Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Wale waliokuwa wanahoji kwamba Gordon Brown hayupo kwenye mkutana huo, nadhani a photo can speak thousands words.
417275_10150530007281225_33236101224_9241688_370973028_n.jpg
 
Yaani nimecheka kweli. JK ameshindwa kujibu swali la education system akarukia mambo ya magari. Du! kweli tumeibua galasha la mavi ya mbuzi.

jk kajenga hoja, nunueni magari mengi zaidi ili wawekezaji binafsi wawajengee barabara
 
Companero, nimemsikiliza JK wetu katika dakika ya 43 mpaka 49, duh! Nawaombeni wana JF msikilizeni Raisi wetu akijibu swali aliloulizwa na Brown, mimi nimepigwa bumbwazi - kweli Kikwete si mchezo, tunavuna tulichopanda LOL!

mbona kamwaga data kuonesha kwa nini wawekezaji binafsi hawataki kuwekeza kwenye ujenzi wa barabara - ni kwa kuwa watanzania/waafrika hamna magari mengi
 
salva hajatoa tamko juu ya hawa vijana wa kamerun?!!!
 
watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali

Hapa topic ni JK na u-matonya wake wakati nchi ina raslimali za kutosha isipokuwa zinawafaidisha wachache akiwemo yeye na mafisadi wenzake!! Hayo ya uhusiano kusuasua unapotosha mada!! Aliyeongea sio serikali ya uingereza bali ni mtu binafsi! Tafadhari usitupotoshe hapa!! Kikwete ni omba omba asiye na chembe chembe za aibu!!
 
inabidi tufanye kila jitihada kuondokana na huu mzigo..jk ni mzigo..hajui kuongea..hajui kujibu maswali...full kutia aibu
 
kikwete hana tofauti ni mti wa ashok(mu-ashok)...ule mti haufai kwa kuni....haufai kujengea....haufai kwa kivuli...haufi kuwa mkongojo wa mzee...haufai kupasua mbao....zaidi sana ule mti huwa ni pango na makazi ya nyoka wale wa kijani....

kikwete is a captive of his own identity...livingi in prison of his own creation.....

the Nation has a president who cannot think beyond the next meal......yupo yupo tu..
 
inabidi tufanye kila jitihada kuondokana na huu mzigo..jk ni mzigo..hajui kuongea..hajui kujibu maswali...full kutia aibu
Kuna mchangiaji mmoja...AstaVista1 anaonyesha kufahamu vizuri uozo tulionao kwenye huu utawala.....anasema hata diplomats wa USA walioko hapa tz wanamjua JK kwa uvundo alionao kiutawala......inawauma sana wanapoona kwao mawaziri wao wengine wanapanda subway wakati hapa tz mijamaa(miwaziri)inapanga gari kubwa za Japan.........wakati wao ndio wanatulisha.....hii inauma kwa kweli....wanamjua jk alivyo ombaomba na wanajua lengo lake Davos ni kutembeza bakuli.....wanajua yote haya......i wish watanzania wote wangekuwa na huu uelewa....vyombo vyetu vya habari kwa kweli ni aibu sana...wale raia kule vijijini hawajui uozo huu wa mtu waliyemchagua kuwa kiongozi wao.....inauma kwa kweli....
 
labda uwe mvivu wa kufikiri ndipo uungane
na waingereza ambao ktk siku za karibuni tumekataa maombi yao mengi kwani walitaka kumbuluza jk

Kweli amekataa maombi yao mengi:
1. Kakataa kuwafungulia mashtaka waliohusika na kashfa ya RADA
2. Kakataa kusaini mkataba wa UKIPEWA na WEWE TOA ili uendelee kupewa
tafadhali endelea na wewe
3. .........................................................
4. .........................................................
 
I feel ashamed on the way my President ...is turned into rubles.....du !!!


You know tukiwa hapa tunampondaa lakini akiwa nje aibu Yake ni aibu ya nchi.........ni muhimu rais ajaye tumpime kwa midahalo....ili tuwe na uhakika wa ufahamu...wake....kiukweli tangu 2005 JK alikwepa midahalo mingi sana na kina mbowe na baadaye Slaaa...na Lipumba....
 
labda uwe mvivu wa kufikiri ndipo uungane
na waingereza ambao ktk siku za karibuni tumekataa maombi yao mengi kwani walitaka kumbuluza jk

Hivi ukweli ukisemwa na adui yako unabadilika na kuwa nusu ukweli eeeh?!

Wewe mama porojo, nini muhimu kwako, ukweli juu ya yaliyosemwa au kasema nani?

Tuondolee mambo ya umbea hapa, mimi ningekuona una akili angalau kidogo kama ungejibu hoja kuwa Kikwete si ombaomba, anasimamia vizuri rasilimali kiasi madaktari hawagomi, hawaogopi mafisadi na ndio maana wote mahakamani n.k.

Lkn kwa kuwa unajua si hivyo, unataka kuleta sera za kusutana mitaani huko buguruni unakoishi. Hata yeye Kikwete mwenyewe akisoma hapo hatobisha. Kwa kifupi anatufanya tuone aibu na bakuli. Hawa wanaomsifiaga kuwa kakuza uchumi ndio wa kuwaangalia, kwani husema maneno hayo wakitaraji kupewa vibali vya kuchimba madini na kujenga mahoteli mbugani.

Wewe ndio mvivu wa kufikiri
 
kikwete hana cha kunilaumu kwa maana sijawahi kumchagua.
Na wewe kwani Avatar nyingine za kutumia hujaziona? hivi huyo Regia angekuwa ni ndugu yako wa damu ungekuwa na ushujaa huo wa kuitumia hiyo Avatar mapema kiasi hiki? hebu tujaribu kufeel other people pain.
 
jk aliwakatalia ombi lao la kuwekeza kwenye urenium na kuleta balozi shoga llazima wamtukane kulipa kisasi

hawa walitaka kutucameron watanzania wote
hawana maana hata kuwasikiliza kuna agenda ndani ya kauli yao kwa jk

labda uwe mvivu wa kufikiri ndipo uungane
na waingereza ambao ktk siku za karibuni tumekataa maombi yao mengi kwani walitaka kumbuluza jk

watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali

Jamani mbona Tunadanganyana sisi weusi Gordon Brown is no longer British Premier and also he did resigned from a membership to the house of Commons so how comes he's a chairperson at Davos? this is the 5 years old story when Mr. Gordon Brown was Premier of Britain...

KEEP US UPDATE NDUGU YETU...

KIKWETE anakwenda kila mkutano wa Davos...

read and understood, but the reporter shows full of jealous to the president,his comments is full of provoking we can not buy his ideas.

Agenda za wazungu ni kuendelea kutuona Afrika ni koloni lao. Kumbuka Cameroun alipotaka sisi tuwe mashoga Jk hakumtukana na wala hajajibu upuuzi wake alimpatia Membe kufanya kazi hiyo lakini wao wanataka kumdhalilisha rais wetu wakati kidiplomasia wana balozi wao hapa.

Nina mashaka na kauli za waingereza kuna jambo nyumba yake ambalo haliko wazi.

Tangu Jk aingie madarakani yuko karibu na China na Marekani kwa nchi za dunia ya kwanza pengine UK haijapenda mwendo huu wamekuja na mbinu ya kummaliza kimataifa. angalau Jk nilimuona kuwa karibu na chama cha Labour alipokuwepo Godon Brown na Tony Blear huyu Cameroun wa consevertive mmmh kaja na sera za kutushurutisha ikiwemo ushoga

Uingereza imetutukana watanzania. Rais sio mtu ni taasisi. Tumetukanwa mnasema katukanwa Jk.
Quotes zote hizo hapo juu zinadai JK katukanwa. Mnaweza kuwa sahihi katukanwa lakini sababu kubwa ni kuwa yeye "anaitukanisha Tanzania". Nyote mmehusisha maneno ya aliyendika maoni yake juu ya JK kuwa sababu eti "Waingereza walitaka kutuCameroun" Jk akakataa.

Mtu lake apewe, JK alifanya vyema kuwakatalia "tusikameruniwe", lakini kwenye upana wa maana, kukameruniwa si kupumuliwa kisogoni tu, hata haya tunayofanyiwa na serikali ni kukameruniwa. Atokee mmoja tu akanushe yaliyosemwa juu ya JK na TZ, Tz yenye utajiri lakini imekuwa shamba ya bibi. TZ nchi ya tatu masikini zaid Afrka ikitanguliwa na Malawi na Somalia. Soma hapa: List of sovereign states and dependent territories in Africa - Wikipedia, the free encyclopedia

Tunapoambiwa ukweli ambao sisi hatuwezi kuusema ama kwa woga au kwa kuzibwa midomo, tusitafute visingizio vyengine, tugande kwenye ukweli na hapa tunatakiwa kujadili "Kwa nini Tanzania inaendelea kuwa masikini licha ya utajiri iliyonao".
 
Nimesoma comments hapa na kujikuta naona vyema niwashirikishe mjue wazungu wanavyomnanga rais wetu.
Hizi comments sio mpya, nakumbuka nimezisoma humu JF hivikaribuni, mtoaji anaweza kuwa amegeuza maneno kidogo lakini ngoja nilitafute bandiko lenyewe nitaliweka hapa.

Pamoja na hayo, wote raisi wetu tunamjua tena tunampiga mawe hapa jamvini kila siku, hivi akimsema mwingereza ndiyo inakuwa habari? Acheni hizo mlimchagua wenyewe na mnavuna mlichopanda!

Tena wanaotukanwa ni nyie wote watanzania; yaani ankuja mtu kutoka huko anamtukana babako wee unajifanaya hayakuhusu? badala yake mnashangilia kama mazuzu!
 
I feel ashamed on the way my President ...is turned into rubles.....du !!!


You know tukiwa hapa tunampondaa lakini akiwa nje aibu Yake ni aibu ya nchi.........ni muhimu rais ajaye tumpime kwa midahalo....ili tuwe na uhakika wa ufahamu...wake....kiukweli tangu 2005 JK alikwepa midahalo mingi sana na kina mbowe na baadaye Slaaa...na Lipumba....
Hawezi kubali mdahalo.

Najiuliza sijui kwa nini amekwenda huko wakati anajua atarudi mikono mitupu maana basically lengo la forum ya mwaka huu ni Euro crisis na si matatizo ya Afrika, nimemsikiliza alivyokuwa anajieleza mara nyingi alikuwa anababaika,wakati wenzake wakiongelea Afrika as a whole yeye alikuwa ana personalize mambo, anawaambia kama wakitaka kuwekeza tanzania wakamwone yeye ofisini ohoo!!
 
Hizi comments sio mpya, nakumbuka nimezisoma humu JF hivikaribuni, mtoaji anaweza kuwa amegeuza maneno kidogo lakini ngoja nilitafute bandiko lenyewe nitaliweka hapa.

Pamoja na hayo, wote raisi wetu tunamjua tena tunampiga mawe hapa jamvini kila siku, hivi akimsema mwingereza ndiyo inakuwa habari? Acheni hizo mlimchagua wenyewe na mnavuna mlichopanda!

Tena wanaotukanwa ni nyie wote watanzania; yaani ankuja mtu kutoka huko anamtukana babako wee unajifanaya hayakuhusu? badala yake mnashangilia kama mazuzu!
Upya au ukuukuu wa commenti si tatizo

what matters is the content and context of the comment, je yaliyomo yana ukweli?
 
Back
Top Bottom