OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Wengi tumenyimwa nafasi mkuu.Wale walionyimwa nafasi wanatakiwa waje hapa watoe ushuhuda,ni wapi walienda na kwa nini walinyimwa nafasi; wengine wamehitimu ila kujieleza ni tatizo pia
Wengi tumenyimwa nafasi mkuu.Wale walionyimwa nafasi wanatakiwa waje hapa watoe ushuhuda,ni wapi walienda na kwa nini walinyimwa nafasi; wengine wamehitimu ila kujieleza ni tatizo pia
Nitajie majawapo nitaendaNafahamu kuna maeneo mengi sana,watu wa kujitolea wa afya wanahitajika; ila wahitimu wanabagua
Nina 2 year sasa mtaani mashairi ya D-knob ELIMU MTAANI NAYAJUA Verse zote! Karbun fellow graduates wale waliosema mkimaliza nichek sasa watakuja na excuses kibao kuwa-soundisha tukutaneni October!Graduates wa next week wenye iphone 7 plus na PC ya apple mnawaelewa kaka zenu? Karibuni mtaani
Weka cheti chako hapa,uelekezwe kwenda kujitoleaNitajie majawapo nitaenda
Fani gani?Wengi tumenyimwa nafasi mkuu.
Kama kivitendo uko-fit ajira zipo nyingi sanaTuseme wanaograduate wote wamesoma udakatari wataajiriwa wote?
Ujajibu swali umekimbiakimbia.Kama kivitendo uko-fit ajira zipo nyingi sana
Mkuu nipe connectionWeka cheti chako hapa,uelekezwe kwenda kujitolea
Kivitendo kivipi? Kama wote wamesoma udaktari wote wataajiriwa?Kama kivitendo uko-fit ajira zipo nyingi sana
Wengi ni blaa blaa tu mkuuUjajibu swali umekimbiakimbia.
Medical Doctor MUHASFani gani?
Wengi ni blaa blaa tu mkuu
Kama ni kujitolea kwa nini umeweka 150K? Tuthibitishie kama ukiajiriwa,watoto wetu wote watapata A kwenye somo lako katika mtihani wa taifa.Shule ya kujitolea itayonipa 150K kwa mwezi nipo hapa.
Umezunguka zahanati ngapi,mpaka sasa hivi wakakunyima kazi za kujitolea?Medical Doctor MUHAS
Hapo kwa madriver kaonesha tu elimu yake mgando na wivuUnaonekana una kaujinga fulani kichwani kwako lakini unakaficha kwa elimu yako ndogo
Kwani Ukimaliza Form4 Unashikiwa viboko kwenda form 5 kwann usiende udereva na ww, kwanini usiombe jeshi, Kwa nini usiende kusoma ufundi stadi Veta, kwanini usiwe mjasiliamali
Wewe uliona fursa ipo kwenda kusom Form 5 ukafika hadi chuo kikuu? Endelea na elimu maana naona kila mkipass mitihani mnaenda level ingine, Msiwe mnakwamia Degree , endeleeni hadi masters na huko mbele
Kila mtu anachagua maisha yake yaweje

Vipi unahitaji tuandamane auGraduates wenyewe hawajitambui, wao wangeweza kuungana na kuleta mabadiliko katika nyanja zote za kijamii, siasa na uchumi!
Wakiendelea hivi hakuna atayewaona wala kusikia vilio vya mmoja mmoja!
Utafanyaje,ufaulu wa vijana wetu uwe mzuri?Bado unakimbiakimbia tu.
Hapo kwa madriver kaonesha tu elimu yake mgando na wivu![]()
Yule DrKingekuwa ni kitu cha kawaida wangefanya bila shida.
Hapo unachoshauri ni kama kuwashauri watoto walioachiwa urithi na wazazi wao kuwa wapambane na hali ngumu ya maisha bila kutumia hata chembe ya mali za wazazi wao.
Hii ni kitu mbaya sana kwa future generations. Hii inchi tunakusanya kodi, tuna madini na rasilimali mtaji za kutuwezesha kufufua taasisi na kuajiri vijana wengi na kuwalipa mishahara. Ni aibu sana kwa serikali kutoa matamko ya kuwataka vijana kujiajiri ile hali wao wenyewe hawajapitia hiyo zahma ya kujiajiri.
Ni mtu asie na akili tu ndie ataefikiria hivyo....