The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?
MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.
UZOEFU NA KAZI (nyongeza)
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.
Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja
MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi
MUDA WA KAZI :
J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku
J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku
NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.
UDHAMINI :
Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3
1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.
PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.
Asanteni.
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?
MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.
UZOEFU NA KAZI (nyongeza)
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.
Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja
MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi
MUDA WA KAZI :
J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku
J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku
NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.
UDHAMINI :
Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3
1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.
PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.
Asanteni.