DOKEZO Maafisa wa TRA, TAA, Airport Cargo jijini Dar na rushwa ndogondogo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna baadhi ya Maafisa wa TRA, TAA upande wa Airport Export wanasumbua wateja.

Bila ya kuwatoa hupati release ya mzigo wako na watu wale Security wa TAA ndo kabisa usipowapa hela wanaweza ficha hata document zako zisiondoke na mzigo.

Bila kuwa na Elfu 50 mpaka 70 kwa shipment moja huwezi kupata msaada wa haraka na hiyo hela lazima uitoe maana usipoitoa ujue kazi yako italala au watafanya taratibu ili uchelewe ndege na mzigo wako ubaki.

Especially kwa mizigo ya perishable kama Nyama, Matunda na Mbogamboga.

Mamlaka husika zifanye kuweka kambi zitabaini jinsi rushwa ilivyoshamiri Airport Dar.
 
Tatizo la Rushwa litaendelea kuwepo today on , ikiwa Kama serikali haitowafundisha watu how to be satisfied with what they earning .

Ukiangalia watu hula rushwa na sio ili walete positive outcome Kwa jamii Ila ili waonekane wapo na maisha mazuri tu.


Before you doing damn shit ,take time to think deeply on other side of coin kuhusu madhara ambayo Jamii ityapata Kwa wewe kukosa kuwa mwadilifu.
 
Mla rushwa ni kama malaya, hata umwekee bunduki atakula tu. Shida bongo hakuna uwajibikaji. Unadhani mtu angekua anakuchelewesha unampeleka kwenye mamlaka anakulipa ingekuaje??
 
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana wanachukua rushwa hadi kwa mizigo ambayo inatoka Nje ya Nchi ambayo itatuletea usd za kutosha ajabu sana aisee wakati Nchi nyingi ukitaka kutoa mzigo wanafurahi utahudumiwa kama vile unawalipa kumbe ni bure tu...
 
imefika hatua Rushwa imekua Kama Haki ya mtu, kila sekta rushwa imekuwa ni kipengele cha lazima ili upate huduma, Tatizo limekua kubwa sana, inabidi tuchukue hatua
 
imefika hatua Rushwa imekua Kama Haki ya mtu, kila sekta rushwa imekuwa ni kipengele cha lazima ili upate huduma, Tatizo limekua kubwa sana, inabidi tuchukue hatua
Nani wa kuchukua hatua kwa unavyojua serikali yetu ilivyo
 
imefika hatua Rushwa imekua Kama Haki ya mtu, kila sekta rushwa imekuwa ni kipengele cha lazima ili upate huduma, Tatizo limekua kubwa sana, inabidi tuchukue hatua
Unatengenezewa tatizo ili uhonge litatuliwe.
 
Rushwa imekuwa kama mfumo wa maisha, nadhani ni tangu Nyerere aondoke madarakani.........kuna baadhi ya sekta watu wanahonga au kutafuta connection kufa na kupona wapate kazi maana huko maokoto ya rushwa yapo ya kutosha.​
 
Haya ni matumizi mabaya ya 'anonymous status'. Kwa ulichoandika haifa hata kufichwa utambulisho wako.

Ulipaswa kutaja utambulisho wa wanaofanya michezo hiyo michafu ya kuendeleza umaskini nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni matumizi mabaya ya 'anonymous status'. Kwa ulichoandika haifa hata kufichwa utambulisho wako.

Ulipaswa kutaja utambulisho wa wanaofanya michezo hiyo michafu ya kuendeleza umaskini nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni kuwataja, chukua video rekodi sambaza, Kama mbwai iwe mbwai, sahivi mtu Ana hela ya huduma anahangaika tena kutafuta hela zaidi ili apate Hiyo huduma, chukua picha, rekodi sauti, tudhalilishane tuu, sahivi mtu haogopi, haoni aibu anakuomba rushwa kibabe tuu
 
Dawa ni kuwataja, chukua video rekodi sambaza, Kama mbwai iwe mbwai, sahivi mtu Ana hela ya huduma anahangaika tena kutafuta hela zaidi ili apate Hiyo huduma, chukua picha, rekodi sauti, tudhalilishane tuu, sahivi mtu haogopi, haoni aibu anakuomba rushwa kibabe tuu
Wanakera sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni matumizi mabaya ya 'anonymous status'. Kwa ulichoandika haifa hata kufichwa utambulisho wako.

Ulipaswa kutaja utambulisho wa wanaofanya michezo hiyo michafu ya kuendeleza umaskini nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikishaona mtu analeta upupu hauna nyama najua tu ni uzushi au wameibiana wanawake ndiyo analeta huku. Pilau bila nyama siyo pilau hilo. Hivi kwanini msipeleke Takukuru yaishe kama ni kweli. Kuleta huku kunasaidia nini ten unaficha ficha eti sijui nini , weka wazi . Mimi naona huwa ni uzushi na uongo tu maana nachojua export hakuna kodi sasa unaogopa nini mpaka ubabaishane kutoa rushwa na mikamera yote pale cargo ilivyo kila kona na TISS,PCCB,POLISI,Madawa ya kulevywa wote wapo acha fiksi hizo sema unamtafuta mtu kakuzidi kitu au kunamrembo kakukataa
 
Kuna baadhi ya Maafisa wa TRA, TAA upande wa Airport Export wanasumbua wateja.

Bila ya kuwatoa hupati release ya mzigo wako na watu wale Security wa TAA ndo kabisa usipowapa hela wanaweza ficha hata document zako zisiondoke na mzigo.

Bila kuwa na Elfu 50 mpaka 70 kwa shipment moja huwezi kupata msaada wa haraka na hiyo hela lazima uitoe maana usipoitoa ujue kazi yako italala au watafanya taratibu ili uchelewe ndege na mzigo wako ubaki.

Especially kwa mizigo ya perishable kama Nyama, Matunda na Mbogamboga.

Mamlaka husika zifanye kuweka kambi zitabaini jinsi rushwa ilivyoshamiri Airport Dar.
haya ndiyo madhara ya kupenda simba na yanga. Nikikuuliza majina ya wachezaji yanga utayasema yote Azizi K, Max, Skudu, Job,Aucho,SalumAbubakar na simba utayataja Kapombe, Mohamed Hussein,Moses Phiri, Chama, Manula. Wabongo tunapenda sana kufatilia mprira umbea uongo,uchawa, kiherehere, uzinzi, ulevi majungu. Mtu anapata ajali badala kumsaidia unakuta jitu linawahi piga picha ili lionekane lilikuwa eneo la tukio tena ndilo la kwanza kutoa taarifa. sijawahi sikia mtu anakuja kuna kijiji flan wanashida ya maji au shule flan inashida ya vyoo au watoto wanasoma mazingira magumu.Ngoja ije yanga au simba utasikia mpaka bei ya mchezaji kanunuliwa ngapi au analipwa ngapi.
 
Kuna baadhi ya Maafisa wa TRA, TAA upande wa Airport Export wanasumbua wateja.

Bila ya kuwatoa hupati release ya mzigo wako na watu wale Security wa TAA ndo kabisa usipowapa hela wanaweza ficha hata document zako zisiondoke na mzigo.

Bila kuwa na Elfu 50 mpaka 70 kwa shipment moja huwezi kupata msaada wa haraka na hiyo hela lazima uitoe maana usipoitoa ujue kazi yako italala au watafanya taratibu ili uchelewe ndege na mzigo wako ubaki.

Especially kwa mizigo ya perishable kama Nyama, Matunda na Mbogamboga.

Mamlaka husika zifanye kuweka kambi zitabaini jinsi rushwa ilivyoshamiri Airport Dar.
Ndugu mtoa taarifa, tunaomba ushirikiano wako utusaidie kuchukua hatua mahsusi kwa wahusika maana hatuna mzaha na jambo hili. Unaweza piga simu 0689 122 515 au sms 0689 122 516 kwa ukiukwaji wa maadili TRA.
 
Ndugu mtoa taarifa, tunaomba ushirikiano wako utusaidie kuchukua hatua mahsusi kwa wahusika maana hatuna mzaha na jambo hili. Unaweza piga simu 0689 122 515 au sms 0689 122 516 kwa ukiukwaji wa maadili TRA.
Kesi ya nani anapelekewa nani?
 
Ndugu mtoa taarifa, tunaomba ushirikiano wako utusaidie kuchukua hatua mahsusi kwa wahusika maana hatuna mzaha na jambo hili. Unaweza piga simu 0689 122 515 au sms 0689 122 516 kwa ukiukwaji wa maadili TRA.
🤣🤣🤣🤣🤣Dah nyie watu mnachekesha sana muda mwingine bora mnyamaze tu
 
KIZIMKAZI taifa hili limemshinda.watanganyika tujipange.zama zake Hz rushwa nje nje. Au kwakua nae ni Dalali
 
Back
Top Bottom