Wahitimu wa vyuo waokolewe

Wahitimu wa vyuo waokolewe

Anzia zahanati,ukikosa toka uende nje ya mji au wilayani
Naamini kutokuwa na pesa inachangia wengi kutokupata kazi ukipigia ufikie zahanati au shule 2 tu unaona unahita mauri ndefu sometime mfukoni peupe au unapesa ya chai.

Mfano naamini kwa mwalimu aamue kweli kwenda shule zinazozunguka Dar zote hakosi sehemu ila kufanya mzunguko huo anahitaji pesa ndefu.
 
Naamini kutokuwa na pesa inachangia wengi kutokupata kazi ukipigia ufikie zahanati au shule 2 tu unaona unahita mauri ndefu sometime mfukoni peupe au unapesa ya chai.

Mfano naamini kwa mwalimu aamue kweli kwenda shule zinazozunguka Dar zote hakosi sehemu ila kufanya mzunguko huo anahitaji pesa ndefu.
Dar pako full, nendeni mikoani ndipo fursa zilipo
 
Unaonekana una kaujinga fulani kichwani kwako lakini unakaficha kwa elimu yako ndogo

Kwani Ukimaliza Form4 Unashikiwa viboko kwenda form 5 kwann usiende udereva na ww, kwanini usiombe jeshi, Kwa nini usiende kusoma ufundi stadi Veta, kwanini usiwe mjasiliamali

Wewe uliona fursa ipo kwenda kusom Form 5 ukafika hadi chuo kikuu? Endelea na elimu maana naona kila mkipass mitihani mnaenda level ingine, Msiwe mnakwamia Degree , endeleeni hadi masters na huko mbele

Kila mtu anachagua maisha yake yaweje
Nimechekaa sanaaa
 
When you increase supply you decrease value! Unapozalisha na kuingiza sokoni kwa wingi bidhaa unashusha thamani! Vyuo vya kuzalisha graduates kwa wingi vimeanzishwa matokeo yake thamani ya digrii imeporomoka kama sarafu ya Zimbabwe! Ndiyo maana waarabu huwa wanaungana kudhibiti mauzo ya mafuta ili kulinda thamani ya mafuta isishuke. Wangebaki na vyuo vichache vya digrii na vya diploma na vyeti. Uongezaji vyuo ungeendana na ongezeko la nafasi za ajira
 
Unaonekana una kaujinga fulani kichwani kwako lakini unakaficha kwa elimu yako ndogo

Kwani Ukimaliza Form4 Unashikiwa viboko kwenda form 5 kwann usiende udereva na ww, kwanini usiombe jeshi, Kwa nini usiende kusoma ufundi stadi Veta, kwanini usiwe mjasiliamali

Wewe uliona fursa ipo kwenda kusom Form 5 ukafika hadi chuo kikuu? Endelea na elimu maana naona kila mkipass mitihani mnaenda level ingine, Msiwe mnakwamia Degree , endeleeni hadi masters na huko mbele

Kila mtu anachagua maisha yake yaweje
Kwani wewe ni form 4? Maana sio kwa povu hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi ulinyimwa nafasi ya kujitolea mkuu,na una fani gani?
Wewe jamaa ni zaidi ya zero brain siku hizi ni vigumu sana taasisi za umma hata binafsi kupokea mtu bila kuwa anaekufahamu hapo wanabana sana wanataka wanaopitia TaESa na hao mkataba wao ni mwaka mmoja then unarudi kitaa kupambana na hali yako.

Acha kuchosha watu kwa kubisha usichokijua
 
Halafu graduates inabidi kuomba nafasi za kujitolea kwenye mashirika Napo ukipata chance wanakuwa wanakupa amount kiasi pia unajifunza, Mimi nikianza kwa kujitolea Hadi watu walinishangaa lakini umenisaidia kujifunza mengi na nikapata fursa
 
Baada ya Jakaya hatujapata kiongozi anaeangalia maendeleo ya watu ni full madaraja,ndege,n.k assume angechukua nusu ya pesa hizo akaziwekeza kwenye sekta binafsi vijana tusingekuwa na shida hizi;hata kutengeneza Sera za kulinda mitaji ya vijana kama exemption from tax angalau kwa miaka miwili aanzishe biashara viongozi wako kwaajiri ya nafsi zao
 
Back
Top Bottom