Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,505
- 9,966
Najua kule umeshindwa ngoja sasa turudi huko unapotaka.
Quran IMESHUSHWA KUTOKA KWA ALLAH AKAMPA GIBRIL AMPEKEE MTUME KWA NJIA YA KUMSOMEA.
NDO MAANA AYA YA KWANZA YA QURAN
NI IQRAA YAANI" SOMA"
Alaf kwa kuwa mtume alikua hajui kusoma wala kuandika akaenda kumwambia mtu mwingne ili aandike. Si ndio?.
Kwahiyo Quran imeandikwa na Binadamu.
Sasa kuna tofauti gan na Biblia.
Maana zote zimeandikwa na watu.
Alaf una uhakika gan huyo mtu wa tatu ameandika yale mtume alisema?
Kwa miaka 23. Mwamed hakujua kusoma wala kuandika na alikua kila kitu anaandikiwa. Si ndio?