Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Mmmmmmhmn unajua ukishapiga degree akili yako inakuwa kama imefungwa unashindwa kufanya maamuzi ya kufanya kazi zingine nje ya taaluma.
Hii kiukweli msiwalaumu hawa wahitimu wa chuo. Kusoma masomo miaka mitatu ni kuwa programed kiakili kufanya hilo jambo. Hivyo mtihani wa kufanya jambo jingine ni mgumu sana kwa hawa raia.....
Watu hawajiongezi kabisa, Mimi ni graduate lakini nafanya kazi aiendani na mm kabisa Lakini maisha yakenyooka sana, Vijana tunapenda sana uofisa, Akat watu tunatindua ukuta Zama Darini chimba sana mitaro






Maisha ni elimu tosha