Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Kubenea weka hewani hiii, maana watunza siri wameshindwa kutunza siri hizo zisivuje... hembu wawekee watanzania waisome hii.
 
Agenda za wazungu ni kuendelea kutuona Afrika ni koloni lao. Kumbuka Cameroun alipotaka sisi tuwe mashoga Jk hakumtukana na wala hajajibu upuuzi wake alimpatia Membe kufanya kazi hiyo lakini wao wanataka kumdhalilisha rais wetu wakati kidiplomasia wana balozi wao hapa.
 
jamaa kafunguka ukweli mtupu, hata watoto wadogo wanamlaumu presda wetu. Ni ukweli mtupu mzungu anakuja huku mikono mitupu na begi lake na nguo tu, anafikia kwa mshikaji wake, hapo ana dola zake kama 800 au 1000, hapo hapo anaanza investment, kiujanja ujanja na kulindwa na wakubwa serikalini utashtukia jamaa kawa tajiri, anatuacha sisi tunaendelea na umaskini. inauma sana kwakweli, ivi sisi ukienda kwao ufanye kama wao wanavyofanya huku utatoka? si ndo tunaona ndugu zetu huko kwao wanaishia kufagia mabarabara tu pamoja na usomi wao. Sisi imekuwa wakikata tamaa ya maisha huko kwao basi wanakuja huku kuchuma. Hongera richard nakupongeza kwa kuionea uchungu nchi yetu.
 
watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali

Mwenye akili za aina yako lazima awe mwana CCM mwenzako tena fisadi na Mugabe .Si kawaida uwe mjinga hata FF hapa hawezi kusema na ujinga wake na mapenzi kwa CCM lenu .
 
Ninatamani, watanzania, hasa waandishi wa habari wangeweza kuinyakua habari hii na kuifanya iwe na manufaa. Enyi wenye NGO's zinazohusika na advocacy bebeni taarifa hii, ihakikisheni kuwa ni kweli then ijengeeni hoja. Si lazima kuiweka kwenye negative side kama ilivyo but mnawezaijengea hoja chini ya vichwa tofauti kama
1. Baada ya fadhila na kuwaenzi, je ni haki kwa waingereza kumdhihaki rais wetu kwa comments kama hizi?
2. Ingawa wao ndio chanzo cha umasikini wetu kwa kutupa misaada yenye masharti magumu, hii ndio jeuri ya waingereza e.t.c

then itisheni Public dialogue seminars au public talks huku mkiwaalika wachumi mbalimbali watoe mitazamo yao juu ya kashfa hizi muone kama ujumbe hautofika kwa Mkulu.

Si lazima headings mtakazozitoa ziwe zinaenga moja kwa moja kumkashfu rais kwa sababu mkifanya hivyo hamtopata wachangiaji huru.

Mnaweza pia anzisha online discussions kwenye forums mbalimbali (za kiandishi) kisha mkasynthesize mawazo yaliyotolewa huko mkapata habari ya kureport. Big up mtoa mada. Ingawa sometimes nahisi hawa wapambe wake huwa wanamficha habari zinazomponda na kumfikishia zile tu zinazomsifia. So even hii (labda kama ataingia mwenyewe personally JF) wataiminyia tu.

Ndugu, ni fadhila zipi hizo na kuwaenzi ambazo Watanzania wamewafanyia Waingereza? Halafu pili, si sahihi kusema eti Waingereza wanatudhihaki wakati hizo ni comments za Muingereza mmoja tu kati ya milioni 60.
Siyo kweli kusema umaskini wetu umetokana na masharti magumu ya misaada yao, bali ni nchi kuendeshwa bila vision na strategies.
 
However tackling the problem of corruption was still a "major issue", said Tanzanian President Jakaya Kikwete. "The first thing to fight against corruption is transparency," he said, adding that his country was now publishing all mining contracts as part of a new mining code. The best guarantee for an investor is transparency."

Photo below President Jakaya Kikwete holding a preparatory meeting with his delegations soon after arrival at the Davos Sheraton ahead of the start of the four day World Economic Forum held annually in the mountainous health resort.

dav2.jpg
 
Aibu Yao aibu yetu? Tunahuzunika au tunachekelea? Wanatupenda saaaaana Watanzania siyo enhe?Tunamsema na tutaendelea kumsema wenyewe! Hao nao wanafiki tu!
 
Ndugu, ni fadhila zipi hizo na kuwaenzi ambazo Watanzania wamewafanyia Waingereza? Halafu pili, si sahihi kusema eti Waingereza wanatudhihaki wakati hizo ni comments za Muingereza mmoja tu kati ya milioni 60.
Siyo kweli kusema umaskini wetu umetokana na masharti magumu ya misaada yao, bali ni nchi kuendeshwa bila vision na strategies.
Massenberg, wewe ni mwandishi wa habari? unapoandaa topic kwa ajili ya kustimulate discusion unatakiwa kuweka rhetoric statement. Nadhani waandishi wananielewa. Kama nilivyosema kuwa si lazima topic iwe inamkashfu muhusika na wala haimaanishi topic inamuunga mkono.............
 
Jamani mbona Tunadanganyana sisi weusi Gordon Brown is no longer British Premier and also he did resigned from a membership to the house of Commons so how comes he's a chairperson at Davos? this is the 5 years old story when Mr. Gordon Brown was Premier of Britain...

KEEP US UPDATE NDUGU YETU...

KIKWETE anakwenda kila mkutano wa Davos...


Mkuu, Gordon Brown hakujiuzulu, ila kura hazikutimia. Kwa sasa Gordon Brown ni full member (mbunge) wa the House of Common. Anawakilisha jimbo lake la Kirkcaldy & Cowdenbeath la Scotland.
 
However tackling the problem of corruption was still a "major issue", said Tanzanian President Jakaya Kikwete. "The first thing to fight against corruption is transparency," he said, adding that his country was now publishing all mining contracts as part of a new mining code. The best guarantee for an investor is transparency."

Photo below President Jakaya Kikwete holding a preparatory meeting with his delegations soon after arrival at the Davos Sheraton ahead of the start of the four day World Economic Forum held annually in the mountainous health resort.

dav2.jpg

Mbona kama jamaa hawamsikilizi?kila mtu anawaza ni jinsi gani hata faidi per diem ndani ya davos.......Hakuna nchi iliyoendelea kwa misaada baadala ya kuumiza vichwa kuona ni jinsi gani mtatumia maliasi mlizopewa bure na Mungu ili kujikwamua kiuchumi kila siku kiguu na njia na maproposal yenu kuomba misada cha kusikitisha 70% ya total budget kwenye hizo proposal ni administration cost the rest ndiyo inaenda kwenye mradi. Kila project ikija inaundiwa Agency yake project ikisha hakuna mwendelezo....
Inasikitisha......ila mwisho waja.
 
Huu ndio ukweli, humu JF mtu angetokea na kuandika haya kwanza sio tu mods wangempa full time ban, lakini pia wangeweka stars badala ya jina lake, upuuzi.

Sasa ukweli huu ni wachache sana wanauwezo wa kuusoma na kuelewa maudhui yake. Hakuna hata moja alilosingiziwa vasco da gama wetu. Watanzania tumekuwa wajinga kila siku na sasa serikalia inaduaza elimu ili wajinga waongezeke na watawaliwe kiurahisi. JK kashindwa kwa kila kitu, alitumia nguvu mno kuingia ikulu asijue nini hasa anachofata huko. Wazungu wanajua kwa nini Watanzania ni maskini yeye anakuna kichwa na kusema hajui. Bado anamaliza miaka mitano anasema nilikuwa najifunza matatizo yenu na majitu yanaibuka na kupigia kura. Pumbavu kabisa.

Sasa tuone kama ikulu italitolea na hili tamko maana salva anadhani kurugenzi ya ikulu kazi yake ni kupinga kila hoja.

Ni mimi,
Pangu Pakavu.
Unachoongelea hapa ni ukweli mtupu lakini nasikitika kuwa kwa wenye mtazamo finyu watauchukulia kama chuki binafsi. Natamani kungekuwa na debate huru ya wanaompinga na wale wanaomuunga mkono ili kuelimishana kwa evidence. Najua hukunielewa maana yangu kwenye post yangu ya mwanzo but lengo langu ni kuhamasisha waandishi wa habari na wanaohusika kutoa nafasi sawa kwa pande zote mbili, zinazounga mkono na zinazopinga. Si rahisi kumfunza mtu kwa kumwambia .....wewe ni mpumbavu bila kumwonyesha upumbavu wake umelalia wapi. .... bali atajifunza zaidi kwa demo zaidi ya kuishia kumwambia you are wrong. Toa nafasi kwa mtu kujifunza kutoka kwako kwa ku-provide room kwa wote am sure utashangaa thinking orientation ya the other side. Wape nafasi kujifunza kutoka kwako.
 
Mleta mada amepotosha wengi kwa kutumia kichwa cha habari, "Waingereza wamnanga Kikwete", wakati hayo mambo yenye ukweli mtupu yameandikwa na mtu mmoja tu. Kuna wengine wamelinganisha na ile habari ya Israeli, lakini huyu si waziri, wala mtu mwenye wadhifa wa ngazi yoyote kitaifa Uingereza. Kama ambavyo mchangiaji mmoja amesema, ni comment kama zinavyotolewa humu JF, hilo ni gazeti la The Guardian online la Uingereza.
 
Following the above article some readers gave out the following comments ...

LindaCroucher 26 January 2012 3:50PM
Response to RichardBrunwick, 26 January 2012 2:33PM

This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.

Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.

I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit
 
LindaCroucher 26 January 2012 4:01PM
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools
 
Tangu Jk aingie madarakani yuko karibu na China na Marekani kwa nchi za dunia ya kwanza pengine UK haijapenda mwendo huu wamekuja na mbinu ya kummaliza kimataifa. angalau Jk nilimuona kuwa karibu na chama cha Labour alipokuwepo Godon Brown na Tony Blear huyu Cameroun wa consevertive mmmh kaja na sera za kutushurutisha ikiwemo ushoga
 
watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali
This has nothing to do with our uhusiano na Uingereza, Mama umbeya. Wanaosema haya si viongozi wa serikali lakini individual observers ambao wanaijua Tanzania, na wanamjua Kikwete, mfano huyu mfanyi kazi wa zamani wa UNDP.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom