mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,741
Hiyo unaambiwa not possible kwa kipindi hiki hiyo unayoongelea wewe ilikuwa enzi ya JK huko.
Siku hizi hata kazi ya kujitolea bure hupewi.
Siku hizi hata kazi ya kujitolea bure hupewi.
Halafu graduates inabidi kuomba nafasi za kujitolea kwenye mashirika Napo ukipata chance wanakuwa wanakupa amount kiasi pia unajifunza, Mimi nikianza kwa kujitolea Hadi watu walinishangaa lakini umenisaidia kujifunza mengi na nikapata fursa