Wahitimu wa vyuo waokolewe

Wahitimu wa vyuo waokolewe

Serikali kuwapa kiinua mgongoa pale tu wanapoingia mtaani let say 500K kila mhitimu call it Going Boom.

Wahitimu kupambana kwa njia yoyote ile.
Ni ngumu hiyo kufanyika,kwa hali halisi ni muhitimu kupambana anavyoweza ili aweze kutimiza ndoto zake,iwe kwa kuajiriwa,kujitolea au kujiajiri.
 
Nawashukuru wazazi wangu kwa kunipigania kuufuta ujinga kichwani,vinginevyo ningekuwa pimbi kama wewe wa kolomije.
Kama waliweza kuutoa ujinga wako,ni jukumu lako kujiendeleza kama una IQ kubwa lakini. Kuna raha sana jina lako likianza na Dr/Prof; sio jina ulilozaliwanalo ndilo unakufa nalo.
 
Kama waliweza kuutoa ujinga wako,ni jukumu lako kujiendeleza kama una IQ kubwa lakini. Kuna raha sana jina lako likianza na Dr/Prof; sio jina ulilozaliwanalo ndilo unakufa nalo.
Duh kweli nimeamini watanzania ni washamba/walimbukeni.
Wenzako katika nchi walizosoma,wakaelewa masomo(sio kukariri makaratasi) na kuelimika huwa hawana time na hayo majina bali wataonesha output kwa jamii.
Wewe tangu usome jalalani umeleta impact gani kwa jamii?
 
Duh kweli nimeamini watanzania ni washamba/walimbukeni.
Wenzako katika nchi walizosoma,wakaelewa masomo(sio kukariri makaratasi) na kuelimika huwa hawana time na hayo majina bali wataonesha output kwa jamii.
Wewe tangu usome jalalani umeleta impact gani kwa jamii?
Kubwa sana mkuu,hasa kwenye 'knowledge' vitabu unavyosoma vyuoni vimeandikwa na hao mabingwa wenye hizo 'title'; taaluma ziheshimiwe tu. Haziko sawa na biashara za kichuuzi mkuu
 
Kwa hiyo lengo la kusoma ni kuandika vitabu?kadai ada zako mkuu hizo hela bora ufugie kuku
Kubwa sana mkuu,hasa kwenye 'knowledge' vitabu unavyosoma vyuoni vimeandikwa na hao mabingwa wenye hizo 'title'; taaluma ziheshimiwe tu. Haziko sawa na biashara za kichuuzi mkuu
 
Kwa hiyo lengo la kusoma ni kuandika vitabu?kadai ada zako mkuu hizo hela bora ufugie kuku
Sasa vitabu visipoandikwa mkuu,huko mashuleni na vyuoni mtaenda kujifunza kwa kutumia nini?Kuimba ngonjera au? Taaluma itabaki kuwa taaluma tu
 
Sasa wasomi wote wakiwa kazi yao kuandika vitabu halafu mwisho wake nini?Kwa nini hiyo kazi ya kuandika vitabu asiifanye mtu mmoja tu na wengine mfanye ubunifu mwingine?
Sasa vitabu visipoandikwa mkuu,huko mashuleni na vyuoni mtaenda kujifunza kwa kutumia nini?Kuimba ngonjera au? Taaluma itabaki kuwa taaluma tu
 
Sasa wasomi wote wakiwa kazi yao kuandika vitabu halafu mwisho wake nini?Kwa nini hiyo kazi ya kuandika vitabu asiifanye mtu mmoja tu na wengine mfanye ubunifu mwingine?
Kada ya taaluma ni tofauti na kada zingine,hakuna ile kitu ya kusema ndio mzee,tafiti unai-challenge na tafiti nyingine,ndio maana kunakuwa na matoleo mbali mbali ya vitabu vya aina moja kutokana na kuongezeka kwa maarifa kutoka sehemu mbalimbali.
 
wewe ni mwalimu?
Kada ya taaluma ni tofauti na kada zingine,hakuna ile kitu ya kusema ndio mzee,tafiti unai-challenge na tafiti nyingine,ndio maana kunakuwa na matoleo mbali mbali ya vitabu vya aina moja kutokana na kuongezeka kwa maarifa kutoka sehemu mbalimbali.
 
unapoteza hela zako tu bure.
Kwenye nyanja hiyo darasa la saba wanafanya vema kuliko waliosomea,wewe utaishia kuwa motivation speaker tu.
Halafu watu wa darasa la 7 kama akina abood wataendelea kumiliki viwanda
Kila idara unatakiwa uwe fit
 
unapoteza hela zako tu bure.
Kwenye nyanja hiyo darasa la saba wanafanya vema kuliko waliosomea,wewe utaishia kuwa motivation speaker tu.
Halafu watu wa darasa la 7 kama akina abood wataendelea kumiliki viwanda
Huwa ni hobi tu mkuu, ni sawa na mwingine kupenda kuvaa jinsi na mwingine kupenda kuvaa suti
 
Back
Top Bottom