Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Kweli, Tanzania ni tajiri ila tumeachia wawekezaji kuchota gold na Tanzanite.

Pia tumeacha mafisadi wachukue pesa wakaweke account za nje.

COmment za Richard ni realistic na zinatia uchungu.

watanzania tumekuwa mazoba mno, sijui ni upole au uwoga.

mengi yamesemwa kuhusu mafisadi, tukianzia na LIST of shame - 2007, Weak leakes, EPA, na mengine.

Watu wa nje wanatushangaa kwa ushahidi huu mkubwa hivi bado tumewaacha tu. Mbaya zaidi impact zake ni uchumi kudorora, mfumuko wa bei, huduma za afya na elimu kudorora.

bado tu tuko kimya, jamani nani atusaidie watanzania?

Labda tunamsubiri masia aje kutukomboa wakati mwenyewe anakuambia jisaidie nami nitakusaidia na sijaona hatua tuliyoichukua ya kujisaidia
 
Jamani mbona Tunadanganyana sisi weusi Gordon Brown is no longer British Premier and also he did resigned from a membership to the house of Commons so how comes he's a chairperson at Davos? this is the 5 years old story when Mr. Gordon Brown was Premier of Britain...

KEEP US UPDATE NDUGU YETU...

KIKWETE anakwenda kila mkutano wa Davos...
 
walipotaka kutufundisha kale kamchezo kakamerun tukakataa leo wanatufunza kumtukana rais wetu tuko pamoja nao midanganyika hakunaga

Kila baada ya muda huwa anaibuka mchangiaji mpumbavu sana humu; mtu ambaye mambo yanayohitaji mijadala ya msingi anaingiza akili zake zenye kinyesi. Katika siku za hivi karibuni wewe umekuwa mstari wa mbele kujaza upumbavu wako humu; karibu kila topic unalazimisha kuchangia. Zingatia kwamba mengi ya maandiko yako ni worthless na zaidi ya kupoteza muda wako unatia kinyaa tu kwa watu wenye busara.
 
Duh huyu rais wetu. I am afraid Nyerere mtaji aliotuachia tumeshaula na kuumaliza. Sad but true. Tanzania we have became another banana republic adding on the already growing statistics of poor and irresponsible countries.

We should do something.

Ndivyo tunavyozidi kushuka thamani walianza izraeli wamekuja Uingereza na sasa kuna nchi kibao zitaendelea kujitokeza
 
Mkuu hebu tupe source ya hizi habari nyeti mno toka kwa wenzetu huko Ughaibuni juu ya uongozi wetu wa nchi. Ni madai mazito sana hasa toka kwa huyu Richard Brunswick!!!
 
Mtu yoyote ambaye ameenda shule, hawezi kuwa wazungu worshipper, sasa haya matusi yanayomlenga mkulu na bado anawaendekeza, nina wasiwasi hata pale udsm hakusoma bali alipewa zile degree za shehe yahya. Kwa sabab hata waliopata Hata pass za chuo, wana thinkin capacity kubwa sana. Naomba tuweke cv zake na historia pia isiwe tunaongozwa na mtu ambaye aliiba jina la mtu?
 
Jamani mbona Tunadanganyana sisi weusi Gordon Brown is no longer British Premier and also he did resigned from a membership to the house of Commons so how comes he's a chairperson at Davos? this is the 5 years old story when Mr. Gordon Brown was Premier of Britain...

KEEP US UPDATE NDUGU YETU...

KIKWETE anakwenda kila mkutano wa Davos...

Tumia busara kidogo unaposoma:
1 - Hakuna mahala palipomtambulisha Gordon Brown kama Waziri Mkuu wa Uingereza wala chairperson wa Davos. Habari inasema Brown alikuwa mwenyekiti wa session iliyokuwa inajadili masuala ya Afrika.

2 - Kuwa na wadhifa kwenye mkutano wa Davos si lazima uwe kiongozi wa nchi. Davos huleta pamoja viongozi wa ngazi tofauti wa sasa na wa zamani, wafanyabiashara wakubwa na wakurugenzi wa makampuni makubwa ulimwenguni. Yeyote anaweza kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa session.

3 - Story ni ya leo, soma tena tarehe chini ya jina la Brunswick aliyeandika hizo comments.

Next time jitahidi kupitia details zote kabla hujatoa maoni.
 
Nimesoma comments hapa na kujikuta naona vyema niwashirikishe mjue wazungu wanavyomnanga rais wetu.
read and understood, but the reporter shows full of jealous to the president,his comments is full of provoking we can not buy his ideas.
 
Punguza hasira mkuu na turudi kwenye mada yenyewe; mbona ni comments za kudhalilisha kinyama sana jamani!!!!!!!!!!

Mtu yoyote ambaye ameenda shule, hawezi kuwa wazungu worshipper, sasa haya matusi yanayomlenga mkulu na bado anawaendekeza, nina wasiwasi hata pale udsm hakusoma bali alipewa zile degree za shehe yahya. Kwa sabab hata waliopata Hata pass za chuo, wana thinkin capacity kubwa sana. Naomba tuweke cv zake na historia pia isiwe tunaongozwa na mtu ambaye aliiba jina la mtu?
 
Jamani mbona Tunadanganyana sisi weusi Gordon Brown is no longer British Premier and also he did resigned from a membership to the house of Commons so how comes he's a chairperson at Davos? this is the 5 years old story when Mr. Gordon Brown was Premier of Britain...

KEEP US UPDATE NDUGU YETU...

w2.jpg PICHA HIYO Just Inn Inaongea zaidi ya Maneno.....Wakati mwingine kukubali kukokoselea ndiyo mwanzo wa kuwa mwerevu.

 
Waingereza hawana rafiki wala adui wa kudumu nadhani wameanza chochoko, ndiyo maana walithubutu kutaka Jk ampokee balozi shoga na alipokataa wakaanza kumtengenezea zengwe kwenye jumuia ya kimataifa
 
watanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali

Hayo ndo madhara ya kuendekeza kuwa omba omba kwani hata yeye mwenyewe alisema usipokubali kuliwa huli sasa yeye anataka kusaidiwa bila kusaidia na yeye? Haiwezekani hata kidogo ukisaidiwa na wewe utasaidia japo inakuwa indirect. Pole Jk kwakufanya mambo tangia awali bila kujua madhara yake na umeyajua sasa na ni vigumu kurudi nyuma kubadili makosa ilopo anza sasa kufanya mambo ambayo hayatajenga mazingira ya kukuburuza bali na wewe uwe na maamuzi yako binafsi
 
huu wote ni ukweli, ila wameanza kuusema baada ya kuwabania maombi yao ya ucameron!!
 
Yaliyosemwa ni Ukweli mtupu. Aliyesema ni mlipa kodi wa UK anayeona kodi yake inayokuja huku hakuna sababu! Hi kuwa serikali inadhani ipo kwenye njia sahihi na ikiambiwa inang'ang'ania hivyo ingali inaujua ukweli wa mambo siyo njia sahihi.asome vizuri mwanzo na aliyetoa mawazo ni mtu ambaye ameshafanya kazi hapa TZ, ameona uchungu kwa niaba yetu. Kwa hiyo wachangiaji kuwa ni official press toka UK siyo ni jukwaa kama JF. Kwa hiyo hamna cha UK kutokuwa na shukrani au kutufanya maskini. Kwani ukikopeshwa na benki wewe ukashindwa kutumia huo mkopo na kwenda kutumia kwenye mambo siyo ya maendeleo utailaumu benki ilikupa masharti magumu(riba)? unaenda kuongeza posho za wabunge???
maana unamlipia mtu trip za nje mpaka lini.
Kilichopo kwa sasa n
Ukiangalia sababu zinazotolewa kuwa safari za mheshimiwa zina manufaa wakati watalaamu wa mambo wanapohoji ni AJABU.
Unajisifu kwa kuzunguka kutafuta mikopo? aje alipe nani? yaani muda wako ukiisha basi atakayekuja ataendeshaje nchi?
Kumbukeni Mzee Ben alivyochukua nchi ilikuwa hoi, akajitahidi kuweka mipango madhubuti ya uchumi na maendeleo. lakini sis tunakuwa na akili za kukopa na kutumia hizo hela kwenye vipao mbele ambavyo si muhimu mfano posho za wabunge...hamna aibu nchi nzima inapiga kelele halafu bado hamsikii.

Nadhani tukubali ukweli na kujipanga upya kwa hizo hela za TWIGA basi.

Unajua bado miaka minne, kwa hiyo nadhani tumemaliza kuzunguka kuomba mikopo sehemu zote. sasa unaposema UK hamna uhusiano nzuri eti walitaka kumbuluza rais wetu, kwa nini usiseme wametuchoka kuomba ndiyo maana hatuendi tena huko?

Benki za ndani wamemaliza kukopa kulipia mishahara ya watumishi je huko mbele miaka minne tutakopa wapi? Inabidi tuwarudishe wakina RA



Asanteni
 
Kama ni kweli chaguzi especially ule wa urais huwa wanachakachua, basi wachakachuaji ni wa kupigwa risasi na si eti kuandamana against them or aliyeingia kwa uchakachuaji, kwasababu the next thing wakati wachakachuaji watakuwa kimya, kinachofuatia ni dola kumlinda aliyeingia madarakani kwa uchakachuaji.

Hiyo ni endapo kuna uchakachuaji, kama hakuna, basi watanzania wana deserve walichonacho kwasababu huwezi kupanda boga halafu eti utegemee chungwa, kama walimchagua JK kwa utashi wao, then watavuna walichopanda.
 
Wakoloni hawa badala ya kujadili namna ya kutulipa fidia za ukoloni wanaleta upuuzi
 
Back
Top Bottom