika msamaha, basi utasamehe wengine..

Imani ya kweli huzaa matendo. Huwezi kusema unaamini, halafu huishi kulingana na imani hiyo, imani na matendo hutegemeana imani huchochea matendo, na matendo huonyesha uhalisia wa imani 😊
Post ya #264 na haya maelezo ya sasa unaweza nipa utofauti wake?
 
Post ya #264 na haya maelezo ya sasa unaweza nipa utofauti wake?
Imani bila matendo imekufa!, Mfano Unasema una imani lakini huonyeshi upendo, huruma, msamaha, uaminifu nk, hiyo imani haionekani..

Sisi wakristo tunaamini hatuokolewi kwa matendo bali kwa neema (Waefeso 2:8-9)
LAKINI tumeokolewa ili tutende matendo mema utasoma Waefeso 2:10.

Haya kwenye issue ya Mussa na viatu
Musa kuvua viatu ilikuwa ni ishara ya heshima katika tukio maalum, si sheria ya ibada ya kudumu. Katika Agano Jipya, Wakristo hawakuagizwa kuvua viatu ili kuonesha ibada. Sisi tunaabudu kwa roho na kweli, si kwa alama za nje. Kuhusu imani na matendo, ni kweli huenda pamoja. Imani ya kweli huzaa matendo si lazima matendo yawe ya kimwili kama vile kuvaa au kuvua viatu, bali ni maisha ya utii, upendo, na kumcha Mungu.
 
Imani bila matendo imekufa!, Mfano Unasema una imani lakini huonyeshi upendo, huruma, msamaha, uaminifu nk, hiyo imani haionekani..

Sisi wakristo tunaamini hatuokolewi kwa matendo bali kwa neema (Waefeso 2:8-9)
LAKINI tumeokolewa ili tutende matendo mema utasoma Waefeso 2:10.

Haya kwenye issue ya Mussa na viatu
Musa kuvua viatu ilikuwa ni ishara ya heshima katika tukio maalum, si sheria ya ibada ya kudumu. Katika Agano Jipya, Wakristo hawakuagizwa kuvua viatu ili kuonesha ibada. Sisi tunaabudu kwa roho na kweli, si kwa alama za nje. Kuhusu imani na matendo, ni kweli huenda pamoja. Imani ya kweli huzaa matendo si lazima matendo yawe ya kimwili kama vile kuvaa au kuvua viatu, bali ni maisha ya utii, upendo, na kumcha Mungu.
Mkuu naongelea ibada hapa siongelei upendo, aman n.k
 
Mkuu naongelea ibada hapa siongelei upendo, aman n.k
😤 basi sawa kama nilivyokuelezea hapo awali hiyo ibada ya Musa haikuwa ya kawaida ilikuwa ibada maalum! Na haikuwa sheria ila ibada zote bali kwa tukio ya kipekee!

Kuhusu kuvaa viatu kanisani sijui kukalia mabenchi sisi biblia haitufungi kuvaa viatu ndio maana ata Yesu na mitume walivaa viatu katika masinagogi! Na wala mitume haikufundisha kutovaa viatu makanisani..

Kwa kurudia tena!! Kuvua viatu kwa Musa ilikuwa ni kwa sababu ya tukio maalum, si sheria ya ibada. Katika Agano Jipya, ibada yetu ni kwa roho na kweli heshima ya kweli si lazima ionekane kwa viatu bali kwa moyo mnyenyekevu na maisha ya utii. Hatuwezi kulazimisha mfano mmoja wa Agano la Kale kuwa kanuni ya ibada kwa wote leo..😇

Ukihitaji pia maandiko mengine ya kuunga mkono hoja hii, naweza kukupa😎
Tulale sasa!
 
😤 basi sawa kama nilivyokuelezea hapo awali hiyo ibada ya Musa haikuwa ya kawaida ilikuwa ibada maalum! Na haikuwa sheria ila ibada zote bali kwa tukio ya kipekee!

Kuhusu kuvaa viatu kanisani sijui kukalia mabenchi sisi biblia haitufungi kuvaa viatu ndio maana ata Yesu na mitume walivaa viatu katika masinagogi! Na wala mitume haikufundisha kutovaa viatu makanisani..

Kwa kurudia tena!! Kuvua viatu kwa Musa ilikuwa ni kwa sababu ya tukio maalum, si sheria ya ibada. Katika Agano Jipya, ibada yetu ni kwa roho na kweli heshima ya kweli si lazima ionekane kwa viatu bali kwa moyo mnyenyekevu na maisha ya utii. Hatuwezi kulazimisha mfano mmoja wa Agano la Kale kuwa kanuni ya ibada kwa wote leo..😇

Ukihitaji pia maandiko mengine ya kuunga mkono hoja hii, naweza kukupa😎
Tulale sasa!
Mambo ya kuvua vitu hayo mm sizingatii nazungumzia ibada mnafanya kama alivokua anafanya yesu na manabii wengine kabla yake?
 
Mambo ya kuvua vitu hayo mm sizingatii nazungumzia ibada mnafanya kama alivokua anafanya yesu na manabii wengine kabla yake?
Umeuliza swali nimekujibu mjomba hueleweki

Haya Kwani yesu alifanyaje na sisi unaona tunafanyaje tuanzie hapo!
 
MUISLAMU: USIKALIE MATUSI

Ambayo yanakupeleka jehanam

Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.

Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.

Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.

Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.

Muislamu

Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;

1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole

Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."

Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.

2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)

Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."

Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.

3. Mjadala wenye hoja za wazi

Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."

Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.

Mimi

Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:

Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Uislamu sio upagani ni umbulukenge, unawajua mbulu kenge? Achana na hawa kenge wa kisasa
 
Umeuliza swali nimekujibu mjomba hueleweki

Haya Kwani yesu alifanyaje na sisi unaona tunafanyaje tuanzie hapo!
Mm sipo kubishana nataka uniambie sasa yy alifanyaje na nyinyi mnafanyaje ili nijifunze
 
Back
Top Bottom