Tangu Jk aingie madarakani yuko karibu na China na Marekani kwa nchi za dunia ya kwanza pengine UK haijapenda mwendo huu wamekuja na mbinu ya kummaliza kimataifa. angalau Jk nilimuona kuwa karibu na chama cha Labour alipokuwepo Godon Brown na Tony Blear huyu Cameroun wa consevertive mmmh kaja na sera za kutushurutisha ikiwemo ushoga
Naomba nikusahihishe ndugu. UK ndio wanatoa misaada mingi kwa Tananzia kupita donor yoyote. Hawajitangazi kama Balozi wa marekani anavyouza sura kwenye Michuzi blog kila siku lakini kaa ukijua kuwa nearly 1/3 (theluthi moja) ya bajeti ya serikali inatoka UK. Pamoja na makidai yetu ni vizuri tutambue nani anatulisha. UK wakikata misaada leo we are finished! It is that bad!
Kwa upande mwingine Marekani hawatoe hata cent moja kwenye bajeti ya serikali. Hivyo hivo China hawatoi hata yuan (Chinese currency) moja, wameishia kutoa pikipiki kwa polisi na kutufundisha sarakasi huku wakichukuwa makaa ya mawe! Kumbuka bajeti ya serikali ndio inatumika kulipa mishahara, posho, etc. Maskini jeuri? not a good idea for now!