EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,356
Boss, kwangu mimi wageni wanakaribishwa anytime. Wakija kwangu na kama nina muda wa kuwaentertain nitafanya hivyo. Kiafrika naona ni poa. Wageni ni baraka. Mgeni awezakuwa malaika. Kwa ughaibuni ndio sitaki mtu aje kwangu bila taarifa. Ila nikiwa bongo, wageni karibuni sana anytime mnipe baraka zenu.
Shukran
Kwa hiyo hutaki baraka ughaibuni?