Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Unajua wanakwambia mwenye chakula huwa anamuona mwenye njaa kama mpiga kelele......We acha kuongea vitu usivyojua mbona madaktari kibao wako mtaani wanabeba zege
Unajua wanakwambia mwenye chakula huwa anamuona mwenye njaa kama mpiga kelele......We acha kuongea vitu usivyojua mbona madaktari kibao wako mtaani wanabeba zege
Kumbuka hao watu wamekuwa trained kuwa maofisa na ndio maana wanabehave hivyo.....
Unapokuwa trained kama mtu wa aina fulani unategemewa kufanya majukumu ya huyo mtu.....
Huwezi ukasomea degree ya u daktari halafu uje kuwa mkulima au mhasibu. Hiyo ni kupoteza muda na pesa.
Kama tunajua watu wakisoma hawaajiriki then kwann tusiamue tu kusitisha hizo trainings za wasomi wa vyuoni tutumie hiyo pesa kufanyia mitaji ya biashara maana pesa ya miaka mitatu ya tuition fee plus accommodation ni pesa mingi sana.....
No me nasema suluhu ni tuwekewe mfumo wa kulipa kwa lisaa la kuwa productive..... Na kuwe na shifti. Mfano ofisi moja inakuwa na wahasibu wa wili au wanne. Wanafanya kazi kwa hayo masaa yao then habari zingine zinaendelea.Suluhisho la hili tatizo ni ajira za kudumu ziondolewe, mtu aajiriwe kwa miaka 5 tu, baada ya hapo wakajiajiri....nadhani ikiwa hivyo itatatua hii changamoto ya ukosefu wa ajira, pia uchumi utakwenda kwa kasi kwa sababu sekta binafsi zitakuwa nyingi zikiongozwa na wasomi.
ajira nikose hata watoto niwe na wawil? Tajiri na mali zake maskini na watoto wakeWiki ijayo wanamwagika mtaani graduate 100,000 mtaani kuungana na wenzao. Hadi kufikia 2025 barmaid wengi sana watakuwa na degree!
Wenye kazi hasa serikalini ongezeni sana nidham, uajibikaji na ukondoo. Ukianza harakati utafukuzwa tu kama waliotia nia ubunge na udiwani 2020.
Nasikitika sana, wadogo zangu wawili na mke wangu ni graduate wote, lakini hawajawahi hata kuitwa interview popote mwaka wa pili sasa!
Waajiriwa wengi serikalini wamezaliwa mwaka 1980 kuja juu. Tunatarajia wataendelea kwenye utumishi kwa miaka 20 mbele!! Wewe si utakuwa umepoteza sifa ya kuajirika! Wanaajiriwa umri usiozidi miaka 45!!!!
Ambao mnazaa watoto zaeni wachache, mkapa kazaa wawili, mtoto wa mkapa kazaa wawili licha ya utajiri walio nao. Wewe kapuku unazaa utawaajiri?
Nawasihi na kuwaarifu vijana wenzangu kuwa ajira hazipo isipokuwa kwa watoto wao.
Ova
Tutaelewana taratibu taratibu, acha tuoneshane makali.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app




In Dr. Shika's voiceDaktari bingwa sio graduate ila ni post graduate.Sijawahi kusikia daktari bingwa wa upasuaji anakosa kazi; namaanisha tusome vitu au fani ambayo si kila mtu anaweza kufanya
Ila hajaongea kwa ubaya ila wamejipima wakaona uhalisia wa jinsi hali ilivyo mbaya.sijui kama umenielewa
Dhana ya jamaa ni kwamba sisi tuliofeli shule tukaishia form 4 Tukaenda kusoma udereva, Jeshini na veta ndio tunakula maisha.
While yeye kasoma hadi chuo kikuu anasugua gaga
ndio namuuliza kama naona kufeli ni fursa basi hajachelewa anaweza kwenda kusoma udereva, Veta labda Jeshini umri unaweza kuwa umemkimbia
Kuwauza nchi nyingine hilo sahau kabisa.Hii mada ni muhimu sana,na inasikitisha sana,nikisikia vijana wanaambiwa wakitoka vyuoni wakajiajiri,huwa napatwa hasira sana,
Hivi mnajua kwamba,mfano watu waliopo kwenye ajira kuanzia miaka 5,wakiambiwa sasa waache hizo ajira,wengine wachukue na wao waende kitaa "wakajiajiri"asilimia kubwa watachanganyikiwa,full msongo,
Sasa Kama Hawa wanaogopa,kwenda kitaa kujiajiri,maana wanaona Giza Totoro,sembuse madogo waliotoka vyuoni na masalia ya boom kiduchu!!!!!
Hapa serikali na wadau inabidi tuje na mkakati madhubuti wakuwapatia Hawa vijana ajira wanapohitimu,tuzalishe wahitimu wazuri hata tuwauze kwenye mataifa mengine kama India,na Nigeria zinavyofanya,USA,kumejaa ma IT,madokta,wahandisi kutoka,naija na India,mi nafikiri tuige wachina,Malaysia,Philippine,china sasa hv ipo dunia nzima inafanya miradi,
Ebu fikiri,tungekuwa na kandarasi,Rwanda,Burundi,Malawi,Congo,na zote zinaajiri vijana kutoka hapa hm,
Tutafute bidhaa moja,tuiuze dunia nzima,
Kama Samsung kwa Korea,au Tecno kwa mchina,
Au tuajiri kwa rotation kila baada ya miezi 6 wanaingia watu wengine wengine wanaenda likizo ya malipo nusu.Suluhisho la hili tatizo ni ajira za kudumu ziondolewe, mtu aajiriwe kwa miaka 5 tu, baada ya hapo wakajiajiri....nadhani ikiwa hivyo itatatua hii changamoto ya ukosefu wa ajira, pia uchumi utakwenda kwa kasi kwa sababu sekta binafsi zitakuwa nyingi zikiongozwa na wasomi.
Hatua ya kufikia udakatari bingwa ni investment ya almost 100 millions anapata wapi hii pesa ?Hao sio mabingwa; akiwa bingwa tu hiyo tayari ni ajira tosha ulimwengu wowote unamchukua
Hata mimi nimecheka sana nimeikumbuka ile sauti yake iliyojaa overconfidence,usoni very serious.![]()



wee acha tyuuuhKama kipaji kipo,wawekezaji watapatikanaHatua ya kufikia udakatari bingwa ni investment ya almost 100 millions anapata wapi hii pesa ?
ajira nikose hata watoto niwe na wawil? Tajiri na mali zake maskini na watoto wake
Hapo utatafuta ugomvi na watuAu tuajiri kwa rotation kila baada ya miezi 6 wanaingia watu wengine wengine wanaenda likizo ya malipo nusu.
Badala ya watu kukaa mwaka mzima kazini wakichati maofisini huku wengine wakisota mtaani.
Kama kipaji kipo,wawekezaji wapoDaktari bingwa sio graduate ila ni post graduate.
Na si kila mtu anamudu kwenda kusoma post graduate.
Kama kipaji kipo,wawekezaji wapo
Unaingia mkataba na hapo ulipojishikiza,mfano mtaalamu wa meno anaweza kuingia mkataba na mwenye mtaji wakafungua kituo na pesa wakapataHao wawekezaji ni nani?
Hizo ni theories mkuu ukianza kuwatafuta ndio utajua ilivyo ngumu.Unaingia mkataba na hapo ulipojishikiza,mfano mtaalamu wa meno anaweza kuingia mkataba na mwenye mtaji wakafungua kituo na pesa wakapata
Si kweli mkuu, fungua uzi ili upate ukweli...'wale wote mabingwa katika idara ya afya na hawana ajira wanyooshe mikono juu',wale wenye ujuzi uliotukuka wako mzigoni iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri. wale waliofuata vyeti ndio wako nje ya ulingoHizo ni theories mkuu ukianza kuwatafuta ndio utajua ilivyo ngumu.