Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

Biblia za kivita ni za Zamani kweli. Hivi bado zipo na zinapatikana madukani?
Bado zipo ni za awali ,ndio Zina maneno mengi ya kiarabu kama Iddi ,MASHEIKH ,n.k

Waislamu wanapenda kuwadanganyia wakristo wasio jua Ukristo kuwa Uislamu ulikuwepo kabla ya Muhammad wanawaambia unaona hata biblia imewataja MASHEIKH,iddi ,n.k
 
“Days of the solemn feast” = Siku za Sikukuu Kuu, hasa zikihusiana na Sikukuu ya Vibanda/Hehema (Feast of Tabernacles / Sukkot), ambapo Waisraeli waliishi kwenye vibanda/hema kwa muda fulani wakikumbuka safari yao jangwani baada ya kutoka Misri.

Kwa hiyo, “Days of the Feast” hapa maana yake ni:

Siku maalum za ibada na furaha za Israeli, ambazo zilihusiana na kukaa hemani kama kumbukumbu ya ukombozi wao kutoka Misri.
Sawaa.point yangu inakuwaje biblia zinatofautiana kwenye tafsiri kama sio maneno ya watu?
 
Wewe jamaa akili yako bhana ,kwahiyo unataka tafsiri za biblia zisemaje labda?


Je maana hapo imepotoshwa?
Point yangu ni kuwa biblia hatuwezi kuiamini sababu Kuna maneno yamefutwa na mengine yameongezwa
 
Point yangu ni kuwa biblia hatuwezi kuiamini sababu Kuna maneno yamefutwa na mengine yameongezwa
Yapi yamefutwa na yapi yameongezwa?

Leta Ushahid

Biblia Ina Manuscript kabla hata Yesu hajazaliwa

Leta ushahidi,twende kazi
 
Sawaa.point yangu inakuwaje biblia zinatofautiana kwenye tafsiri kama sio maneno ya watu?
Kwahiyo kimasai na kihaya vinafanana ?

Hivi ndugu zangu ni kwamba tatizo shule au tatizo nini?
 
Kwahiyo kimasai na kihaya vinafanana ?

Hivi ndugu zangu ni kwamba tatizo shule au tatizo nini?
Ebu tuliza akili yako Kwanza.kuna biblia imeandika Idd na nyingine ilo neno HALIPO.AKINA NANI WALIOWEKA HIZO TAFSRI?suala sio lugha bali maneno
 
Allah. Anaongea kiarabu?.
Maana yale maneno ni ya allah hajandika binadamu.
Lugha zote anajua .hapo ametumia kiarabu sababu ya Muhammad amtume wake alikuwa muarabu.
Pia Kwa zaburi ya daudi alitumia lugha ya daudi,taurati alitumia lugha ya Musa na injili alitumia lugha ya ISSA?
 
Lugha zote anajua .hapo ametumia kiarabu sababu ya Muhammad amtume wake alikuwa muarabu.
Pia Kwa zaburi ya daudi alitumia lugha ya daudi,taurati alitumia lugha ya Musa na injili alitumia lugha ya ISSA?

Quran haijaandikwa na mtu si ndio?.

Kwamba imeshushwa jinsi ilivyo. Au?
 
Ebu tuliza akili yako Kwanza.kuna biblia imeandika Idd na nyingine ilo neno HALIPO.AKINA NANI WALIOWEKA HIZO TAFSRI?suala sio lugha bali maneno
Kwamba ikiwekwa Iddi ,au Sikukuu., au day of feast , au festival

Ni wameondoa maneno ?

Ndugu Rudi shule ,kwa staili hii naelewa kwanini mnadanganywa
 
Kwamba ikiwekwa Iddi ,au Sikukuu., au day of feast , au festival

Ni wameondoa maneno ?

Ndugu Rudi shule ,kwa staili hii naelewa kwanini mnadanganywa
Unarudi pale pale kwenye HOJA YANGU kuwa biblia ni maneno ya watu.
 
Hujajibu hoja.

Je Quran imeshushwa au imeandikwa?.
Mimi nimetoa kasoro ya aya Moja kuandikwa maneno wanayotaka waandishi wa biblia Kila mtu kaweka la kwake kwenye aya 1.sasa na wewe niwekee aya Moja ya Quran ambayo imefutwa au imeongezwa kwenye tafsiri.tukiacha lugha yake ya asili ambayo Quran yooooote imeandika Kwa kiarabu
Ila wenzetu biblia imeandika Kwa lugha 3🤣🤣🤣
 
Mimi nimetoa kasoro ya aya Moja kuandikwa maneno wanayotaka waandishi wa biblia Kila mtu kaweka la kwake kwenye aya 1.sasa na wewe niwekee aya Moja ya Quran ambayo imefutwa au imeongezwa kwenye tafsiri.tukiacha lugha yake ya asili ambayo Quran yooooote imeandika Kwa kiarabu
Ila wenzetu biblia imeandika Kwa lugha 3🤣🤣🤣

Bro swal langu unaliona?.

Quran imeshushwa au imeandikwa na binadamu?
 
Mimi nimetoa kasoro ya aya Moja kuandikwa maneno wanayotaka waandishi wa biblia Kila mtu kaweka la kwake kwenye aya 1.sasa na wewe niwekee aya Moja ya Quran ambayo imefutwa au imeongezwa kwenye tafsiri.tukiacha lugha yake ya asili ambayo Quran yooooote imeandika Kwa kiarabu
Ila wenzetu biblia imeandika Kwa lugha 3🤣🤣🤣
Wewe tatizo lako ni shule tu

Unaumiza watu vichwa, unatia aibu
 
Bro swal langu unaliona?.

Quran imeshushwa au imeandikwa na binadamu?
Najua kule umeshindwa ngoja sasa turudi huko unapotaka.
Quran IMESHUSHWA KUTOKA KWA ALLAH AKAMPA GIBRIL AMPEKEE MTUME KWA NJIA YA KUMSOMEA.
NDO MAANA AYA YA KWANZA YA QURAN
NI IQRAA YAANI" SOMA"
 
. Ni ngumu sana kuthibitisha kwamba dini Yako ni sahihi kuliko nying
Ni rahisi sana kuthibitisha,ona Hawa wanavyoyumba,
Yohana 14:9
Yesu akamjibu, “ Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yhn 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Back
Top Bottom