Wahariri wa Magazeti ya Musiba wasema Musiba ni mhuni

Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu...
Simpendi Cyprian Musiba ila nitamuona Mpumbavu zaidi kama akiwalipa kwani kwa aina ya Uchochezi walioufanya dhidi ya Watu wasiokuwa na Hatia nchini huku akiwachonganisha na iliyokuwa Serikali ya Hayati Rais Dkt. Magufuli Mshahara pekee unaowafaa hawa Wahariri ni Kutolipwa kabisa, Njaa iwapate na ikiwezekana wapotee kabisa duniani au waanze kuwa Mashoga ( Mabwabwa ) hapa mjini.
 
Kwani si ndo hawa hawa waliokuwa wanaandika upuuzi kipindi kile cha bosi wao anatamba...halafu wanataka tuwaonee huruma wakufe njaa tu,shubamit
 
Baada ya utawala wa sheria kurudi kwa kiasi fulani huyu jamaa/Musiba nae anapotea na kupoteza kwa kasi ya mwanga! 😬😬

Magazeti yake yalikuwa yakivunja sheria waziwazi lakini serikali ya mwendazak e iliyokuwepo madarakani wakati huo ilikuwa ya kihuni na ya ujanjaujanja hivyo serikali hiyo ikawa inampa baraka zote kuendelea kuvunja sheria.

Wakati huu sasa uhuni ule umekoma kitu ambacho kinamfanya ashindwe kuendeleza vigazeti vyake uchwara.

Ameshindwa kuwalipa wafanyakazi hivyo lazima wampandishe kizimbani
👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Wafanyakazi wa Kampuni ya CZI inayochapisha magazeti ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania Perspective wanakusudia kuwafikisha mahakamani mkurugenzi wa kampuni hiyo, Cyprian Musiba na wenzake kwa kutowalipa mishahara kwa miezi mitatu sasa (Aprili, Mei na Juni).

FB_IMG_16259264043030610.jpg
 
Baada ya utawala wa sheria kurudi kwa kiasi fulani huyu jamaa/Musiba nae anapotea na kupoteza kwa kasi ya mwanga!

Magazeti yake yalikuwa yakivunja sheria waziwazi lakini serikali ya mwendazak e iliyokuwepo madarakani wakati huo ilikuwa ya kihuni na ya ujanjaujanja hivyo serikali hiyo ikawa inampa baraka zote kuendelea kuvunja sheria..
Kumbe alikuwa anabebwa?

Hatari sana hii
 
Baada ya utawala wa sheria kurudi kwa kiasi fulani huyu jamaa/Musiba nae anapotea na kupoteza kwa kasi ya mwanga! 😬😬

Magazeti yake yalikuwa yakivunja sheria waziwazi lakini serikali ya mwendazak e iliyokuwepo madarakani wakati huo ilikuwa ya kihuni na ya ujanjaujanja hivyo serikali hiyo ikawa inampa baraka zote kuendelea kuvunja sheria...
Bado mashaka ni mengi, katiba mpya ingepatikana tungeamini uwepo wa utawala wa sheria.
 
nina wasiwasi matawala aliyepita alikuwa anatumia kampuni inayomiliki hayo magazeti kutakatisha fedha.

wasiwasi unakuja kwasababu sidhani kama yalikuwa yananunulika mtaani.
Jiwe alikuwa hana haja ya kutakatisha fedha kwa kutumia kijarida uchwara..His main objective with this kijarida uchwara was to cook propagandas..so he has to finance it..
 
Hao wahariri wakienda mahakamani wakamatwe kwanza wajielezee kwanini walikuwa wanahariri taarifa za uongo na kihuni
 
Wanamuongelea nani hao wahariri?Yule jamaa mwenye mdomo kama chuchunge?They have to rest in eternal hell!Waliyoyaandika ndiyo malipo yao.They've to kiss chuchunge azzzz!😝😝😝😝😝
 
Daah magazeti ya Musiba yalikuwa na Wahiriri kwa maana halisi ya Jina hilo? Mbona Magazeti husika yalikuwa yanajaa upupu tu
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu...
Hivi huyo jamaa anaundugu na yule dogo wa kidimbwi Patrick Cyprian?
 
Back
Top Bottom