Mkuu,Mimi nafuga black mamba (koboko) hapa nyumbani....huyu niliyenaye ni mwanamme kwa hiyo kama kuna mtu ana jike lake tafadhali naomba tuwasiliane.
Mkuu,
Unafuga nyoka?
Ni jambo zuri lakini wa nini? Unafanya research una zoo au msukuma?
Km120/hr. Hakuna hata kiumbe mmoja anaeweza kukimbia speed hiyo hapa dunianiUtakimbia utamuweza? Anakimbia zaidi ya km120/hr, wew unakimbiaje
Haya bwana, kama nilipigwa fix poa. Aliyenipa hizo data ni mtaalam wa nyoka, ukienda mikumi utawakuta.Km120/hr. Hakuna hata kiumbe mmoja anaeweza kukimbia speed hiyo hapa duniani
120 hiyo speed sio mchezo. endasha gari kwa 120 speed uione, Kisha pima na nyoka Kama anaweza kwenda speed hiyo kwa lisaaHaya bwana, kama nilipigwa fix poa. Aliyenipa hizo data ni mtaalam wa nyoka, ukienda mikumi utawakuta.
Koboko aliyekomaa hufikisha spidi hadi kilometa 20 kwa saa.Haya bwana, kama nilipigwa fix poa. Aliyenipa hizo data ni mtaalam wa nyoka, ukienda mikumi utawakuta.
Sijafanya tafiti hizo, labda waliofanya tafiti hizo watusaidie.120 hiyo speed sio mchezo. endasha gari kwa 120 speed uione, Kisha pima na nyoka Kama anaweza kwenda speed hiyo kwa lisaa
Koboko haswa aliyekomaa wakati ana strike huwa anafikisha kilomita 80 kwa saa yaani ukimpima spidi ya kichwa chake kinapogonga.Sijafanya tafiti hizo, labda waliofanya tafiti hizo watusaidie.
Honey bager = NyegereSehemu yoyote yenye nyoka wengi fuga nguchiro. Nyoka wote watakimbia. Huyo black mamba sijui mavi ya nini! Kwa nguchiro anakuwa menu swafiii. Na kiboko ya nyoka wotee ukindoa chatu wakubwa ni mnyama anyeitwa honey bager. Anayelijuwa jina lake kwa kiswahili atuambie. Honey bager hatari sana. Black mamba. Cobra akikutana na huyu mdudu anatafuta njia nyingine.
Sio nyegere acha uongo niviumbe tofauti sana haoHoney bager = Nyegere
We jamaa jifunze kubisha kisomi basi unabishabisha tu bila kutetea hoja yako?Nasema tena niwekee hiyo link ya baja akimla koboko aliyekomaa..
Hajakosea ndio huyo huyoSio nyegere acha uongo niviumbe tofauti sana hao
Mkuu huyo atakuwa HAJAVUTA BANGE.Si kweli, koboko unaweza ukqpita hata Mita 2 kutoka Alipo na asikufanye kitu. Koboko ni nyoka mpole sana, kama Huna time nae wala hashughuliki nawewe. Nipo huku mpakani mwa Tabora na Kigoma, wenyeji wanasema kuwa mara nyingi Kabla hujamuona yeye anakuwa ameshakuona kitambo hivyo anakuwa anafuatilia nyendo zako na akiona huna habari naye naye anaendelea kivyake.
Ng'ombe wengi huwa wanagongwa kwasababu wao wanaingia popote bila ustaarabu na bwanamkubwa hapendi, hivyo huwagonga.
Ingawa wenyeji wanasema Kuna baadhi ni nadra huwa wanapatwa na kichaa, sasa hapo ndo tatizo na huyo huwa hatari maana anakausha hata miti Kwa strikes zake
Namzungumzia Koboko (Black Mamba) the most aggressive snake in the world. Turns out ni nyoka ambaye hana makuu na ndio maana anapenda kakaa sehemu tulivu, mbali kabisa na makazi ya watu.Aisee , we unamzungumzia kifutu(viper) sio koboko
Huyu jamaa anaonekana ni naughty sana!!Black mamba ni kama mla ganja aliyedata..hahitaji kuchokozwa wala nini..huyo nyoka ni mwehu yupo nervous sana..atakutoa nduki tu
Mkuu huyo Jamaa aliongeza 1 mwanzoni, ila speed ya koboko maximum ni 20kphHaya bwana, kama nilipigwa fix poa. Aliyenipa hizo data ni mtaalam wa nyoka, ukienda mikumi utawakuta.