Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
wapi wale wapigiga uvundo pafyum huku namwona mama porojo aka faiza fox.
Bahati mbaya ama nzuri matusi yenyewe yamekuwa ya ukweli
Waandishi wa Tazanzani kuna haja ya kujifunza katika uandishi wa aina hii.
Unaweza kuinusu Tz yetu.
watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali
kweli wewe ni mama porojo. Kwani ktk hayo yaliyoandikwa kuna uongo hapo? Ebu kuwa mkweli na useme ktk andishi hilo ni wapi kuna uongo.
hawa walitaka kutucameron watanzania wote
hawana maana hata kuwasikiliza kuna agenda ndani ya kauli yao kwa jk
Do you think so? I don't....I believe some of what they say hold facts!!jk aliwakatalia ombi lao la kuwekeza kwenye urenium na kuleta balozi shoga llazima wamtukane kulipa kisasi
Davos main goal is to discuss Euro crisis not African problems and this president should have known that, because at the end of the day he will be leaving bare handed
hawa walitaka kutucameron watanzania wote
hawana maana hata kuwasikiliza kuna agenda ndani ya kauli yao kwa jk
Ninatamani, watanzania, hasa waandishi wa habari wangeweza kuinyakua habari hii na kuifanya iwe na manufaa. Enyi wenye NGO's zinazohusika na advocacy bebeni taarifa hii, ihakikisheni kuwa ni kweli then ijengeeni hoja. Si lazima kuiweka kwenye negative side kama ilivyo but mnawezaijengea hoja chini ya vichwa tofauti kama
1. Baada ya fadhila na kuwaenzi, je ni haki kwa waingereza kumdhihaki rais wetu kwa comments kama hizi?
2. Ingawa wao ndio chanzo cha umasikini wetu kwa kutupa misaada yenye masharti magumu, hii ndio jeuri ya waingereza e.t.c
then itisheni Public dialogue seminars au public talks huku mkiwaalika wachumi mbalimbali watoe mitazamo yao juu ya kashfa hizi muone kama ujumbe hautofika kwa Mkulu.
Si lazima headings mtakazozitoa ziwe zinaenga moja kwa moja kumkashfu rais kwa sababu mkifanya hivyo hamtopata wachangiaji huru.
Mnaweza pia anzisha online discussions kwenye forums mbalimbali (za kiandishi) kisha mkasynthesize mawazo yaliyotolewa huko mkapata habari ya kureport. Big up mtoa mada. Ingawa sometimes nahisi hawa wapambe wake huwa wanamficha habari zinazomponda na kumfikishia zile tu zinazomsifia. So even hii (labda kama ataingia mwenyewe personally JF) wataiminyia tu.
However tackling the problem of corruption was still a "major issue", said Tanzanian President Jakaya Kikwete. "The first thing to fight against corruption is transparency," he said, adding that his country was now publishing all mining contracts as part of a new mining code. The best guarantee for an investor is transparency."
Photo below President Jakaya Kikwete holding a preparatory meeting with his delegations soon after arrival at the Davos Sheraton ahead of the start of the four day World Economic Forum held annually in the mountainous health resort.
![]()
I feel ashamed on the way my President ...is turned into rubles.....du !!!
You know tukiwa hapa tunampondaa lakini akiwa nje aibu Yake ni aibu ya nchi.........ni muhimu rais ajaye tumpime kwa midahalo....ili tuwe na uhakika wa ufahamu...wake....kiukweli tangu 2005 JK alikwepa midahalo mingi sana na kina mbowe na baadaye Slaaa...na Lipumba....