Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,365
- 12,351
Ula unaumia tu Mana kusoma three to 4 years hafu kwenda kutindua ukuta roho inaumaWatu hawajiongezi kabisa, Mimi ni graduate lakini nafanya kazi aiendani na mm kabisa Lakini maisha yakenyooka sana, Vijana tunapenda sana uofisa, Akat watu tunatindua ukuta Zama Darini chimba sana mitaro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Maisha ni elimu tosha
Sent using Jamii Forums mobile app