Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

mimi nakumbuka tulivyokuwa wadogo
mna arrange na mdingi 'mtoke out after lunch siku za sikukuu'
wakisha kuja wageni ndo imetoka hiyo lol
ni home na kuzurura around the neighbourhood tu....
wageni wa ghafla wanaharibu mipangilio mingi tu...

Dah! nadhani ulikuwa unanuna kupita kiasi hahahahah lol! Sikukuu ndio imeshaharibika.
 
Kwanza tabia ya kwenda kushinda kwa watu ni mbaya kweli! Walau mtembeleane kwa 3hrs afu watu waondoke,unless mko close kweli!
Mie nikijiwa na wageni wavamizi inategemea kama nataka kuwa na muda nao,otherwise nawadanganya tuna mualiko very important, na kuwapa muda wa like 1 hrs. Aisee ukiwa hauko kwenye mood ya ku-entertain don't act up! Unless ni mgeni kutoka 1000 kms away na hakua na simu yangu!otherwise sie twajiandaa tutoke or else kama wanafaa kuwaachia nyumba poa.

Kumbe ndivyo unavyofanya eh? Next time nikija halafu ukadanganya hivyo nitakujibu poa hamna noma niachie tuu funguo, ukirudi utanikuta. Kwishaney.
 
Hapana, kwangu information is paramount and that's why I said 'at least'. Just inform me beforehand that you are going to visit me and I'm good even if you don't bring anything.

Sasa unakuja bila taarifa ukinikuta sipo nyumbani je? Utanisubiri hadi nirudi huku hujui nitarudi saa ngapi? Kuna faida nyingi sana unapomtaarifu mtu kuwa utamtembelea. And it is not that hard! Or is it?

Na wa aina hii vipi?

 
Last edited by a moderator:
BAK, mimi naona ni ustaarabu pale ambapo mtu anakutaarifu beforehand kuwa atakuja kukutembelea. Na katika hizi zama za simu za mkononi hakuna sababu yoyote ile kwa nini mtu asikutaarifu mapema kuwa atakuwa mgeni wako.

Kutaarifu mapema kunampa mtu/ mwenyeji fursa ya kujipanga. Mimi sipendi kabisa kuvurugiwa bajeti zangu.

Ukichukulia ujio wa wageni kama jambo la ajabu na kwamba mgeni itabidi ahadithie kila atokapo nyumbani kwako, siku zote utachukia wageni maana utaona wanakutia hasara. Be simple. Mgeni atapewa maji kama yapo kwenye fridge na kama hayapo nakausha. Wageni wengine wala hawana shida ya vitu vyako ili mradi wamekukuta mzima kwao inatosha.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mimi nakumbuka tulivyokuwa wadogo
mna arrange na mdingi 'mtoke out after lunch siku za sikukuu'
wakisha kuja wageni ndo imetoka hiyo lol
ni home na kuzurura around the neighbourhood tu....
wageni wa ghafla wanaharibu mipangilio mingi tu...

Asee kwetu ilikuwa tofauti kabisa. Siku ya sikukuu kama humjatembelewa na mgeni, then mtakuwa mna matatizo.
 
asee kwetu ilikuwa tofauti kabisa. Siku ya sikukuu kama humjatembelewa na mgeni, then mtakuwa mna matatizo.

na kwetu hivyo hivyo
but siku nyingine unategemea wageni baada ya 'lunch' wanapungua..
But wengine hawaondoki...lol
 
na kwetu hivyo hivyo
but siku nyingine unategemea wageni baada ya 'lunch' wanapungua..
But wengine hawaondoki...lol

Wakati nasoma nje nilikuwa nawaambia marafiki zangu wa kizungu kuwa they can pop in whenever they want. Still wakawa wananitaarifu kabla ya kuja. Nikawakoromea kuwa they don't need to do that. They can come over anytime they want. Kama nipo nitawafungulia mlango. Kama sipo no body will open the door for them though I might be in next door and willing to come over and open the door for them.

Walishangaa sana but told them huyo ni utamaduni wa jamii ninayotoka kwamba we value community rights more than individual rights. Initially, they found it very odd, lakini nilipowazoesha waliupenda huu utamaduni. So, wakiboreka kwao, they would come over hata kama nipo busy, they would do their own things and leave me alone till I finish.

Lakini Bongo maisha ya siku hizi yamebadilika sana. People are more individualistic than before on the basis that maisha yamekuwa magumu, privacy, kuwa busy nk. Lakini lini maisha Bongo yalishawahi kuwa rahisi? Na tunakoelekea they never be easy. Nina wasiwasi kama mambo yataendelea hivi, nasi tutakuwa tunapeleka wazazi wetu care homes wakatunzwe huko kwa sababu hizo hizo.
 
Wakati nasoma nje nilikuwa nawaambia marafiki zangu wa kizungu kuwa they can pop in whenever they want. Still wakawa wananitaarifu kabla ya kuja. Nikawakoromea kuwa they don't need to do that. They can come over anytime they want. Kama nipo nitawafungulia mlango. Kama sipo no body will open the door for them though I might be in next door and willing to come over and open the door for them.

Walishangaa sana but told them huyo ni utamaduni wa jamii ninayotoka kwamba we value community rights more than individual rights. Initially, they found it very odd, lakini nilipowazoesha waliupenda huu utamaduni. So, wakiboreka kwao, they would come over hata kama nipo busy, they would do their own things and leave me alone till I finish.

Lakini Bongo maisha ya siku hizi yamebadilika sana. People are more individualistic than before on the basis that maisha yamekuwa magumu, privacy, kuwa busy nk. Lakini lini maisha Bongo yalishawahi kuwa rahisi? Na tunakoelekea they never be easy. Nina wasiwasi kama mambo yataendelea hivi, nasi tutakuwa tunapeleka wazazi wetu care homes wakatunzwe huko kwa sababu hizo hizo.

Very good observation aisee
 
  • Thanks
Reactions: EMT
RR kuna makabila huwa sijui ni utamaduni wao akikutembelea haji mikono mitupu regardless wewe ni tajiri kiasi gani. Wengine wanafungasha mpaka unamwuliza kulikuwa na haja gani ya kuleta vitu vyote hivi. Wengine ni wajanja wanakusoma mapema wanakuja na vitu ile roho inapenda. Wakati anaondoka utatamani kuwmuliza lini utakuja kututembelea tena? Mgeni njoo mwenyeji apone. lol
Yeah, I know that. Ila wenzetu hapa (hasa NN) wanasema tatizo sio zawadi au mchango wake, tatizo ni ile surprise. Ila naona umesema neno muhimu sana. Katika utamaduni wetu (wakiafrika tuseme) community ni muhimu kuliko individuals, hivo mtu unatakiwa ukubali kukonda kidogo kwa kuiridhisha jamii sababu yuko part ya hiyo jamii pia.
 
Yeah, I know that. Ila wenzetu hapa (hasa NN) wanasema tatizo sio zawadi au mchango wake, tatito ni ile surprise. Ila naona umesema neno muhimu sana. Katika utamaduni wetu (wakiafrika tuseme) community ni muhimu kuliko individuals, hivo mtu unatakiwa ukubali kukonda kidogo kwa kuiridhisha jamii sabau uko part ya hiyo jamii pia.

RR kama hao wageni ni wa mara moja moja sana hakuna ubaya, lakini ukiwakirimu vizuri wakirudi walikotoka wanaenda kuhadithia kwamba tulienda kwa fulani alitupokea vizuri sana yaani ilikuwa raha kupita kiasi. "Ndugu" wengine wakisikia sifa kama hizi basi na wao, bila taarifa, wanazuka tu. Sasa watu kama hawa ukiwaendekeza basi hutayafikia malengo yako labda kama uwe nazo kama yule Rostam lakini pia kuna mambo pia ya privacy ambayo wageni wanapokuwa wengi tena wa mara kwa mara hata nyumba yako unaweza kuichukia.
 
Inategemea. Kwa tamaduni za West and wale wanaozifuata sio ustaarabu kumtembelea mtu even your next door neighbor bila taarifa. Labda ndio maana unakuta mtu amefia na kuozea nyumbani na hakuna anayejua even after a month?

Hiyo ya kufia na kuozea nyumbani mara nyingi huwakuta watu wasio na uhusiano mzuri na ndugu zao au/na marafiki zao. Watu wenye uhusiano mzuri na wenzao walau huwasiliana kwa simu. Iwe kwa kupigiana au kwa jumbe fupi fupi za kimaandishi. Na ndiyo maana kuna kitu kinaitwa 'welfare check" (hasa kwa Marekani).

Ukiwa na rafiki au ndugu na hujamsikia kwa siku kadhaa na si kawaida yake kukaa kimya unatoa taarifa polisi na kuwaomba wafanye welfare check. Sasa mara nyingi wanaofia ndani na kukaa kwa muda mrefu hao ni wale 'loners' au 'anti-socials'. Hawa hata kwenye jamii zetu za Kiafrika tunao.

Lakini kwa jamii nyingi za Kiafrika na hasa vijijini hawana utamaduni wa kutoa taarifa kabla ya kumtembelea mtu. Wanaishi as a community, not individually. It is simply their culture that "nyumbani kwangu ni kwako" so hakuna haja ya kutoa taarifa kabla ya kwenda "nyumbani" kwako. Sidhani kama kufanya hivyo ni kukosa ustaarabu.

Kwako inaweza iwe ustaarabu lakini kwangu bado si ustaarabu. Ni tofauti ya kimtazamo tu. Kwa mfano, kuna watu ambao hawaoni tabu kujamba sehemu yoyote ile. Wao wakijisikia tu wanaachia. Sasa wengine wanaweza kuwaona watu hao kama hawana ustaarabu lakini wao hao wajambaji wanaona kujamba popote pale ni jambo la asili tu na hivyo halina ubaya kwani kila mtu hujamba na kama ni hivyo kwa nini mtu ujifiche fiche.

Sidhani kama nitakuwa mstaarabu zaidi kama nikimtaarifu babu yangu kijijini kuwa nakuja kumtembelea siku fulani. In fact anaweza kunishangaa. Hata kama nikimkosa atakuwa ameacha ufunguo wa nyumba kwa jirani. Na hata kama alisahau kuacha ufunguo nitajibanza kwa jirani yake mpaka arudi.

Kama babu yako hana tatizo na wewe huoni ubaya, basi hamna neno. Mimi siwezi na sina mazoea ya kwenda kwa watu bila kuwaarifu unless kuna dharura. Lakini kwenda tu hivi hivi hapana. Na kwangu napenda iwe vivyo hivyo. Mtu asiibuke tu bila taarifa unless ni dharura. Akiibuka bila taarifa nitam-mind.

Sidhani kama jirani zake wataniacha nirudi nilikotoka simply because hayupo. Kwao huo utakuwa sio ustaarabu.

More power to them!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Yeah, I know that. Ila wenzetu hapa (hasa NN) wanasema tatizo sio zawadi au mchango wake, tatito ni ile surprise. Ila naona umesema neno muhimu sana. Katika utamaduni wetu (wakiafrika tuseme) community ni muhimu kuliko individuals, hivo mtu unatakiwa ukubali kukonda kidogo kwa kuiridhisha jamii sabau uko part ya hiyo jamii pia.

Wewe uko upande upi? B'se juzi uliniuliza in advance if you could PM me. Kungekuwa na ubaya wowote kama ungeni-PM bila kuuliza kwanza? Au dio ustaarabu wenyewe? lol
 

RR kama hao wageni ni wa mara moja moja sana hakuna ubaya, lakini ukiwakirimu vizuri wakirudi walikotoka wanaenda kuhadithia kwamba tulienda kwa fulani alitupokea vizuri sana yaani ilikuwa raha kupita kiasi. "Ndugu" wengine wakisikia sifa kama hizi basi na wao, bila taarifa, wanazuka tu. Sasa watu kama hawa ukiwaendekeza basi hutayafikia malengo yako labda kama uwe nazo kama yule Rostam lakini pia kuna mambo pia ya privacy ambayo wageni wanapokuwa wengi tena wa mara kwa mara hata nyumba yako unaweza kuichukia.

iS THIS BUBU?...Anyways me personally ihat wageni wanaokuja bila taarifa....just fyo mtu akija kwangu bula kunitaarifu sifungui mlango...utagonga mpaka uchanganyikiwe na simu utapiga kusema upo nje sipokei...thats just me....There is time mtu anahitaji qulaity time alone.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
iS THIS BUBU?...Anyways me personally ihat wageni wanaokuja bila taarifa....just fyo mtu akija kwangu bula kunitaarifu sifungui mlango...utagonga mpaka uchanganyikiwe na simu utapiga kusema upo nje sipokei...thats just me....There is time mtu anahitaji qulaity time alone.....


....Yes dear....ataka kusema mambo yanapomzidia 🙂🙂
 
Ukichukulia ujio wa wageni kama jambo la ajabu na kwamba mgeni itabidi ahadithie kila atokapo nyumbani kwako, siku zote utachukia wageni maana utaona wanakutia hasara. Be simple. Mgeni atapewa maji kama yapo kwenye fridge na kama hayapo nakausha. Wageni wengine wala hawana shida ya vitu vyako ili mradi wamekukuta mzima kwao inatosha.

Sichukii wageni. Sipendi watu wanaokuja tu bila taarifa. Kuna ugumu gani kumpa taarifa yule unayetaka kumtembelea? Kuna ubaya gani kumpa taarifa yule unayetaka kumtembelea?
 
Ipi hiyo? 🙂...If you would not mind...umepotea sana siku hizi.


Hahahaha nipo ndugu yangu...Busy nafikuza benjamins...Longtime m2wangu...anyways nimeiona leo katika matembezi yangu kenye kijiwe fulani...check u r inbox mwanawane....
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom